Spika Ndugai aomba radhi Wakristo kwa kauli yake kuhusu Yesu

Spika Ndugai aomba radhi Wakristo kwa kauli yake kuhusu Yesu

Nimeona taarifa ya Bunge kuwa Ndugai anatuomba radhi Wakristo. Kusema Yesu ana mke hayo ni maneno ya Mpinga Kristo kwa mujibu wa imani yangu.

Kwanini Ndugai atume mtu aniombe radhi wakati amemdhalilisha Bwana wangu Yesu Kristo na kumnenea uongo?

Ndugai ameshindwa nini kuja kwenye vyombo vya habari yeye mwenyewe au kutumia njia ilele aliyonikwaza kuniomba radhi?

Mimi naona amenidharau na dini yangu na Bwana wangu. Sijamsamehe
Hiyo hapo
IMG-20210831-WA0031.jpg
 
Nguvu ya mitandao imefanya kazi, na sisi hili Shauri tunamuachia Yesu Kristu aamue itakavyompendeza.
Acheni kutafuta ujiko kirahisi rahisi. Akuombe msamaha kwani amekukosea nini? Kukosea ni jambo la kawaida. Isitoshe, kisheria, anaypaswa kuomba msamaha ni Yesu kama atakuwa ameudhika. Pia, fahamu. Yesu alipoondoka alicha wanafunzi na si wakristo jina ambalo liliundwa na maadui zake kwa kejeli wakimaanisha wale walioanza kufuata mafundisho yake sawa na walutheran na luther au wahutterite na Jacob Hutter wamennonite na Menno Simmons etc.
 
Nimeona taarifa ya Bunge kuwa Ndugai anatuomba radhi Wakristo. Kusema Yesu ana mke hayo ni maneno ya Mpinga Kristo kwa mujibu wa imani yangu.

Kwanini Ndugai atume mtu aniombe radhi wakati amemdhalilisha Bwana wangu Yesu Kristo na kumnenea uongo?

Ndugai ameshindwa nini kuja kwenye vyombo vya habari yeye mwenyewe au kutumia njia ilele aliyonikwaza kuniomba radhi?

Mimi naona amenidharau na dini yangu na Bwana wangu. Sijamsamehe
That man won't go further from where he is now, he has spoken blasphemy and he is liable to be devoured by the Almighty God's wrath
 
Hakupaswa kuomba huo msamaha kwani waliokosewa si wakristo bali Yesu ambaye naye halalamiki. Kukosea ni jambo la kawaida. Isitoshe, kisheria, anaypaswa kuomba msamaha ni Yesu kama atakuwa ameudhika. Pia, fahamu. Yesu alipoondoka alicha wanafunzi na si wakristo jina ambalo liliundwa na maadui zake kwa kejeli wakimaanisha wale walioanza kufuata mafundisho yake sawa na walutheran na luther au wahutterite na Jacob Hutter wamennonite na Menno Simmons etc.
 
Ulimi hauna mfupa!
Uwe na amani tu kaka Ayubu.

Na wala kwa kusema hivyo haindoi uhalisia wa kuwa Yesu hakuwahi kuoa na ni Mkombozi wa Ulimwengu.

Sisi ni waelewa na hatunaga desturi za visasi na kukutuhumu kukufuru.
 
Acheni kutafuta ujiko kirahisi rahisi. Akuombe msamaha kwani amekukosea nini? Kukosea ni jambo la kawaida. Isitoshe, kisheria, anaypaswa kuomba msamaha ni Yesu kama atakuwa ameudhika. Pia, fahamu. Yesu alipoondoka alicha wanafunzi na si wakristo jina ambalo liliundwa na maadui zake kwa kejeli wakimaanisha wale walioanza kufuata mafundisho yake sawa na walutheran na luther au wahutterite na Jacob Hutter wamennonite na Menno Simmons etc.
Unaonekana umejipanga kwa ubishani wa kiimani, nakushauri kunywa maji kwanza.
 
Spika wa Bunge Job Ndugai amewaomba radhi wakristu kwa kauli aliyotoa leo bungeni alipokuwa akielezea alivyotembelea Israel

Katika maelezo yake alisema "Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareti kwenda Yerusalemu kuhesabiwa" ambapo amesema alimaanisha Yusufu alitembea na mke wake sio Yesu kama alivyotamka

Amesema kilichotokea ni kosa la kibinadamu. Alivyokuwa anaeleza kuwa anaufahamu ukristo vizuri na kuwa amewahi kuhiji maeneo matakatifu

View attachment 1918431
View attachment 1918433
Hongera Kwa Spika Kwa kujua kosa na kurekebisha na kuomba radhi hakika tunatakiwa kujifunza Kwa viongozi wetu hawa!!!
 
Spika wa Bunge Job Ndugai amewaomba radhi wakristu kwa kauli aliyotoa leo bungeni alipokuwa akielezea alivyotembelea Israel

Katika maelezo yake alisema "Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareti kwenda Yerusalemu kuhesabiwa" ambapo amesema alimaanisha Yusufu alitembea na mke wake sio Yesu kama alivyotamka

Amesema kilichotokea ni kosa la kibinadamu. Alivyokuwa anaeleza kuwa anaufahamu ukristo vizuri na kuwa amewahi kuhiji maeneo matakatifu

View attachment 1918431
View attachment 1918433
Mchana nilosema huyu wamuwahishe pale jirani yake hamkunielewa
 
Wakristu hawana time na wala wasingemuuliza...yeye aombe toba kwa Mungu.
Ila siku zote kiburi na kuwa much know lazima siku moja upate aibu...
Hata hivyo hapa duniani sisi ni wapitaji..
Mwenyezi Mungu atupe mwisho mwema.
 
Back
Top Bottom