Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,079
- 4,521
Ni wazi bioa shaka kilichofanyika kwa Ndugai ni uvunjifu wa Katiba.
Tangu tumepata Katiba Mpya hajawahi kutokea Rais kuingilia Muhimili mwingine na Kuchochea/Kufanya mapinduzi kwenye huo Muhimili, ila Rais Huyu amefanya hivyo.
Wabunge wanaoamini walioenda Bungeni kwa ajili ya Wananchi na Jamhuri na si kwa ajili ya CCM wanatakiwa wachukue Hatua kuiondoa nchi Kwenye Shimo la Kuzimu ambalo Rais Huyu anatuvuta twende.
Kama wabunge msipolifanyia kazi jambo hili Wananchi watalifanyia kazi...
CCM imepoteza uwezo na Sifa ya kuiongoza Tanzania. Mlioko Bungeni mna Nafasi ya kujirekebisha na kuiokoa Tanzania
Tangu tumepata Katiba Mpya hajawahi kutokea Rais kuingilia Muhimili mwingine na Kuchochea/Kufanya mapinduzi kwenye huo Muhimili, ila Rais Huyu amefanya hivyo.
Wabunge wanaoamini walioenda Bungeni kwa ajili ya Wananchi na Jamhuri na si kwa ajili ya CCM wanatakiwa wachukue Hatua kuiondoa nchi Kwenye Shimo la Kuzimu ambalo Rais Huyu anatuvuta twende.
Kama wabunge msipolifanyia kazi jambo hili Wananchi watalifanyia kazi...
CCM imepoteza uwezo na Sifa ya kuiongoza Tanzania. Mlioko Bungeni mna Nafasi ya kujirekebisha na kuiokoa Tanzania