Mungu kaamua kumuumbua mwenyewe...Alichokisema kina pingana na madai yakeNa watadhalikika sana hawa kwa kufikiri wataweza kuumiza Watu wa Mungu kwa hizi chanjo zao zenye walakini. Glory to God!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu kaamua kumuumbua mwenyewe...Alichokisema kina pingana na madai yakeNa watadhalikika sana hawa kwa kufikiri wataweza kuumiza Watu wa Mungu kwa hizi chanjo zao zenye walakini. Glory to God!
Tumewaza sawasawa!Kwa alivyokuwa anatiririka ili kujifanya bora kuliko mtumishi wa Mungu! Mungu akaamua kumzuia asijichukulie point 3. Mungu huwapinga wenye kiburi
Kawaida nn kusema kua Yesu alikua n mkeMbna ilikuwa kawaida tu cdm ndio wameeikuza mno nakina Veronika vitalis
Lkn si alimuoa bikira Maria baadae na wakazaa naye watoto kadhaa.Atuombe na Wakatoliki msamaha kwani tunaamini Yusufu alikua ni mchumba wa mama Bikira Maria.
Sawa ila pia ipo wazi tu YESU amewai kutaka chumbia ,bali hata uyo mchumba hakujua Kama aliekua anaaproach alikua YESU, wachache wataelewa,Kusaidiwa nw maandiko ili kufanikisha hadhima yako inaweza kuwa sahihi endapo unatumia andiko husika ili kuponya hama kumuinua Mungu.
Ukitaka kutumia tofauti basi mwisho wako huwa mbaya japo si kwa wakati huo huo.
Spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa TanzaniaJob Ndugai alipokuwa bungeni alitumia baadhi ya articles za Biblia kuwasilisha alichokuwa anataka.
View attachment 1918553
Baada ya kudanganya kwa kauli hizo hapo juu kwenye video wenye imani nadhani wakaanza kumpiga mawe ndipo akapewa taarifa na msaidizi wake kuwa alichemka si Yesu aliyetembea na mkewe 😁, akaja na barua hii hapa chini.
View attachment 1918561
This guy doesn't deserve to be there period!!!Kusaidiwa nw maandiko ili kufanikisha hadhima yako inaweza kuwa sahihi endapo unatumia andiko husika ili kuponya hama kumuinua Mungu.
Ukitaka kutumia tofauti basi mwisho wako huwa mbaya japo si kwa wakati huo huo.
Spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa TanzaniaJob Ndugai alipokuwa bungeni alitumia baadhi ya articles za Biblia kuwasilisha alichokuwa anataka.
View attachment 1918553
Baada ya kudanganya kwa kauli hizo hapo juu kwenye video wenye imani nadhani wakaanza kumpiga mawe ndipo akapewa taarifa na msaidizi wake kuwa alichemka si Yesu aliyetembea na mkewe 😁, akaja na barua hii hapa chini.
View attachment 1918561
Umeandika kishabiki sanaSawa ila pia ipo wazi tu YESU amewai kutaka chumbia ,bali hata uyo mchumba hakujua Kama aliekua anaaproach alikua YESU, wachache wataelewa,
Na YESU hakuwa Kama uyu twaaminishwa pitia mapicha ,Huyu alikua bonge la giant, that's Hata uyo binti alietakiwa chumbiwa , alipoteza fulsa , hakufaham Kama ndie YESU ,
Nakubali YESU hakuoa
Simsamehi katu. Huyu ndiye mwakilishi wa "666" hapa Tanzania.Nimeona taarifa ya Bunge kuwa Ndugai anatuomba radhi Wakristo. Kusema Yesu ana mke hayo ni maneno ya Mpinga Kristo kwa mujibu wa imani yangu.
Kwanini Ndugai atume mtu aniombe radhi wakati amemdhalilisha Bwana wangu Yesu Kristo na kumnenea uongo?
Ndugai ameshindwa nini kuja kwenye vyombo vya habari yeye mwenyewe au kutumia njia ilele aliyonikwaza kuniomba radhi?
Mimi naona amenidharau na dini yangu na Bwana wangu. Sijamsamehe
Mariam alikuwa mchumba wa yusufu na hakuwa mke kama ******* anavyotuaminisha.
Hii ni kuteleza tuu ulimi ni jambo la kawaida, lets not make it a big deal!.Kusaidiwa nw maandiko ili kufanikisha hadhima yako inaweza kuwa sahihi endapo unatumia andiko husika ili kuponya hama kumuinua Mungu.
Ukitaka kutumia tofauti basi mwisho wako huwa mbaya japo si kwa wakati huo huo.
Spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa TanzaniaJob Ndugai alipokuwa bungeni alitumia baadhi ya articles za Biblia kuwasilisha alichokuwa anataka.
View attachment 1918553
Baada ya kudanganya kwa kauli hizo hapo juu kwenye video wenye imani nadhani wakaanza kumpiga mawe ndipo akapewa taarifa na msaidizi wake kuwa alichemka si Yesu aliyetembea na mkewe 😁, akaja na barua hii hapa chini.
View attachment 1918561
Nafiki hujui , Ndo maana waja na povu, hakuna ushabiki,Umeandika kishabiki sana
It's corridor newz
Own-wishful thought
Just a mere words
ULIMI HAUNA MFUPA....Kusaidiwa nw maandiko ili kufanikisha hadhima yako inaweza kuwa sahihi endapo unatumia andiko husika ili kuponya hama kumuinua Mungu.
Ukitaka kutumia tofauti basi mwisho wako huwa mbaya japo si kwa wakati huo huo.
Spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa TanzaniaJob Ndugai alipokuwa bungeni alitumia baadhi ya articles za Biblia kuwasilisha alichokuwa anataka.
View attachment 1918553
Baada ya kudanganya kwa kauli hizo hapo juu kwenye video wenye imani nadhani wakaanza kumpiga mawe ndipo akapewa taarifa na msaidizi wake kuwa alichemka si Yesu aliyetembea na mkewe 😁, akaja na barua hii hapa chini.
View attachment 1918561