Spika Ndugai adai tena kuwa Lissu alishalipwa pesa zake zote

Hahahaaahahha ukimwangalia usoni Ndungai unaonja kabisa huyu baba anaumwa safura
Ndugai hajapona ugonjwa wake kichwani, dah Mungu si atusaidie tu kwa huyu coconut head aliyeharibu bunge.
 
Eti lisu hali yake iwe mbaya halafu amwambie yule mgogo aliyepewa bunge kwakukosa msimamo. Pathetic hiv ndugai ana nini hasa Cha kujivunia au kujilinganisha na lisu

Ukiondoa vile ving'ombe vyake vyenye kwashakoo anavyolingia navyo hamna kingine zaidi ya umasikini tu.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Kabisa ! si tu aibu kwa familia yake but ni aibu kwa taifa
Ndugai ana kibri Cha uzima hajui madaraka ni ya mpito atendee wenzake haki na awe na utu. Huyu mzee kichefu chefu Sana, nchi ni yetu sote regardless ya ma vyama Yao.
 
Ila kwaleo ndu gai kamuonea Lissu kwa sababu Lissu alisema anaamini yaliyopo mitandaini hayana ukweli baada yakumuuliza mhusika wa wizard ya fedha. Yeye anaenda.bali zaidi nakumsema vibaya wkt yete hakutajwapopote. Dah, Spike unafeli sana. Bahati mbaya hata makofi bungeni yamepungua siku hz
 
You are very right.Nani alijua kuwa Magu atavuta very mysteriously but imewezekana kwa uwezo wa Mungu,Mungu kala kichwa cha Magu bila kumwaga damu.Nchi hii ilikuwa ni one man show daaaah,aisee nimeamini Mungu fundi
Ndugai ana kibri Cha uzima hajui madaraka ni ya mpito atendee wenzake haki na awe na utu. Huyu mzee kichefu chefu Sana, nchi ni yetu sote regardless ya ma vyama Yao.
 
You are very right.Nani alijua kuwa Magu atavuta very mysteriously but imewezekana kwa uwezo wa Mungu,Mungu kala kichwa cha Magu bila kumwaga damu.Nchi hii ilikuwa ni one man show daaaah,aisee nimeamini Mungu fundi
Mungu atusaidie tu hata kwa huyo ndugai mharibu bunge la nchi yake na hivi ana Kinga yakutokushtakiwa ndo shida haswa
 
Naona kama Ndugai amekata tamaa na maisha yake hivyo anafanya vurugu zote. Hama cha kupoteza. Kifupi kajizira.
 
Kulikuwa kuna haja gani ya kumshambulia Lissu?Kama ni kujibu angejibu tu kuwa hakuna anayedai na Lissu ameshalipwa!
Hiyo ya kuanza kumsakama Lissu kuwa kama ameishiwa huko Ulaya aseme,kwani Lissu ndiye kaeneza huo uzushi?
Isitoshe kabla ya kauli ya Ndugai,Lissu mwenyewe alikanusha uzushi huo wa mitandaoni na kusema si kweli!
Hapo ndipo watu wanamuona Ndugai ana chuki binafsi na Lissu!
Kama hujaliona hilo basi jitafakari uwezo wako wa ufahamu!
 
Ameanza kujishtukia kama taarifa si ya kweli anakanusha na kutoa maelezo ya nini?
 

[emoji122][emoji122][emoji122] good
 
Huyu naye uongo ndio ameona ni ukweli na ukweli ni uongo
Katiba Mpya inakuya weh haya tu....
 
[emoji1623][emoji1623]kitu inapigwa mtandaoni [emoji350] anacheza bungeni
Kajjihisi na sijui hofu ni ya nini aliyonayo?
 
Spika acha masiala,Lissu ni mtu mzima na ana akili timamu, kwamba akusingizie ili iweje ? Acha kabisa mchezo huo Mara moja Mungu anakuonya, ipo siku utafumba macho , tenda mema utalipwa mema aya ni Manisha yanapita ,please NDUGAI hacha,hacha,hacha,hacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…