Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Bado katelefoni. Nae ana mhujumu sana Mh. Rais kwa siri. Aondoke na genge lake. Hatuwezi kuishi maisha ya shida kisa ni kundi dogo lina tafuta njia za kutuchonganisha na Mh. Rais. Maisha yame panda maksudi ili tumchukie Mama. Wao wakiji tengenezea njia ya 2025. Mungu ata wapatiliza wote mchana wa saa sita.
Tuna subiri walio mpa Mbowe kesi ya mchongo. Polisi, mahakama, nk.
 
Muoga huyu mzee [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa wewe ungefanyaje ndugu ukizingatia ile pressure kubwa kutoka kila sehemu na wew uko peke yako.
 
Akasema mwaka huu, lazm watakunywa maji kwenye viatu
 
... supremacy of the presidency! Tukiambiwa Katiba iliyopo inampa Rais mamlaka ya ki-mungu huwa tunachukulia mizaha au kujitoa ufahamu kichama!
 
uzi utaenda mbali kwa sekunde chache...Jinsi gani nyongo za wabongo zilivyochafuka na upepo wa matukio
 
Wewe ni kenge Kweli spika aliharibu bunge letu kuruhusu mijadala ya majungu, pumbavu Kweli wewe uliona alivyomdhalilisha professor Assad ache ateswe kulia kupokezana, kumbuka alivvyomsliba tundu lisu leo acha ateswe tu kquma y a mm y a k e
Yaani alivyomtesa Assad na Steve Masele yaani ilitosha nimchukie mno. Hivyo vichwa viwili ni super mno tena alivionea wivu yeye na Yule Mungu wake anayeendelea kuozea ardhini. Mungu si Athumani Yakhe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…