butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,640
- 7,943
Eti Spika wa Bunge anakuwa Mjumbe wa kamati kuu ya chama.Kweli ataacha kuwatetea viongozi wa The Green Mamba!Maelekezo toka chamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti Spika wa Bunge anakuwa Mjumbe wa kamati kuu ya chama.Kweli ataacha kuwatetea viongozi wa The Green Mamba!Maelekezo toka chamani
CCm ni ilee ilee ooh ni ile ile.SPIKA wa Bunge, Tulia Ackson amemzuia Mbunge wa Iringa Mjini, Jesca Msambatavangu aliyeomba mwongozo wa Spika bungeni leo Aprili 18 2023 kutokana na mgogoro mkubwa wa mbolea unaotishia mazao ya wakulima kuungua kwa kukosa mbolea baada ya uamuzi wa Serikali kuwafutia leseni mawakala 721 kutokana na uhuni wanaofanya kwenye mbolea.
Kwanini Spika anazuia wabunge wasijadili matatizo ya wananchi ana manufaa gani na Serikali? amezuia hoja ya CAG watu wamenyamaza, leo anazuia hoja ya matatizo ya mbolea yasijadiliwe ili wakulima mazao yao yafe kwa kukosa mbolea na nchi kuingia kwenye njaa kubwa ili baadae wanufaike watu wachache kwa kuagiza chakula nje ya nchi kutuletea tanzania.
Watanzania wataendelea kuchezewa na Spika hadi lini?
Hujui lolote kuhusu Ruzuku kaaa kimya kabisa ngoja moto unakuja ndio utajua ruzuku ni geresha tu na kuwafutia leseni ni mbwembwe tu wameshindwa kulipa watu na makampuni mpka leo hiv kweli ww inakuingia akilini kweli watu 800 wafanye kosa moja kweli je hujiuliz shida iko wapkweli ss wananchi tumeamua kuwekeza kwenye kilimo serikali inatoa msaada wa mbolea kwa njia ya Ruzuku kwa gharama kubwa, ila Mtu tu anaanza kutuhujumu ss wakulima na kuhujumu jitihada za serikali za kutuinua ss wakulima...nasema wafutiwe tu!
Hahaaaaa Mimi ni mkulima inakuwaje nisijue kuhusu mbolea za ruzuku.. serikali imetoa mbolea Bora Ila nyie mawakala baadhi mmechakachua huko mpaka wengine tulisikia waweka michanga kabisa, acheni ujanja ujanja...narudia tena mfungiwe tu! Mmezidi utapeli.Hujui lolote kuhusu Ruzuku kaaa kimya kabisa ngoja moto unakuja ndio utajua ruzuku ni geresha tu na kuwafutia leseni ni mbwembwe tu wameshindwa kulipa watu na makampuni mpka leo hiv kweli ww inakuingia akilini kweli watu 800 wafanye kosa moja kweli je hujiuliz shida iko wap
Je nilini BASHE NA GENGE LAKE WALIWATA MAWAKALA NA KUWAPA SEMINA ELEKEz kuhusu huo mfumo? Kisa yye na usomari wake anawafutia mpka waagizaji leseni kweli ? Inakuanigia akilini kweli au unaongea kisa hujui mfumo wa TFRA AGRO DEALER TOOLS UNAVYOFANYA KAZI? MKUU
Hao ni wezi wanatakiwa Kukamatwa na kufungwa jela sio kufutiwa leseni na kuachwa..SPIKA wa Bunge, Tulia Ackson amemzuia Mbunge wa Iringa Mjini, Jesca Msambatavangu aliyeomba mwongozo wa Spika bungeni leo Aprili 18 2023 kutokana na mgogoro mkubwa wa mbolea unaotishia mazao ya wakulima kuungua kwa kukosa mbolea baada ya uamuzi wa Serikali kuwafutia leseni mawakala 721 kutokana na uhuni wanaofanya kwenye mbolea.
Kwanini Spika anazuia wabunge wasijadili matatizo ya wananchi ana manufaa gani na Serikali? amezuia hoja ya CAG watu wamenyamaza, leo anazuia hoja ya matatizo ya mbolea yasijadiliwe ili wakulima mazao yao yafe kwa kukosa mbolea na nchi kuingia kwenye njaa kubwa ili baadae wanufaike watu wachache kwa kuagiza chakula nje ya nchi kutuletea tanzania.
Watanzania wataendelea kuchezewa na Spika hadi lini?
Tatizo ni jinsi ya kuungana na kusema hapana ndio mtihaniHivi hakuna namna wabunge nao kwa umoja wamgomee Spika kwa kuzuia hoja zao, kwanini yeye awaamulie cha kusema, hasa ikiwa jambo lina manufaa kwa wananchi?
You know English well, yes but you die for hunger!SPIKA wa Bunge, Tulia Ackson amemzuia Mbunge wa Iringa Mjini, Jesca Msambatavangu aliyeomba mwongozo wa Spika bungeni leo Aprili 18 2023 kutokana na mgogoro mkubwa wa mbolea unaotishia mazao ya wakulima kuungua kwa kukosa mbolea baada ya uamuzi wa Serikali kuwafutia leseni mawakala 721 kutokana na uhuni wanaofanya kwenye mbolea.
Kwanini Spika anazuia wabunge wasijadili matatizo ya wananchi ana manufaa gani na Serikali? amezuia hoja ya CAG watu wamenyamaza, leo anazuia hoja ya matatizo ya mbolea yasijadiliwe ili wakulima mazao yao yafe kwa kukosa mbolea na nchi kuingia kwenye njaa kubwa ili baadae wanufaike watu wachache kwa kuagiza chakula nje ya nchi kutuletea tanzania.
Watanzania wataendelea kuchezewa na Spika hadi lini?
Acha wivu wa kikeHuyo mumewe kashahongwa Cheo cha Ukurugenzi EWURA,anadhani ataongea nini?Mara kadhaa namuona anachekacheka na Born town wa Msoga,unafikiri atafanya uamuzi gani!
Huyo ni Spika wa Mchongo watu wapitishe mambo yao!
Tulishakubaliana Kwamba TUNUNU MWAKISALYA ni spika mbofu za redio na BUNGE ni dhaifuSPIKA wa Bunge, Daktari Tulia kila anapoongoza Bunge anapenda kuwazima wabunge wanaotaka hoja za dharura za matatizo ya wananchi zijadiliwe lakini anakataa mifano michache hii
1. Majuzi Mbunge Ole Sendeka aliomba Bunge liahirishe ratiba zake lijadili kwa dharura suala la ufisadi mkubwa uliotajwa ripoti ya CAG, Spika akakataa
2. Leo Mbunge Bahati wa Mbeya akaomba Bunge lisimame wajadili matukio ya wananchi kuvamiwa na kuuwawa na tembo maeneo mbalimbali nchini, Spika akakataa
3. Leo Mbunge wa Iringa Msambatavangu ameomba Bunge lijadili tatizo la mbolea kwa wakulima ambao mazao yao yanaanza kuharibika kwa kukosa mbolea na mgogoro wa mawakala kufutiwa leseni, Spika amekataa..
Sasa tunajiuiliza hoja za kujadili ushoga na usagaji ziliruhusiwa kujadiliwa bungeni lakini matatizo ya wananchi Spika anawazuia wabunge.
Kwani wabunge wenyewe ambao ndio walimpigia kura za ndiyo hawana mamlaka kisheria ya kumuondoa?
Deni la Taifa kukua Kama uyoga. Sasa tunadaiwa Trillion 100Tupe sababu ya Spika Job Ndugai kuachia nafasi ya spika wa bunge ili tuache hizi hadithi zetu za kufikirika.
Nimecheka kwamba ni Rango yuleRango anazingua sana. Hafai kukaa kwenye ile nafasi
wanaogopa niniWabunge wenyewe waoga Kama Nini.
Hiyo ndio shina tulitinayo, nafikiri ni Watanzania wote, maana unaweza kulianzisha watu wakakususia mchezo.Tatizo ni jinsi ya kuungana na kusema hapana ndio mtihani
Ulimuamini speaker tulia AlsonHuyu Kiumbe nilikuaga mwanzo namuona ni Moja ya Wanawake Makini ukiachilia mbali usomi wao.
Kumbe ni takataka tu.