Spika Ndugai ahoji kwanini pesa zinakwama Wizara ya Fedha. Amtaka Waziri kujiandaa akisema "Siku ya Wizara yake nitakamata shilingi mwenyewe"

Spika Ndugai ahoji kwanini pesa zinakwama Wizara ya Fedha. Amtaka Waziri kujiandaa akisema "Siku ya Wizara yake nitakamata shilingi mwenyewe"

Ameeleza, "Bunge tunaweza kuweka 'pressure' lakini sio vizuri tuiweke mahali ambapo hakuna sababu. Waziri nataka majibu, Fedha zinazokuja kwa ajili ya mazingira zinakwama Wizara ya Fedha kwa sababu gani? Mpaka inafika mahali zinataka kurudishwa"
Mwendazake aliwezaje kuzipitisha!!!!?
 
Back
Top Bottom