Spika Dkt. Tulia: Rais mimi ndio Mbunge wa Mbeya Mjini, Wananchi wameniambia Wanakuunga mkono Uwekezaji wa Bandari!

Kalewa madaraka hamna kingine
 
Waendelee kudanganyana
Ukweli tunaujua Mungu anajua
Bandari za Tanganyika ni za WaTanganyika
 
Hii ndiyo tabia ya viongozi wa Africa, Tanzania in particular. Wao kusema kweli huwa ni haramu ndiyo maan maendeleo watayaskiliza kwa majiran tu
 
Tulia ni mwongo. Yeye mwenyewe hakubaliki Mbeya mjini na yuko hapo kwa kuwekwa na Mwendazake Magufuli tu.

Mbeya haiwezi ikaunga mkono mkataba wa bandari ambao una vipengere vya kinyonyaji dhidi ya raslimali zetu
bandari ya wazaramo wa pwani nyie watu wa mbeya inawahusu nini?
 
Sasa kama Rais anadangsnywa hivi hadharani imagine huko chumbani kwenye vikao vya ndani inakuwaje.?
 

Spika Dr. Tulia amesema anaowawakilisha yaani wananchi wote wa Mbeya Mjini wanaunga mkono Uwekezaji wa Bandar...
Unaona mbali,nashindwa kuwaelewa ambao huwa wanaamini CCM kuanguka kwa kupitia kura za box, Ni ukweli kwamba wananchi kwa asilimia kubwa washaichoka CCM Lakini kutokana na historia ya mfumo wa nchi yetu hakuna Rais atakayekuwa madarakani akakubali CCM idondoke na akiwa upande wa pili ni M/kiti wa CCM kisiasa na vyombo vyote vipo tayari kutii agizo la mwenye nchi yaani Rais, Tanzania wananchi hawachagui Rais wa nchi hili swala watu ni Kama hawalijui ndo Mana zitto aliamua kuchagua kuwa CCM aliyejificha upinzani.
 
Nikipewa bastola moja kwa moja naua mwanasiasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…