nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
MBAYA ZAIDI MSAMAHA BADO UNASISITIZA WALIKUWA WANAENDA JERUSALEM SIYO BETHLEHEM, hivi hawa watu mbona wanapenda kukera hivi???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila huyu anayejiita askofu nae achague moja. Siasa au dini.Mungu ni fundi huwezi kumtukana Askofu kwa kumuonea kisa ubunge
Barua nayo imekosewa bado ni kawaida?Kukosea ni kawaida tu.
Yesu alioa?Kukosea ni kawaida tu.
Tunamsamehe kwakuwa tunajua ni side effects za arv
Imetengenezwa na NdugaiSijaiona mimi
Takuwasha mabanzi..😅
Biblia mpya hiyo..😎
Atuombe na Wakatoliki msamaha kwani tunaamini Yusufu alikua ni mchumba wa mama Bikira Maria.
Acha kuandika mambo ya kusadikika.Sawa ila pia ipo wazi tu YESU amewai kutaka chumbia ,bali hata uyo mchumba hakujua Kama aliekua anaaproach alikua YESU, wachache wataelewa,
Na YESU hakuwa Kama uyu twaaminishwa pitia mapicha ,Huyu alikua bonge la giant, that's Hata uyo binti alietakiwa chumbiwa , alipoteza fulsa , hakufaham Kama ndie YESU ,
Nakubali YESU hakuoa
Aombe kama nani Ndungai au Spika? Kama alizungumza kama Spika basi bunge ndio liombe toba sio yeye.Hakuwa anazungumza kama Ndugai bali kama Spika.
Hivyo bunge kuaddress ni sawa kabisa.
Zaidi aombe toba kwa Mungu wake.
Ndugai aende na maji harakaNguvu ya mitandao imefanya kazi, na sisi hili Shauri tunamuachia Yesu Kristu aamue itakavyompendeza.