Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mode, mimi ni Tomaso, this letter doesn't look real! is this bonafide genuine?. Headed paper gani hii haina address?.
Hiyo barua ya kujiuzulu ikowapi?.
please do the needful.
P
Kwamba pengine Jobo kagoma wazee wakaamua kuandika na kutuma twitter?
 
On his way to CHADEMA.
Ndugai for presidency 2025 watu weweeeeeee
Sidhani kama hiyo subwoofer itafika 2025 bila kupasuka, hata sasaiv unawezakuta yuko hoi kitandani.
 
Watanzania tuwaze nje yabox anayo msururu was yanayomzonga na tusishadadie Moja pekee, iwapo amekubali kuwajibika Kwa hiari ni jambo jema na funzo Kwa wenye manlaka.
 
Hatakosa Uwaziri huyu. Hongera Mheshimiwa
 
Sheria inasema spika anapaswa kujiuzulu mbele ya bunge sasa imekuaje hapa? Afu mbona barua ni kavu
... hatujaletewa barua humu; kilicholetwa humu ni taarifa kwa umma kwamba Ndugai kaandika barua ya kujiuzulu. Kuhusu kujiuzulu mbele ya Bunge, kama ndivyo sheria inavyosema, hatua ya kwanza ni kuandika barua then "ikikubaliwa" mengine yanafuata ikiwemo kujiuzulu mbele ya Bunge.
 
Alikuwa anadhani upinzani ni jambo rahisi, amekuwa mpinzani ndani ya wiki tu na uspika ameukosa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alijua kuwa mpinzani ni kitu rahisi rahisi,
Namfananisha na chama cha CCJ, kilikufa haraka sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…