Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Kwa speed tu wako fasta,Ila hayo mapungufu mengine inabidi warekebisheAchilia mbali mapungufu yao madogo.. hawa jamaa wako vizuri sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa speed tu wako fasta,Ila hayo mapungufu mengine inabidi warekebisheAchilia mbali mapungufu yao madogo.. hawa jamaa wako vizuri sana.
Nimeambiwa speedaf.je ni wap niende mana sitak kuanza kupigiwaUmejaza nchi gani? Kama umejaza Tanzania ni sawa
Kuna njia mbili ambazo wanaweza watakutumia either watumie posta au speedaf
Kwahyo wewe track mzigo wako ukifika bongo utaenda kuuchukua kwenye ofisi moja wapo kati ya posta au speedaf
Mzigo umeshafika bongo?kama tracking number inaaniza na TZ hao ni speedafNimeambiwa speedaf.je ni wap niende mana sitak kuanza kupigiwa
Mpka sasa hivi sijafanikiwa kujua ofisi zao zilipo.Nenda ofisini kwao mkuu,ukisema uwapigie utasubiri sana
Parcel ikifika watakupigia simu....Nisadien.nimeagiza saa aliexperss nimelipa juz.nimelipa kwa visacard.nimejaza tu box na namba ya simu tu.sasa nitatumiwa kwa njia ipi
Open Disputes kama Mzigo haujakufikia.....2.Ukifuatilia ofisini speedaf unakuta sometimes mzigo ushasaini kua uliiuchukua ilhali haujauchukua wewe mhusika .Meanz agent wa kuleta anajisainia mwenyewe kua kafanya delivery.
agrey bellingtoneMzigo umeshafika bongo?kama tracking number inaaniza na TZ hao ni speedaf
Ofisi zao zipo mikocheni migombani Street geti namba 165
Nimeipata mkuu kesho mapema nawaibukia
Ibuka mkuu kwenye hilo geti namba 165 kwa nje ni kama nyumba tu huwezi jua kama ndani kuna ofisi hakuna bango lolote wala kiashiria chochote mpaka uingie ndani ya getiNimeipata mkuu kesho mapema nawaibukia
Basi sawa mkuu, kesho naenda then nitaleta mrejesho hapa kitakachojiri huko.Ibuka mkuu kwenye hilo geti namba 165 kwa nje ni kama nyumba tu huwezi jua kama ndani kuna ofisi hakuna bango lolote wala kiashiria chochote mpaka uingie ndani ya geti
Alama yako kubwa ni hiyo namba 165
Sawa mkuuBasi sawa mkuu, kesho naenda then nitaleta mrejesho hapa kitakachojiri huko.
Unique pia wazinguzi. Nilishapoteza mzigo kupitia kwao. Ila wanajitahidiNi mwendo wa kuwapiga majungu wasepe posta na kina silent ocean au unique wanatutosha
nimeagiza item ya $16, 31/12/2022, leo 13/01/2023 nimepokea, wako vizuri
speedaf huchagui, ila wao huko ndiyo huchagua,Mkuu sorry mm nmeagiza mzigo ALIEXPRESS tarehe 28/12/2022 hadi leo bado haujafika..hv unapata wapi option ya kuchagua hao jamaa wa SPEEDAF mbona mm naona option ya njia ya ALIEXPRESS STANDARD SHIPPING tu kwangu?
speedaf huchagui, ila wao huko ndiyo huchagua,
tracking number unayo ? je ina mfumo wa TZ000XXXX ?