Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #61
Noma sanaMbunge amechoka kuwadanganya wananchi ameanza kumdanganya kiongozi mkuu
Kishanuka !
Hiyo TAKATAKA Mbeya sijui waliitoa wapi sijawahi ona mnyakyusa hayawani kama huyo ptuuuh!Rais Samia Suluhu Hassan ni kama amempotezea Spika wa Bunge baada ya kuzungumza kuwa watu wa Mbeya wanaunga mkono mkataba wa uwekezaji wa Bandari na kwamba hapo Mbeya kumekuwa na manen mengi kuhusu bandari...
Rais Samia tupo smart sana. Nadhani Spika Tulia na Chawa wengine ndio wanalizimisha.Rais Samia Suluhu Hassan ni kama amempotezea Spika wa Bunge baada ya kuzungumza kuwa watu wa Mbeya wanaunga mkono...
Wewe Erythrocyte ndiyo mwakilishi wa Mbeya?View attachment 2712542
Spika Dr. Tulia amesema anaowawakilisha yaani wananchi wote wa Mbeya Mjini wanaunga mkono Uwekezaji wa Bandari...
Anawasemea wanambeya hao waliofungua kesi! Akili za tulia hazijatulia.Dk. Tulia ni Mbunge wa Jiji la Mbeya, hivyo anawasemea Wana Jiji la Mbeya waliomchagua. Wewe unayebisha una mamlaka gani uliyokasimiwa kihalali na Wana Jiji la Mbeya?
kwa hiyo mbeya kuna mwananchi mmojaBaada ya Tulia Ackson kusema uongo mbele ya Rais Samia Suluhu, kwamba Wakazi wa Mbeya wameridhia Mkataba wa Kitumwa wa Bandari na DP WORLD, Wakazi hao wamecharuka na kujitokeza bila kuogopa kutekwa kukanusha kauli hiyo ya Mbunge huyo.
Wengi wamependekeza Mama huyu ajiuzulu haraka Ubunge ili asiendelee kuwadhalilisha .
Baadhi yao hawa hapa
Huyu betina lazima ni mchawi,sio bure.View attachment 2712542
Spika Dr. Tulia amesema anaowawakilisha yaani wananchi wote wa Mbeya Mjini wanaunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Dr. Tulia amesema Mkoa wa Mbeya ni wakulima hivyo Uwekezaji wa Bandari utasaidia Mazao yao kufika kwenye Masoko kwa haraka.
Nanukuu
Baada ya kuitaja Bandari, maneno mengi yametoka huku Mbeya, nataka niseme hivi... Mimi ndiye mbunge wa hapa Mbeya Mjini na ni mwakilishi wa wananchi hawa walio wengi hapa. Kama mwakilishi wao, sisi wanambeya mimi kama mwakilishi wao tumekaa wameniambia wanakuunga mkono Rais kwenye uwekezaji ambao unafanyika kwenye bandari ya Dar es Salaam.
Na katika kukuunga mkono kwenye uwekezaji ambao Serikali inawekeza, wanakuunga mkono kwenye kutafuta wawekezaji wengine kuja kuboresha bandari ya Dar es Salaam ili mazao yanayotoka Nyanda za Juu Kusini yaweze kuwahi masoko ya nje.
---
Hili ni dhahiri kwamba Tulia Ackson ameamua kumdanganya Mh Rais kwa lengo la kumpotosha ili ajipatie umaarufu.
Kabla ya kuendelea hebu tuangalie maana halisi ya Uongo kama ilivyoelezwa kwenye kamusi ya kiswahili
Sasa kauli hii ambayo ametoa Tulia Ackson bila uoga mbele ya kiongozi wa Nchi maana yake nini? Kamshirikisha Mwana Mbeya yupi ikiwa sisi watu wa Mbeya hatutaki Mkataba huo?
Hivi kwanini hawa viongozi wanatudharau kiasi hiki , Tufanyeje ili tuheshimike ?
Ee Mungu ikupendeze na mapenzi yako yatimizwe.View attachment 2712542
Spika Dr. Tulia amesema anaowawakilisha yaani wananchi wote wa Mbeya Mjini wanaunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Dr. Tulia amesema Mkoa wa Mbeya ni wakulima hivyo Uwekezaji wa Bandari utasaidia Mazao yao kufika kwenye Masoko kwa haraka.
Nanukuu
Baada ya kuitaja Bandari, maneno mengi yametoka huku Mbeya, nataka niseme hivi... Mimi ndiye mbunge wa hapa Mbeya Mjini na ni mwakilishi wa wananchi hawa walio wengi hapa. Kama mwakilishi wao, sisi wanambeya mimi kama mwakilishi wao tumekaa wameniambia wanakuunga mkono Rais kwenye uwekezaji ambao unafanyika kwenye bandari ya Dar es Salaam.
Na katika kukuunga mkono kwenye uwekezaji ambao Serikali inawekeza, wanakuunga mkono kwenye kutafuta wawekezaji wengine kuja kuboresha bandari ya Dar es Salaam ili mazao yanayotoka Nyanda za Juu Kusini yaweze kuwahi masoko ya nje.
---
Hili ni dhahiri kwamba Tulia Ackson ameamua kumdanganya Mh Rais kwa lengo la kumpotosha ili ajipatie umaarufu.
Kabla ya kuendelea hebu tuangalie maana halisi ya Uongo kama ilivyoelezwa kwenye kamusi ya kiswahili
Sasa kauli hii ambayo ametoa Tulia Ackson bila uoga mbele ya kiongozi wa Nchi maana yake nini? Kamshirikisha Mwana Mbeya yupi ikiwa sisi watu wa Mbeya hatutaki Mkataba huo?
Hivi kwanini hawa viongozi wanatudharau kiasi hiki , Tufanyeje ili tuheshimike ?