Spika Ndugai amesema kuna upotoshaji mwingi unaendelea nchini, adai kuna wakati sheria za hovyo zinapitishwa bungeni

Kwamba ndug, jobu ndugai speeker wa bunge anajitetea mbele watetezi wake au hanafanya kitu gani hii.... Rubish kabisa
Hizi ni tatizo la akili ndogo kutwala akili kubwa...
Final say bungeni ni spika, so nani anapitisha izo sheria hanazo ziita miscellaneous ammendiment.... Kama yeye ajausiswa .huyo ni mzigo kwa taifa hovyo kabisa... na kwa nn?? .. hame- base sana kwenye ukabila..
 
Hao vijana wasomi wanaokushambulia mitandaoni wako sahihi, na sababu ni hizo ulizotaja, Bunge kupitisha miswada kwa kuvizia nawe unajuwa hali hiyo uchukui hatua, wacha wakutukane!
 
Ondoa " vijana wenyeji wa Dodoma" weka "wagogo"
 
Hivi huyu mtu ilikuwaje hadi akawa spika?
Hakukuwa na watu makini na wenye weledi?
 
Ameona atumie ukabila kama turufu!? Anataka vijana wasihoji wao wanapoharibu vijana walime tuu?
Anakosolewa mambo haya atuambie ugogo unakujaje
-kuhusu wabunge wa covid 19.
-kuhusu kugombana na Assad.
-kutotaka yeyote amkosoe spika au alikosoe bunge
-kuadhibu vikali wabunge wa upinzani kiss hojazao
- kupitisha haraka sheria mbovu za aibu mpaka yeye kujishangaa
-chuki na ubabe usio na maana
-kushindwa kumtendea haki mbunge alopigwa risasi akiwa kazini
-kutangaza bungeni kuwa kunawabunge hawatorudi kisa yeye hawapendi
-kumkosoa rais samia hadharani
-kutumia bunge kushambulia watu hata wa mitandaoni
Niaibu kubwa mhimili kuongozwa na MTU dhaifu hivi anayejiita eti mzee wa kanisa...
 
Akitolea mfano suala la yeye kupingwa, Ndugai amesema anapingwa si kwa sababu ana pungufu lolote isipokuwa ni kwa sababu anatoka kwenye kabila la wagogo.
Huyo ndio bingwa wa kukomoa upinzani na wapinzani.
Wa chama chake na hata waandishi nguli wanamtukuza na kumshangilia sana kwa ujinga huu unaoendelea kuua taifa letu kwa kasi. Eti ndio ushindi kwa chama chao kufanikiwa kuondoa 'kupingwapingwa', sijui ili iweje.
Bunge limekuwa ni la vigodoro, haiko tena kusimamia maslahi ya n chi na taifa. Linafanya vituko vya aibu mpaka kuruhusu hata wasio na chama kuwa nao humo. Kwa sasa hakuna tofauti ya mapofesa, wanasheria, wasomi na wale ambao hawakujaaliwa kupata elimu. Ndugai anaendelea kufaidi mapambio ya kishetani. Uzuri keshaanza kulia mwenyewe.
 
Tumeshuhudia ndugai akifukuza wabunge wenye uwezo wa kujadili, akiwazuia kuongea kwa Uhuru wao, ....... Ndugai ni mpumbavu maandalizi. Ukirejea jinsi bunge la 2015-2020 alivyo liendesha utakubaliana na mimi, huyu jamaa hafai.
Huko sahihi kabsaa, kwan ukisikia mtu anaendeshwa na tumbo unaelewaje, mfno mzuri umeona baada ya kuondoka jpm
 
Tusipo kuwa makini itachukua miaka 500 Tanzania kuendelea kiuchumi.
Kama tukiendelea kupata viongozi wenye kuzungusha tako kwa mabeberu na kusujudia mabeberu hata hiyo miaka mia5 itakuwa bado atujaendelea
 
basi alitakiwa kwa mamlaka yake kama spika azuie majadiliano ya jambo hilo mpaka wakati
Siyo kwa nchi hii. Hiyo unaongelea kinadharia mkuu. Kivitendo haiwezekani. Rais atake jambo lake lipitishwe bungeni halafu spika azuie? Jioni yake atavuliwa uanwchama na uspika na ubunge ataondolewa na kwenda kuwa mkulima wa kawaida
 
Huyu jamaa ni dhaifu sana

Alivyoambiwa kuwa yeye ni spika dhaifu, akaanza kuwatoa wabunge wa upinzani ndani ya bunge ili kudhibitisha kuwa yeye sio dhaifu! Bila kujua uimara haukuwa unapimwa kwa ubabe wa kijinga, bali hizo sheria mbovu zinazopitishwa. Leo huu anakiri kuwa kuna sheria mbovu zinapitishwa, ila anataka asitukanwe na kuonekana sio dhaifu.
 
Kutowesha upinzani nchini.
 
Ujinga au wehu wa Spika ni kupayuka ovyo. Lakini ukweli ni kuwa Bunge linapokea na kutekeleza maagizo ya serikali (Ikulu) - mihimili uliojichimbia chini zaidi.

Bunge lenyewe la CCM na waunga mkono wa juhudi. What good can come outa such trash. Assad alilita kwa usahihi kabisa, bunge la mazuzu.
 
Ndo maana ya BUNGE DHAIFU. CAG alipotamka kauli hii, Spika alikua mkali kama Mbogo aliyejeruhiwa. Leo anakiri mwenyewe. Wewe Ndugai ulieaminiwa ukapewa usupuka, Ni nani aliyekuloga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…