Hiyo hapoNimeona taarifa ya Bunge kuwa Ndugai anatuomba radhi Wakristo. Kusema Yesu ana mke hayo ni maneno ya Mpinga Kristo kwa mujibu wa imani yangu.
Kwanini Ndugai atume mtu aniombe radhi wakati amemdhalilisha Bwana wangu Yesu Kristo na kumnenea uongo?
Ndugai ameshindwa nini kuja kwenye vyombo vya habari yeye mwenyewe au kutumia njia ilele aliyonikwaza kuniomba radhi?
Mimi naona amenidharau na dini yangu na Bwana wangu. Sijamsamehe
Acheni kutafuta ujiko kirahisi rahisi. Akuombe msamaha kwani amekukosea nini? Kukosea ni jambo la kawaida. Isitoshe, kisheria, anaypaswa kuomba msamaha ni Yesu kama atakuwa ameudhika. Pia, fahamu. Yesu alipoondoka alicha wanafunzi na si wakristo jina ambalo liliundwa na maadui zake kwa kejeli wakimaanisha wale walioanza kufuata mafundisho yake sawa na walutheran na luther au wahutterite na Jacob Hutter wamennonite na Menno Simmons etc.Nguvu ya mitandao imefanya kazi, na sisi hili Shauri tunamuachia Yesu Kristu aamue itakavyompendeza.
Baada ya kwenda kutafakali na kuona wamekosea wameamua kuja na barua ya kuomba msamaha.., wafalme wafalme wafalme ipo siku barafu mliyonayo itageuka kuwa kaa la moto.
Na kuomba msamaha ni hekima.Kukosea ni kawaida tu.
That man won't go further from where he is now, he has spoken blasphemy and he is liable to be devoured by the Almighty God's wrathNimeona taarifa ya Bunge kuwa Ndugai anatuomba radhi Wakristo. Kusema Yesu ana mke hayo ni maneno ya Mpinga Kristo kwa mujibu wa imani yangu.
Kwanini Ndugai atume mtu aniombe radhi wakati amemdhalilisha Bwana wangu Yesu Kristo na kumnenea uongo?
Ndugai ameshindwa nini kuja kwenye vyombo vya habari yeye mwenyewe au kutumia njia ilele aliyonikwaza kuniomba radhi?
Mimi naona amenidharau na dini yangu na Bwana wangu. Sijamsamehe
Hakupaswa kuomba huo msamaha kwani waliokosewa si wakristo bali Yesu ambaye naye halalamiki. Kukosea ni jambo la kawaida. Isitoshe, kisheria, anaypaswa kuomba msamaha ni Yesu kama atakuwa ameudhika. Pia, fahamu. Yesu alipoondoka alicha wanafunzi na si wakristo jina ambalo liliundwa na maadui zake kwa kejeli wakimaanisha wale walioanza kufuata mafundisho yake sawa na walutheran na luther au wahutterite na Jacob Hutter wamennonite na Menno Simmons etc.
Mariamu alikuwa mke wa Yusuf?Ameonyesha uungwana kama alivyokuwa anamshauri jerry Silaa.
Nafikiri anaombewa msamaha,kwa jeuri yake hawezi kuomba.Mh Job Ndugai ni mtu wa kuomba msamaha?
Hakika Dunia ni tambara bovu
Unaonekana umejipanga kwa ubishani wa kiimani, nakushauri kunywa maji kwanza.Acheni kutafuta ujiko kirahisi rahisi. Akuombe msamaha kwani amekukosea nini? Kukosea ni jambo la kawaida. Isitoshe, kisheria, anaypaswa kuomba msamaha ni Yesu kama atakuwa ameudhika. Pia, fahamu. Yesu alipoondoka alicha wanafunzi na si wakristo jina ambalo liliundwa na maadui zake kwa kejeli wakimaanisha wale walioanza kufuata mafundisho yake sawa na walutheran na luther au wahutterite na Jacob Hutter wamennonite na Menno Simmons etc.
NAKAZIA 👍🏽Nafikiri anaombewa msamaha,kwa jeuri yake hawezi kuomba.
Hongera Kwa Spika Kwa kujua kosa na kurekebisha na kuomba radhi hakika tunatakiwa kujifunza Kwa viongozi wetu hawa!!!Spika wa Bunge Job Ndugai amewaomba radhi wakristu kwa kauli aliyotoa leo bungeni alipokuwa akielezea alivyotembelea Israel
Katika maelezo yake alisema "Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareti kwenda Yerusalemu kuhesabiwa" ambapo amesema alimaanisha Yusufu alitembea na mke wake sio Yesu kama alivyotamka
Amesema kilichotokea ni kosa la kibinadamu. Alivyokuwa anaeleza kuwa anaufahamu ukristo vizuri na kuwa amewahi kuhiji maeneo matakatifu
View attachment 1918431
View attachment 1918433
Mchana nilosema huyu wamuwahishe pale jirani yake hamkunielewaSpika wa Bunge Job Ndugai amewaomba radhi wakristu kwa kauli aliyotoa leo bungeni alipokuwa akielezea alivyotembelea Israel
Katika maelezo yake alisema "Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareti kwenda Yerusalemu kuhesabiwa" ambapo amesema alimaanisha Yusufu alitembea na mke wake sio Yesu kama alivyotamka
Amesema kilichotokea ni kosa la kibinadamu. Alivyokuwa anaeleza kuwa anaufahamu ukristo vizuri na kuwa amewahi kuhiji maeneo matakatifu
View attachment 1918431
View attachment 1918433