Pre GE2025 Spika Dkt. Tulia na Wabunge wa CCM wagomea hoja ya watu kutekwa na kuuawa kujadiliwa. Wananchi Tuwaambie "YOU ARE FIRED"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hakuna bunge zaidi ya kusanyiko la majangili tupu
Yaani wameshindwa hata kusimama tuu kuunga mkono hoja hiyo!
Hawa ni manunda kabisa na wanakula fedha zetu bure kwa kisingizio cha kuwa wanatuwakilisha.
Hawa ingekuwa Kenya ni kuwaingilia hukohuko Bungeni na kutembezea viboko vya kutosha au kuwasubiri nje na kuwatupia mayai viza na nyanya mbovu
 
Kuna mstari mdogo sana kati ya CCM na Bokoharam
 
Hivi kumbe Tanzania bado kuna bunge na wabunge wapo kabisa?
Nasikia tena eti huwa wanalipwa mishahara minono na posho nzito kwa fedha zetu za walipa kadi. 😭😭
 

Ina maana hara COVID nao 19 wamekosekana?
 
Hatutawachagua kabisa. Na tutazilinda kura zetu.
 
Haya ni majangili ya fedha za umma
 
Hatari sn
 
Wabunge wa CCM waliopo pale Mjengoni wako kwa ajili ya maslahi ya CCM na sio kwa ajili ya maslahi ya Taifa letu Tanzania.
 
Hivi kumbe Tanzania bado kuna bunge na wabunge wapo kabisa?
Nashangaa watanzania bado wanaona wana bunge
Lile bunge limebakia kujadili mambo ya kina mondi,wakina shilole wakina buheti
Kuwakaribisha wakina baba level mwijaku mandonga

Ova
 
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kendelea kutawala kadhalimu
 
Kuna Bunge kuna wahuni wanakula kodi kwa stamp ya kitu kinaitwa Bunge
 
Kwa kweli, bunge letu lina shida fulani. Rationalisation has never been a solution to anything. In my opinion, this is technically called 'dodging the problem'.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…