Spika Ndugai apinga agizo la Serikali kuzuia wanafunzi kusoma wakati wa likizo, aahidi kulifikisha Bungeni

Spika Ndugai apinga agizo la Serikali kuzuia wanafunzi kusoma wakati wa likizo, aahidi kulifikisha Bungeni

Ikiwa ni wiki chache zimepita tangu serikali iweke marufuku ya wanafunzi kusoma wakati wa likizo ili wapate muda wa kupumzika na kujifunza stadi mbali mbali za maisha wakiwa nyumbani, spika Job Ndugai amepinga vikali zuio hilo akidai kuwa linachelewesha maendeleo.

Spika Ndugai amesema wananchi wa kongwa walikuwa wamejipanga wanafunzi kusoma wakati wa likizo huku wakiwa tayari kujitolea kwa chakula pamoja na motisha kwa walimu ambao wangejitolea kufundisha wanafunzi hao na hivyo amedai kwamba kitendo cha serikali kuweka zuio ni kuchelewesha maendeleo kwani wanafunzi wanaosoma wakati wa likizo ni madarasa ya mitihani pekee.

Katika hatua nyingine, spika Ndugai amedai kuwa watu wanamdharau kwakuwa yeye ni 'mgogo' huku akiwashukia vikali vijana wenye digrii kuwa ndio wanaoongoza kwa kumtukana mitandaoni.
Nyinyi ni wazushi wazee wa zengwe wachochea ugonvi mpo wengi humu janvini
 
Hapa kuna Point Tatu...
Moja kwanini hao waalimu wasihakikishe vitu vinamalizika within a given time ?

Mbili Walioweka muda wa Likizo walikosea ?

Tatu Serikali isipinge kwa wale wanaohitaji ziada / marudio ila muda wa likizo usitumike kufanya kile ambacho inatakiwa / ingetakiwa kufanyika wakati wa masomo
Huyo waziri amechemka vibaya sana maana kama ni tuition ni hiari ya watoto na wazazi wao.

Waziri anaingilia ili iweje?
Awache wazazi wafanye maamuzi juu ya future ya watoto wao.
 
Itapendeza iwapo ndugai ataanzisha shule yake ya uongozi
 
Hapa kuna Point Tatu...
Moja kwanini hao waalimu wasihakikishe vitu vinamalizika within a given time ?

Mbili Walioweka muda wa Likizo walikosea ?

Tatu Serikali isipinge kwa wale wanaohitaji ziada / marudio ila muda wa likizo usitumike kufanya kile ambacho inatakiwa / ingetakiwa kufanyika wakati wa masomo
Majibu...
1. Walimu shule za serikali hawajitoshelezi, mwalimu mmoja anafundisha sayansi la 7, sayansi la 6, hisabati la 5 na kiingereza la 3
2. Muda wa likizo ni sahihi tu kama uwiano wa walimu na wanfunzi ni wa 1:5. Shule za serikali ni kwa wastani ni 1:40
3. Umesema sawa.
 
Hoja yako inaweza kuwa valid mzee wangu ila Hilo wazo Lakota la kulifikisha bungeni sina Hakka kama litakusaidia maana Hilo bunge unalolisema si ni lile mkaguzu mkuu Asad alisema ni dhaifu? Bado na udhaifu wake haina watu wa kuchambua hoja kama kina Msigwa, Kesi, Mbowe, Chenge,Lema,Heche bardo sijaona bunge la kupeleka hoja yako wakakusaidia Ila kama unataka vijembe utapewa vya kukutosha.
 
Kama wewe ni mgogo pole sana mkuu
We mbangubangu unasemaje
Me na Dodoma tofauti ndugu
watu aina ya ndugai hawafai kupewa madaraka makubwa
Kwa sababu yeye mwenyewe anajiona kama hafai ataishia kuumiza watu ili kujipa ukuu ambao anahisi hana jambo ambalo hamna mwenye habari nalo
Hata uwe msandawe hamna anayejali hilo fanya kazi

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
We mbangubangu unasemaje
Me na Dodoma tofauti ndugu
watu aina ya ndugai hawafai kupewa madaraka makubwa
Kwa sababu yeye mwenyewe anajiona kama hafai ataishia kuumiza watu ili kujipa ukuu ambao anahisi hana jambo ambalo hamna mwenye habari nalo
Hata uwe msandawe hamna anayejali hilo fanya kazi

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kama ni madaraka makuu ndiyo tayari anayo maana anaongozo moja ya mhimili unao ogopwa sana hapa TANZANIA
 
Hapa kuna Point Tatu...
Moja kwanini hao waalimu wasihakikishe vitu vinamalizika within a given time ?

Mbili Walioweka muda wa Likizo walikosea ?

Tatu Serikali isipinge kwa wale wanaohitaji ziada / marudio ila muda wa likizo usitumike kufanya kile ambacho inatakiwa / ingetakiwa kufanyika wakati wa masomo
Kama darasa moja lenye mwalimu mmoja linatoa wanafunzi wenye ufaulu tofauti bila shaka kuna uhitaji tofauti wa ufundishaji katika hili Spika yuko sahihi
 
Hapa kuna Point Tatu...
Moja kwanini hao waalimu wasihakikishe vitu vinamalizika within a given time ?

Mbili Walioweka muda wa Likizo walikosea ?

Tatu Serikali isipinge kwa wale wanaohitaji ziada / marudio ila muda wa likizo usitumike kufanya kile ambacho inatakiwa / ingetakiwa kufanyika wakati wa masomo
Ondoa hiyo point ya tatu..mengine yote sawa nakuunga mkono. Muda unatosha kabisa. Utumike huo, ziada ni ujanja ujanja tu
 
Ikiwa ni wiki chache zimepita tangu serikali iweke marufuku ya wanafunzi kusoma wakati wa likizo ili wapate muda wa kupumzika na kujifunza stadi mbali mbali za maisha wakiwa nyumbani, spika Job Ndugai amepinga vikali zuio hilo akidai kuwa linachelewesha maendeleo.

Spika Ndugai amesema wananchi wa kongwa walikuwa wamejipanga wanafunzi kusoma wakati wa likizo huku wakiwa tayari kujitolea kwa chakula pamoja na motisha kwa walimu ambao wangejitolea kufundisha wanafunzi hao na hivyo amedai kwamba kitendo cha serikali kuweka zuio ni kuchelewesha maendeleo kwani wanafunzi wanaosoma wakati wa likizo ni madarasa ya mitihani pekee.

Katika hatua nyingine, spika Ndugai amedai kuwa watu wanamdharau kwakuwa yeye ni 'mgogo' huku akiwashukia vikali vijana wenye digrii kuwa ndio wanaoongoza kwa kumtukana mitandaoni.
Huyu jamaa hafai kuwa spika
 
Ikiwa ni wiki chache zimepita tangu serikali iweke marufuku ya wanafunzi kusoma wakati wa likizo ili wapate muda wa kupumzika na kujifunza stadi mbali mbali za maisha wakiwa nyumbani, spika Job Ndugai amepinga vikali zuio hilo akidai kuwa linachelewesha maendeleo.

Spika Ndugai amesema wananchi wa kongwa walikuwa wamejipanga wanafunzi kusoma wakati wa likizo huku wakiwa tayari kujitolea kwa chakula pamoja na motisha kwa walimu ambao wangejitolea kufundisha wanafunzi hao na hivyo amedai kwamba kitendo cha serikali kuweka zuio ni kuchelewesha maendeleo kwani wanafunzi wanaosoma wakati wa likizo ni madarasa ya mitihani pekee.

Katika hatua nyingine, spika Ndugai amedai kuwa watu wanamdharau kwakuwa yeye ni 'mgogo' huku akiwashukia vikali vijana wenye digrii kuwa ndio wanaoongoza kwa kumtukana mitandaoni.
Haki ya kupumzika ni muhimu sana kwa wanafunzi wote,kama hawakuweza kukamilisha syllabus kwa muda uliopangwa ni kosa la wasimamizi wa elimu.

Ni kinyume kabisa na kanuni za afya ya akili kusoma mwaka mzima bila mapumziko,Ndugai akapimwe akili kabla ajaanza kuvua nguo hadharani!
 
Ndugai Sasa anapinga kila kitu
Inawezekana anafanya mazoezi ya Yeye mwenyewe ku-act kama kambi rasmi ya upinzani bungeni.

Salamu hizi ziwafikie Covid-19. Kwa sababu ili Kiroboto kiende, na Askofu Chidi aondoe, Covid-19 lazima wafyekwe kwanza.

Job yupo on job training kupingapinga.

😃😁😄
 
Back
Top Bottom