Sir curiosity
Senior Member
- Oct 2, 2021
- 153
- 118
Haiendelei tena mkuu! Tushanasa aisee!🥲Tusipo kuwa makini itachukua miaka 500 Tanzania kuendelea kiuchumi.
Ondoa " vijana wenyeji wa Dodoma" weka "wagogo"Akiwa kwenye kongamano lililokuwa limeandaliwa na vijana wenyeji wa dodoma ambapo alialikwa kama mgeni rasmi katika kongamano hilo, spika Ndugai amedai kuwa kuna upotoshaji mwingi sana unaendelea nchini.
Akitolea mfano suala la yeye kupingwa, Ndugai amesema anapingwa si kwa sababu ana pungufu lolote isipokuwa ni kwa sababu anatoka kwenye kabila la wagogo.
"Kuna baadhi wananiandika kila kukicha siyo kwa sababu nina pungufu lolote ila ni kwakuwa mimi ni mgogo" alisema.
Pia, alisema wengi wanaomchafua na kupotosha ni vijana wenye elimu ya juu 'digrii' kwamba badala ya wao kufanya kazi wanatumia simu zao za mkononi kumtukana mitandaoni.
" Darasa la saba ndiye mtoto mwenye maana kwa mzazi kwa sababu ukimwambia lima ana lima ila huyu wa digrii yeye ana simu ya mkononi, yupo kwenye makundi ya kutukana utasikia wanasema huyu spika bure kabisa huyu kisa wana digrii" alisema Spika Ndugai na kuongeza.
Katika hatua nyingine spika Ndugai amesema kuna upotoshaji unafanyika wakati wa upitishwaji wa sheria bungeni. Amesema kuna muda bungeni zinapitishwa sheria za hovyo kabisa.
Akitolea mfano wa marekebisho ya sheria mbali mbali 'miscellaneous amendments' amedai kuwa zinawasilishwa bungeni zikiwa vipande vipande tena kipindi ambacho wabunge wamesambaratika sehemu mbali mbali hivyo sheria hizo zinapata mwanya wa kupita kutokana na kutokuwepo kwa organization ya wabunge na pale mambo yanapoharibika linalaumiwa bunge kumbe kanuni zinakuwa zimetungwa na kupitishwa na wakurugenzi, taasisi na mawaziri wa wizara husika
View attachment 2061917
Huyo ndio bingwa wa kukomoa upinzani na wapinzani.Akitolea mfano suala la yeye kupingwa, Ndugai amesema anapingwa si kwa sababu ana pungufu lolote isipokuwa ni kwa sababu anatoka kwenye kabila la wagogo.
Huko sahihi kabsaa, kwan ukisikia mtu anaendeshwa na tumbo unaelewaje, mfno mzuri umeona baada ya kuondoka jpmTumeshuhudia ndugai akifukuza wabunge wenye uwezo wa kujadili, akiwazuia kuongea kwa Uhuru wao, ....... Ndugai ni mpumbavu maandalizi. Ukirejea jinsi bunge la 2015-2020 alivyo liendesha utakubaliana na mimi, huyu jamaa hafai.
Kama tukiendelea kupata viongozi wenye kuzungusha tako kwa mabeberu na kusujudia mabeberu hata hiyo miaka mia5 itakuwa bado atujaendeleaTusipo kuwa makini itachukua miaka 500 Tanzania kuendelea kiuchumi.
Siyo kwa nchi hii. Hiyo unaongelea kinadharia mkuu. Kivitendo haiwezekani. Rais atake jambo lake lipitishwe bungeni halafu spika azuie? Jioni yake atavuliwa uanwchama na uspika na ubunge ataondolewa na kwenda kuwa mkulima wa kawaidabasi alitakiwa kwa mamlaka yake kama spika azuie majadiliano ya jambo hilo mpaka wakati
Huyu jamaa ni dhaifu sana
Kutowesha upinzani nchini.Anachotaka kusema hapa ni kuwa serikali inapitisha miswada kwa kuvizia attendance ya wabunge??
Kama ameliona hilo anapaswa kuwakatalia kwa kuhakikisha kuwa miswada inajadiliwa kukiwa na mahudhurio ya kutosha ya wabunge.
Hapo tunaanza kuulizana National Interest ni ipi??
Ujinga au wehu wa Spika ni kupayuka ovyo. Lakini ukweli ni kuwa Bunge linapokea na kutekeleza maagizo ya serikali (Ikulu) - mihimili uliojichimbia chini zaidi.MH SIAMINI HAYA KABISA KWELI KABISA SUPIKA WETU WA BUNGE ANAWEZA KUSEMA SHERIA MBOVU ZINAPITISHWA KWENYE BUNGE LAKE?!?!!? HALAFU YEYE MWENYEWE AZILALAMIKIE?!? HIVI TUULIZANE NI NANI ANYEPELEKA SHERIA ZILIZOPITISHWA NA BUNGE KWA RAIS?!?. NAANZA KUAMINI SUPIKA KUNA KITU KICHWANI MWAKE KIMELEGEA SUKURUBU IMEACHIA MEDULA OBLANGATA, ANAHITAJI KURUDI INDIA!!. HIVI KWELI SUPIKA NAKIMBILIA KWENYE UGOGO,UKABILA?!?!, USOMI, DARASA LA SABA?!?! HIZO NI HOJA KWELI ZA KUTULETEA HAPA KAMA VILE SISI WATZ WOOOTE NI MBUMBUMBU!!??!, NO HATUKO MAZEZETA KIASI HICHO. NAANZA KUKUMBUKA ISSUE YA PROF. ASSAD KUANZIA REPORT YAKE YA UKAGUZI MPAKA HOJA YA BUNGE NI DHAIFU. SUPIKA KATUHAHAKISHIA ASILIMIA MIAMOJA BILA KUBAKIZA KWAMBA KWELI BUNGE NI DHAIFU HASWAA!! KWA KUSEMA SHERIA MBOVU ZILIPITISHWA BUNGENI
Huyu sio supika bali ni mpinzani bungeni anayelalamikia bungeSasa Yeye kama Spika wa Bunge ameliona hilo alichukua hatua gani?