SPIKA wa Bunge, Tulia Ackson amemzuia Mbunge wa Iringa Mjini, Jesca Msambatavangu aliyeomba mwongozo wa Spika bungeni leo Aprili 18 2023 kutokana na mgogoro mkubwa wa mbolea unaotishia mazao ya wakulima kuungua kwa kukosa mbolea baada ya uamuzi wa Serikali kuwafutia leseni mawakala 721 kutokana na uhuni wanaofanya kwenye mbolea.
Kwanini Spika anazuia wabunge wasijadili matatizo ya wananchi ana manufaa gani na Serikali? amezuia hoja ya CAG watu wamenyamaza, leo anazuia hoja ya matatizo ya mbolea yasijadiliwe ili wakulima mazao yao yafe kwa kukosa mbolea na nchi kuingia kwenye njaa kubwa ili baadae wanufaike watu wachache kwa kuagiza chakula nje ya nchi kutuletea tanzania.
Watanzania wataendelea kuchezewa na Spika hadi lini?
Kwanini Spika anazuia wabunge wasijadili matatizo ya wananchi ana manufaa gani na Serikali? amezuia hoja ya CAG watu wamenyamaza, leo anazuia hoja ya matatizo ya mbolea yasijadiliwe ili wakulima mazao yao yafe kwa kukosa mbolea na nchi kuingia kwenye njaa kubwa ili baadae wanufaike watu wachache kwa kuagiza chakula nje ya nchi kutuletea tanzania.
Watanzania wataendelea kuchezewa na Spika hadi lini?