Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Inakuwaje wanajamvi!

Nikiwakilisha vijana wote wa JF kutoka Arusha na kanda ya kaskazini kwa jumla. Tunatoa amri Job Ndugai ajiuzulu mara moja nyadhifa zake zote za uspika na ubunge.

Kaliletea taifa aibu na kuidharau serikali ya mama Samia ya awamu ya 6. Pia msamaha alioomba haukuturidhisha ulikuwa wa kinafiki.

Ajiuzulu mara moja bila kupoteza muda ili angalau ailinde heshima yake ndogo iliyosalia.
@Ngusero
Screenshot_2022-01-06-17-01-25-040_com.twitter.android.jpg
 
Gwajima mzoea vya kunyonga vya kuchija hiviwezi- kumuomba Ndugai ajiuzulu ni kuweka mambo mbali na mikono yako; usiogope damu yake; jitose kwa kuanzisha mchakato wa kumuondoa spika. Haya ya PRESS CONFERENCE ni kelele zisizo na maana.
 
Back
Top Bottom