Spika Ndugai aomba radhi Wakristo kwa kauli yake kuhusu Yesu

Wewe na Ndugai wote mpo kwenye kundi moja.
 
Spika alimtaka Jerry Silaa kukanusha kaulivyake kwa njia ileile aliyoitolea, yaani aite wananchi na kwenye mkutano huo abadili maneno yake kuhusu wabunge kutolipa kodi.
Kwanini naye asutumie njia ileile aliyotolea kauli yake kuwa Yesu alikwenda Yerusalemu akiwa na mkewe, akanushe na kuwaomba radhi wakristu na kuliomba bunge msamaha kwa kulidanganya, huku akijua kuwa anasema uongo na kuwakera watu na Yesu mwenyewe?
 
Ni sawa kwa spika kulidanganya bunge na kulivunjia heshima mbele ya jamii kwa kusema Yesu alikuwa na mke?
Nami ataiambia kamati imhoji na alete ushahidi wa kauli yake?
 
Huyu Ndugai vipi?
 
Hahaha Hiyo Inaitwa Mfupa Hauna Ulimi,,,ulimi Hauna...Hayo Ni Makosa Ya Kimatamshi Tu. Najiuliza Tu Hivi Angekuwa Ananisimulia Mimi Binafsi Tupo Wawili Kama Mkristo Angeniomba Msamaha?
 
Hahahaha Na Ndio Maana Hata Wewe Huwezi Kutuomba Msamaha Kwa Kwa Kujiita Father Of All.
sijui Ulimaanisha Baba Wa Vyote Au Wa Wote, Lakini Je Sisi Wote Wewe Ni Baba Yetu? Tuombe Radhi Tafadhali
 
Simsamehi katu. Huyu ndiye mwakilishi wa "666" hapa Tanzania.
Uko sahihi mkuu kwa maneno kutoka kinywani mwake yanayoashiria uwakilishi wa mpinga kristo (blasphemy) is just an iceberg the worst is still to come when the citizens will gnash due to the torment endorsed by the authority of this type
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…