Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe kama umedunga J&J kuwa makini kila siku ukiamka asubuhi kajiangalie kwenye kioo jinsi unavyoanza kuwa na sura ya zombi kidogo kidogo!😀😀😀unasubiri itokee kama mumeo askofu Rashidi alivyosema watu watakua mazombi?
Siwezi kukuzuia kuwaza utakavyo hata kama unawaza hovyo au kujenga hisia za uongo mwanangu.Unaonekana umejipanga kwa ubishani wa kiimani, nakushauri kunywa maji kwanza.
Sema tu ni kwa kuwa wakristo huwa hawapendi kukuza mambo na pia dini huwa inasisitiza sana upendo na kusamehe. Lakini kama angekuwa amesema jambo linalokwenda kinyume kwa kiongozi wa ule upande mwingine (Muddy) ungeona reaction za kila aina na pengine angejitokeza HAMZA mwingine huko bungeni.Acheni kutafuta ujiko kirahisi rahisi. Akuombe msamaha kwani amekukosea nini? Kukosea ni jambo la kawaida. Isitoshe, kisheria, anaypaswa kuomba msamaha ni Yesu kama atakuwa ameudhika. Pia, fahamu. Yesu alipoondoka alicha wanafunzi na si wakristo jina ambalo liliundwa na maadui zake kwa kejeli wakimaanisha wale walioanza kufuata mafundisho yake sawa na walutheran na luther au wahutterite na Jacob Hutter wamennonite na Menno Simmons etc.
Nguvu ya mitandao imefanya kazi, na sisi hili Shauri tunamuachia Yesu Kristu aamue itakavyompendeza.
Umesema sawasawa kabisaNimeona taarifa ya Bunge kuwa Ndugai anatuomba radhi Wakristo. Kusema Yesu ana mke hayo ni maneno ya Mpinga Kristo kwa mujibu wa imani yangu.
Kwanini Ndugai atume mtu aniombe radhi wakati amemdhalilisha Bwana wangu Yesu Kristo na kumnenea uongo?
Ndugai ameshindwa nini kuja kwenye vyombo vya habari yeye mwenyewe au kutumia njia ilele aliyonikwaza kuniomba radhi?
Mimi naona amenidharau na dini yangu na Bwana wangu. Sijamsamehe
Aombe radhi tena maana walitoka Nazareth kwenda Bethlehem na sio kwenda Jerusalem!Spika wa Bunge Job Ndugai amewaomba radhi wakristu kwa kauli aliyotoa leo bungeni alipokuwa akielezea alivyotembelea Israel
Katika maelezo yake alisema "Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareti kwenda Yerusalemu kuhesabiwa" ambapo amesema alimaanisha Yusufu alitembea na mke wake sio Yesu kama alivyotamka
Amesema kilichotokea ni kosa la kibinadamu. Alivyokuwa anaeleza kuwa anaufahamu ukristo vizuri na kuwa amewahi kuhiji maeneo matakatifu
View attachment 1918431
View attachment 1918433
Ujue wanapingana na Mungu, Mungu wetu hataki watanzania tuangamie, na huyo huyo ndugai kipindi cha Magufuli alishabikia chanjo mbaya leo unajadili na kusema eti kusema chanjo ni mbaya ni makosa??? Na bado, adhabu ya Mungu yaja, maana Yesu ni Mungu, huwezi kutoa kauli kama hiyo kama bila kudhamiria, ni kafanya makusudi. Luckily Yesu huwa anajitetea, ila ingekuwa Mohammed nadhani fatwa zingekuwa zimetangazwaKukosea ni kawaida tu.
Nakubaliana nawe. Upande wa pili una malezi mabaya yaliyojengwa kwenye jazba badala ya fikra, visasi badala ya msamaha. Ila mie huwa sijali upande. Hata ilipotokea kashfa ya Rushdie, ingekuwa leo, ningewashauri wamwache aliyetukanwa alalamike ila si wao. Mwanangu nakubaliana nawe. Mtu anatukanwa baba au mama yake halalamiki. Ila akitukaniwa mtume eti yuko tayari kuua wakati jamaa mwenyewe wala hakumuona. Hii akili au uchizi?Sema tu ni kwa kuwa wakristo huwa hawapendi kukuza mambo na pia dini huwa inasisitiza sana upendo na kusamehe. Lakini kama angekuwa amesema jambo linalokwenda kinyume kwa kiongozi wa ule upande mwingine (Muddy) ungeona reaction za kila aina na pengine angejitokeza HAMZA mwingine huko bungeni.
AminaNguvu ya mitandao imefanya kazi, na sisi hili Shauri tunamuachia Yesu Kristu aamue itakavyompendeza.
Sasa naanza kupata picha kwa nini akiendesha vikao vya bunge huwa na vitabu lukuki pale mezani kwake. MEMORY LOW!Aombe radhi tena maana walitoka Nazareth kwenda Bethlehem na sio kwenda Jerusalem!
Nimeona taarifa ya Bunge kuwa Ndugai anatuomba radhi Wakristo. Kusema Yesu ana mke hayo ni maneno ya Mpinga Kristo kwa mujibu wa imani yangu.
Kwanini Ndugai atume mtu aniombe radhi wakati amemdhalilisha Bwana wangu Yesu Kristo na kumnenea uongo?
Ndugai ameshindwa nini kuja kwenye vyombo vya habari yeye mwenyewe au kutumia njia ilele aliyonikwaza kuniomba radhi?
Mimi naona amenidharau na dini yangu na Bwana wangu. Sijamsamehe
Kuna sheria hupitishwa akiwa kitini lakini amelala, akiamka anaanza kushangaa ilipitaje na yeye alikuwepo?Sasa naanza kupata picha kwa nini akiendesha vikao vya bunge huwa na vitabu lukuki pale mezani kwake. MEMORY LOW!