Spika amzuia Mbunge wa Iringa kujadili hoja ya kufutiwa leseni mawakala wa mbolea

Spika amzuia Mbunge wa Iringa kujadili hoja ya kufutiwa leseni mawakala wa mbolea

Nimekujibu hivyo kukumbusha Ndugai alikuwa mbovu, Wewe ulikuwa una imply Ndugai alikuwa Spika bora, wala pointi yangu sio kumtetea Tulia
I never said Ndugai was better than Tulia. That is your implication stemming from your own perspectives which is not bad at all, as we know everyone is entitled to his own opinion but not to his facts.

Nilisema Tulia alipatikana kutokana na watu kuchukia mjadala fulani. Hapa naongezea kusema, tatizo linakuja pale muanzisha huo mjadala(Ndugai) alikuwa spika pia na yeye aliwahi kuzuia mijadala (kwa maelezo yako) pia.
Nikasema udhaifu huo wa Ndugai haundoi udhaifu wa Tulia na haubadili ukweli Tulia alipatikana vipi kuwa spika.
 
SPIKA wa Bunge, Daktari Tulia kila anapoongoza Bunge anapenda kuwazima wabunge wanaotaka hoja za dharura za matatizo ya wananchi zijadiliwe lakini anakataa mifano michache hii

1. Majuzi Mbunge Ole Sendeka aliomba Bunge liahirishe ratiba zake lijadili kwa dharura suala la ufisadi mkubwa uliotajwa ripoti ya CAG, Spika akakataa

2. Leo Mbunge Bahati wa Mbeya akaomba Bunge lisimame wajadili matukio ya wananchi kuvamiwa na kuuwawa na tembo maeneo mbalimbali nchini, Spika akakataa

3. Leo Mbunge wa Iringa Msambatavangu ameomba Bunge lijadili tatizo la mbolea kwa wakulima ambao mazao yao yanaanza kuharibika kwa kukosa mbolea na mgogoro wa mawakala kufutiwa leseni, Spika amekataa..

Sasa tunajiuiliza hoja za kujadili ushoga na usagaji ziliruhusiwa kujadiliwa bungeni lakini matatizo ya wananchi Spika anawazuia wabunge.​
Kazi ipo!! Kwan wakuu hivi mnadhan yupo pale kuisimamia serikali au nan?
 
SPIKA wa Bunge, Daktari Tulia kila anapoongoza Bunge anapenda kuwazima wabunge wanaotaka hoja za dharura za matatizo ya wananchi zijadiliwe lakini anakataa mifano michache hii

1. Majuzi Mbunge Ole Sendeka aliomba Bunge liahirishe ratiba zake lijadili kwa dharura suala la ufisadi mkubwa uliotajwa ripoti ya CAG, Spika akakataa

2. Leo Mbunge Bahati wa Mbeya akaomba Bunge lisimame wajadili matukio ya wananchi kuvamiwa na kuuwawa na tembo maeneo mbalimbali nchini, Spika akakataa

3. Leo Mbunge wa Iringa Msambatavangu ameomba Bunge lijadili tatizo la mbolea kwa wakulima ambao mazao yao yanaanza kuharibika kwa kukosa mbolea na mgogoro wa mawakala kufutiwa leseni, Spika amekataa..

Sasa tunajiuiliza hoja za kujadili ushoga na usagaji ziliruhusiwa kujadiliwa bungeni lakini matatizo ya wananchi Spika anawazuia wabunge.​
Spika aliyepatikana kwa Rushwa hawezi kuwa na uchungu na matatizo ya nchi pamoja na wananchi wake.
 
Tupe sababu ya Spika Job Ndugai kuachia nafasi ya spika wa bunge ili tuache hizi hadithi zetu za kufikirika.
Issue ya deni la Taifa ni kama sababu tu mzee... Unadhan kitendo cha kutamka waz Atake asitake tutaa.... muongezeaaaa!! Unadhan lilikua jambo la kukubalika?
 
SPIKA wa Bunge, Daktari Tulia kila anapoongoza Bunge anapenda kuwazima wabunge wanaotaka hoja za dharura za matatizo ya wananchi zijadiliwe lakini anakataa mifano michache hii

1. Majuzi Mbunge Ole Sendeka aliomba Bunge liahirishe ratiba zake lijadili kwa dharura suala la ufisadi mkubwa uliotajwa ripoti ya CAG, Spika akakataa

2. Leo Mbunge Bahati wa Mbeya akaomba Bunge lisimame wajadili matukio ya wananchi kuvamiwa na kuuwawa na tembo maeneo mbalimbali nchini, Spika akakataa

3. Leo Mbunge wa Iringa Msambatavangu ameomba Bunge lijadili tatizo la mbolea kwa wakulima ambao mazao yao yanaanza kuharibika kwa kukosa mbolea na mgogoro wa mawakala kufutiwa leseni, Spika amekataa..

Sasa tunajiuiliza hoja za kujadili ushoga na usagaji ziliruhusiwa kujadiliwa bungeni lakini matatizo ya wananchi Spika anawazuia wabunge.​
Laba stampu yule yeye saa100 lao moja ,tangu samweli sitta sijaona spika mimi ni wenyeviti tu

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kweli ss wananchi tumeamua kuwekeza kwenye kilimo serikali inatoa msaada wa mbolea kwa njia ya Ruzuku kwa gharama kubwa, ila Mtu tu anaanza kutuhujumu ss wakulima na kuhujumu jitihada za serikali za kutuinua ss wakulima...nasema wafutiwe tu!
 
Anatambua fika kilichompata Spika Ndugai, hivyo anatambua nguvu ya chama chake, na nguvu ya mhimili uliojichimbia. Kabla ya kupelekeshwa na mihemuko, na hatimaye kufanya uamuzi wowote ule wa kukurupuka, ni lazima kwanza apate ushauri kwa bosi wake.
Kawaida inatakiwa pasiwepo na mwingiliano
 
SPIKA wa Bunge, Tulia Ackson amemzuia Mbunge wa Iringa Mjini, Jesca Msambatavangu aliyeomba mwongozo wa Spika bungeni leo Aprili 18 2023 kutokana na mgogoro mkubwa wa mbolea unaotishia mazao ya wakulima kuungua kwa kukosa mbolea baada ya uamuzi wa Serikali kuwafutia leseni mawakala 721 kutokana na uhuni wanaofanya kwenye mbolea.

Kwanini Spika anazuia wabunge wasijadili matatizo ya wananchi ana manufaa gani na Serikali? amezuia hoja ya CAG watu wamenyamaza, leo anazuia hoja ya matatizo ya mbolea yasijadiliwe ili wakulima mazao yao yafe kwa kukosa mbolea na nchi kuingia kwenye njaa kubwa ili baadae wanufaike watu wachache kwa kuagiza chakula nje ya nchi kutuletea tanzania.

Watanzania wataendelea kuchezewa na Spika hadi lini?
Spika analinda ugali ake tu basi,
 
USHOGA HAKUNA WAHUSIKA? KUPONGEZA RAIS HAKUNA WAHUSIKA? WEWE NI MPUMBAVU.
Ndio maana sijaongelea ushoga Kuna wahusika na tunaanzia majunbani

Sijampongeza rais kwasababu kazi yake itaongea

Kuhusu upumbavu naweza kupokea… kwasababu Sina hakika kabisa kwamba unajitambua na una upeo wa kujadili vitu based on principles and values
 
Back
Top Bottom