Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Hongera kwa kutushukuru Watanzania kwa ushirikiano tulokupa, umesahau kitu kimoja ni KUTUOMBA MSAMAHA KWA ULIYOTUKOSEA kwa kutumia madaraka yako. Huo ndio uungwana, ni hayo tu Mheshimiwa.
 
... uko sahihi sana Mkuu; Rais kwa vyovyote ni lazima awe the highest authority. Tatizo linakuja pale mamlaka hayo yanapopindukia ni hatari sana!
Hayapinduki yana mipaka yake. Ndugai alikosea kusema nchi itauzwa wakati akijua fika kuna MKUU WA HIYO NCHI.
 
Hapo nafikiri somo kuhusu umuhimu wa kuwa na katiba mpya ndio linaanza kueleweka sasa kwa wana CCM. Walipoambia katiba ya sasa imempa madaraka makubwa mno, kiasi kwamba ukipingana naye unakwenda na maji walikuwa hawaelewi kabisa.

Sasa ndiyo waelewe, kama "mti mbichi ndio umetemdewa hivi, Je! itakuwaje kwa mti mkavu!?". Shoka limeinuka sasa na tayari kukata kila tawi linalonekana kuwa halifai kwa kigezo cha walioushika mpini wake.

Ole wao wale wote wenye kutamani na kikinyemelea kiti kile kitukufu tuelekeapo mwaka 2025.
... hii ndio maana halisi ya urais wa kifalme! Tena bora hata nchi nyingi za kifalme nowadays madaraka ya monarchy yako regulated kikatiba tofauti na miaka ya kale huko na hiyo ni baada ya ku-learn in the hard way!
 
Habar jf
Kwa mujibu wa Katiba yetu kazi kubwa ya bunge ni kuisimamia serikali, iweje leo spika kujipendekeza kwa serikali??

Swala la Dugai kujiuzulu kisa kamkosea mkuu wa serikali ni udhaifu mkubwa wa Bunge
 
Shinikizo la kutaka Spika ajiuzulu ktk nafasi yake limeshikiwa bango zaidi na wafuasi wa Mbowe/Chadema.

Niwazi kabisa Spika alikuwa mwiba mkali sana kwa ktk kusimamia sheria na kanuni za mbunge na haswa kwa wapinzani ambao walitaka kuleta mchezo.

Sasa leo hii hatuwezi kushangaa kuona genge la Mbowe likishangilia na kupiga mayowe eti Spika ajiuzulu.

Kamwe wana CCM Makini wasikubali kuingia ktk mtego huuu.

Inatosha na Inatosha sana kwa kitendo cha kiungwana alicho kifanya Spika cha kuomba radhi.

Kamwe tusikubali kuendelea kumdhalalisha Spika wetu aliye fanya kazi kwa umahiri mkubwa na kuisaidia nchi yetu.

Ni vyema wana CCM wakawa makini ktk kipindi hiki cha upepo mbaya, wapaswa kuwa watulivu na nidhamu ya hali ya juu.
Mungu Ibariki Tanzania.
Kazi iendeleee kama kawaida.
Maisha ni kutesa kwa zamu kaka..tuliyaaaaaa....na hakuna jambo lisilokuwa na mwisho
20220104_220716 (1).jpg
 
Foreign agents in Our Country, it’s a Coup!
 
Mode, mimi ni Tomaso, this letter doesn't look real! is this bonafide genuine?. Headed paper gani hii haina address?.
Hiyo barua ya kujiuzulu ikowapi?.
please do the needful.
Update.
Nimethibitisha hii ni kweli, bonafide genuine

Samahani Mkuu Roving Journalist kwa kukudoubt,
Tomaso ndivyo alivyo.
P

Pasco kaungane na Nduugai muanzishe chama chenu,

Hila unajiharibia,huenda ungepata teuzi awamu hii, ndio basi ishakula kwako,maana ushaonyesha kumbe upo kundi la hao Wahaini wanaomdharau Rais
 
It's not breaking. Kwanza kachelewa.
 
Aisee!,
Nahisi kutakuwa na mpishano. Ndugai Out, kisha Lissu ataingia Bungeni kama Mbunge wa kuteuliwa na Rais
 
Spika kamuandikia barua katibu wa bunge ambaye ni bosi wake na hata wakati wa kumuapisha katibu alimwapisha so Job kafata protocali
NO BIG NO
Boss ni Mwenyekiti na Katibu wa chama chake cha CCM waliompendekeza aende Bungeni
Barua kamuandikia Katibu Mkuu wa Chama na Nakala kampa Katibu wa Bunge
 
Jamaa ana kazi kweli maana bado kesi ya kumsingizia Yesu kuwa ana mke[emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa hii kesi iko mahakama gani mkuu?
 
Back
Top Bottom