LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 9,006
- 14,536
Bado katelefoni. Nae ana mhujumu sana Mh. Rais kwa siri. Aondoke na genge lake. Hatuwezi kuishi maisha ya shida kisa ni kundi dogo lina tafuta njia za kutuchonganisha na Mh. Rais. Maisha yame panda maksudi ili tumchukie Mama. Wao wakiji tengenezea njia ya 2025. Mungu ata wapatiliza wote mchana wa saa sita.
Tuna subiri walio mpa Mbowe kesi ya mchongo. Polisi, mahakama, nk.
Tuna subiri walio mpa Mbowe kesi ya mchongo. Polisi, mahakama, nk.