Spika amzuia Mbunge wa Iringa kujadili hoja ya kufutiwa leseni mawakala wa mbolea

C
CCm ni ilee ilee ooh ni ile ile.
 
kweli ss wananchi tumeamua kuwekeza kwenye kilimo serikali inatoa msaada wa mbolea kwa njia ya Ruzuku kwa gharama kubwa, ila Mtu tu anaanza kutuhujumu ss wakulima na kuhujumu jitihada za serikali za kutuinua ss wakulima...nasema wafutiwe tu!
Hujui lolote kuhusu Ruzuku kaaa kimya kabisa ngoja moto unakuja ndio utajua ruzuku ni geresha tu na kuwafutia leseni ni mbwembwe tu wameshindwa kulipa watu na makampuni mpka leo hiv kweli ww inakuingia akilini kweli watu 800 wafanye kosa moja kweli je hujiuliz shida iko wap
Je nilini BASHE NA GENGE LAKE WALIWATA MAWAKALA NA KUWAPA SEMINA ELEKEz kuhusu huo mfumo? Kisa yye na usomari wake anawafutia mpka waagizaji leseni kweli ? Inakuanigia akilini kweli au unaongea kisa hujui mfumo wa TFRA AGRO DEALER TOOLS UNAVYOFANYA KAZI? MKUU
 
Hahaaaaa Mimi ni mkulima inakuwaje nisijue kuhusu mbolea za ruzuku.. serikali imetoa mbolea Bora Ila nyie mawakala baadhi mmechakachua huko mpaka wengine tulisikia waweka michanga kabisa, acheni ujanja ujanja...narudia tena mfungiwe tu! Mmezidi utapeli.
 
Hao ni wezi wanatakiwa Kukamatwa na kufungwa jela sio kufutiwa leseni na kuachwa..

Kwenye Kila mfuko mmja wa kilo 50 wa mbolea ya ruxuku wanafumua na kutoa kilo 2 ,so Kwa semi 3 anapata semi Moja na anawauzia Wananchi Kwa bei Ile Ile ya Ruzuku..
 
Hivi hakuna namna wabunge nao kwa umoja wamgomee Spika kwa kuzuia hoja zao, kwanini yeye awaamulie cha kusema, hasa ikiwa jambo lina manufaa kwa wananchi?
Tatizo ni jinsi ya kuungana na kusema hapana ndio mtihani
 
You know English well, yes but you die for hunger!
 
Huyo mumewe kashahongwa Cheo cha Ukurugenzi EWURA,anadhani ataongea nini?Mara kadhaa namuona anachekacheka na Born town wa Msoga,unafikiri atafanya uamuzi gani!
Huyo ni Spika wa Mchongo watu wapitishe mambo yao!
Acha wivu wa kike
 
Tulishakubaliana Kwamba TUNUNU MWAKISALYA ni spika mbofu za redio na BUNGE ni dhaifu
 
Spika wa mchongo. Yupo kuilinda serikali. Spika wa hovyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…