Spika Dkt. Tulia: Rais mimi ndio Mbunge wa Mbeya Mjini, Wananchi wameniambia Wanakuunga mkono Uwekezaji wa Bandari!

Spika Dkt. Tulia: Rais mimi ndio Mbunge wa Mbeya Mjini, Wananchi wameniambia Wanakuunga mkono Uwekezaji wa Bandari!


Spika Dr. Tulia amesema anaowawakilisha yaani wananchi wote wa Mbeya Mjini wanaunga mkono Uwekezaji wa Bandari.

Dr. Tulia amesema Mkoa wa Mbeya ni wakulima hivyo Uwekezaji wa Bandari utasaidia Mazao yao kufika kwenye Masoko kwa haraka.

Source: Eatv


😂😂😂😂😂....ila kesi ya kupinga iko Mbeya mjini pia. Kweli mnajitoa ufahamu
 
Sio mbeya tu, hataukukwetu tunahitaji kuwa na bandari yenye ufanisi kuliko ilivyo Sasa.

Spika awemkweli uongo hausaidiikitu, watu wasicho taka ni aina ya mkataba wenyewe nasio uwekezaji.

Hatuutaki mkataba wa ainaile, full stop.
Huyu Dada anasali kweli????
Kwa kauli ya spika hakuna hukumu itakayotolewa kuiangusha serikali juu ya kesi ya kupinga mkataba wa Bandari. Halafu hiki kibibi ambacho akina mtoto wa kuzaa hakina uchungu na mali zetu maana hakina uzao. Watu hawapingi uwekezaji kinachopingwa na vipengele vya mkataba.
Tulia hajatulia
 
Dk. Tulia ni Mbunge wa Jiji la Mbeya, hivyo anawasemea Wana Jiji la Mbeya waliomchagua. Wewe unayebisha una mamlaka gani uliyokasimiwa kihalali na Wana Jiji la Mbeya?
Tulia ni mwongo. Yeye mwenyewe hakubaliki Mbeya mjini na yuko hapo kwa kuwekwa na Mwendazake Magufuli tu.

Mbeya haiwezi ikaunga mkono mkataba wa bandari ambao una vipengere vya kinyonyaji dhidi ya raslimali zetu
 
Sio mbeya tu, hataukukwetu tunahitaji kuwa na bandari yenye ufanisi kuliko ilivyo Sasa.

Spika awemkweli uongo hausaidiikitu, watu wasicho taka ni aina ya mkataba wenyewe nasio uwekezaji.

Hatuutaki mkataba wa ainaile, full stop.
Una uhakika gani kuwa Waarabu wataendesha bandari kwa ufanisi?

Mbona tuliambiwa Wahindi wangeendesha Reli kwa ufanisi lakini wakashindwa hadi serikali hiyo hiyo ikawatimua?!
 
Hivi bandari ni Nini? Maana watu tupo mbeya tunadangdang tu na migomba yetu
Hiyo ndo akili.
We komaa na migomba yako utapata maisha ya familia yako. Achana na bandari itakuumiza kichwa bure, bandari wanaijua watu wa Pwani ndo wenye nayo
 
Tulia ni mwongo. Yeye mwenyewe hakubaliki Mbeya mjini na yuko hapo kwa kuwekwa na Mwendazake Magufuli tu.

Mbeya haiwezi ikaunga mkono mkataba wa bandari ambao una vipengere vya kinyonyaji dhidi ya raslimali zetu
Bahati mbaya sijibu hoja za wehu!
 
Sio mbeya tu, hataukukwetu tunahitaji kuwa na bandari yenye ufanisi kuliko ilivyo Sasa.

Spika awemkweli uongo hausaidiikitu, watu wasicho taka ni aina ya mkataba wenyewe nasio uwekezaji.

Hatuutaki mkataba wa ainaile, full stop.
Hamtaki nyie kina nani!?
Bandari inawahuuu.
 
😎😎 ni stand kuu ya kupakilia ndizi na maparachichi kwa ajili ya export ya kimataifa.
 
Hiyo ndo akili.
We komaa na migomba yako utapata maisha ya familia yako. Achana na bandari itakuumiza kichwa bure, bandari wanaijua watu wa Pwani ndo wenye nayo
Hakika mkuu,hata ivo wanapigania matumbo Yao
 
Hili linyakyusa la hovyo sana... halafu Samia wala hajaligusia hilo jambo!! Ni laana kubwa sana wanambeya kuwakilishwa na huyo kinyago!! Najisikia kinyaa hata kulitazama!
 
Sio mbeya tu, hataukukwetu tunahitaji kuwa na bandari yenye ufanisi kuliko ilivyo Sasa.

Spika awemkweli uongo hausaidiikitu, watu wasicho taka ni aina ya mkataba wenyewe nasio uwekezaji.

Hatuutaki mkataba wa ainaile, full stop.
makuwadi ya warabu wa dpworld 2025 tunayakomesha.
 
Back
Top Bottom