Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mkwepa kodi mkubwa ni MwiguluTatizo nyie manawaza watu wafe tu hivi nyie mna mkataba na mungu?
Na nyie kwa roho zenu za kinyama na kigaidi kwa nini msife?
Kutofautiana kimawazo ni kutafuta njia mbadala na sio kuwazia watu wafe.
Nyie mna faida gani kwenye hili taifa?
Tuonyeshe ni mtu gani wa upinzani anaeongoza kuchangia kodi kubwa hapa tanzania?
Bosi wenu mbowe mwenyewe ni mkwepa kodi,
Kodi ta miamala hakuna anayeipenda na kila mtu ametoa maoni yake kwa ustarabu na jambo liatashughulukiwa na tuataka wafanye haraka na sio kuchelewa na ikiwezekana wazuie huu utaratibu kuanzia sasa.
Lakini sio kuombeana vifo,
Kuombeana vifo ni uzwazwa na ugaidi.
Umeongea kwa busara sana sana, Mungu akusaidie uendelee kuwa na busara hii hii..Magufuli aliumiza watu na ndio maana wako baadhi ya wachangiaji hapa JF wamevunja mwiko wa Watz na kushangilia kifo chake.
..Natumaini tunachokishuhudia hapa kitakuwa funzo kwa viongozi wa sasa na wajao.
..Uongozi ni pamoja na kuheshimu UTU wa wale unawaongoza. Kiongozi hapaswi kuwa na CHUKI au VISASI haswa anapokuwa na madaraka ya kidola kama Raisi wa Tanzania.
..Sifurahishwi na hawa wanaochekelea kifo cha Magufuli. Natamani wakome muenendo huo. Lakini pia naelewa kwanini wamefikia hatua hiyo.
Apumzike kwa amani.Kun
Kuna mwana jamii forum mmoja alikuwa akishabikia sana vifo kwa wenzie kwa uzi wa kijeuri ameondoka kwa resperatory failure complications. Waacheni tu wajigambe. Hakuna bingwa wa kifo
Ukiombewa wewe kifo na dua ikasikika tambua kuwa maisha yataendelea kama kawaida.Ukiwa mdhalimu na mnyang'anyi lazima uombewe kifo ili usilete madhara zaidi, na bahati nzuri maombi yao yanajibiwa positively!
Maisha yanaendelea kama kawaida. Mwenye kujiamini haogopi kufanya anachokiamini eti kwa sababu kifo kipo...Magufuli aliumiza watu na ndio maana wako baadhi ya wachangiaji hapa JF wamevunja mwiko wa Watz na kushangilia kifo chake.
..Natumaini tunachokishuhudia hapa kitakuwa funzo kwa viongozi wa sasa na wajao.
..Uongozi ni pamoja na kuheshimu UTU wa wale unawaongoza. Kiongozi hapaswi kuwa na CHUKI au VISASI haswa anapokuwa na madaraka ya kidola kama Raisi wa Tanzania.
..Sifurahishwi na hawa wanaochekelea kifo cha Magufuli. Natamani wakome muenendo huo. Lakini pia naelewa kwanini wamefikia hatua hiyo.
Ahurumiwe tu hajijui wala hajui akifanyacho, anachojua ni kuvaa koti, tie, kuongea kitemitemi na kuvaa joho la blueWale wa kuhamia Burundi hamie fasta, haka kagonjwa ka akili kameshaamu na ndiyo imetoka hiyo.
Katakufa muda si mrefu lakini haitabadisha kitu kwenye issue ya tozo. View attachment 1864808
Bado ten percent kila mwisho wa mwezi kwenye total commission.Watanzania wote tunalipa.kodi, ukinunua pipi unalipa Kodi nguo unalipa Kodi, watafute Mbinu nzuri ya kusanya Kodi, hata huko kwenye miamala wanakata Kodi mbili, asilimia 18 na Kodi ya uzalendo ambayo inaenda sambamba na faida ya mtoa huduma au mbunifu
Maisha yanaendelea kama kawaida. Mwenye kujiamini haogopi kufanya anachokiamini eti kwa sababu kifo kipo.
Anakufa imamu, anakufa Papa, anakufa mzee anayeheshimiwa na jamii!.
Cha muhimu hapa duniani tuheshimiane tusitake kupandana juu ya vichwa. Mtu asitake ku-blackmail ufanisi wa mtu eti kwa kitisho cha kifo!.
Maisha yote kwa ujumla wake ni neema tu.
ALIPE lile deni na kodi zetu alizozitumia ngambo kujitibu na mshahara wake na posho zikatwe kodi hiyo ndo njia mbadalaSpika Ndugai amesema wabunge wameshapitisha tozo ya kizalendo kwenye miamala ya simu na sasa ni sheria hivyo asiyeitaka atupe njia mbadala ya kutufikisha 2025
Roho wa Bwana akamshukia mtumishi wake Jerry Slaa mbunge wa Ukonga naye akajibu; Wabunge tuanze kulipa kodi.
Labda kama Spika ana swali lingine....lakini sidhani.
Ijumaa kareem?
---
Baada ya mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii ,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameibuka na kudai kuwa tozo hizo ni halali na kwamba fedha hizo zitachagiza masuala ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii kama vile shule,hospitali na maji.
Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya wananchi kulalamika kwamba kumekuwa na tozo kubwa katika miamala ya simu huku akipigilia msumari kwenye tozo hizo kwa kudai kuwa Bunge ndio limepitisha na kwamba wanaopinga wanatakiwa kutoa mawazo mbadala nini kifanyike huku akisisitiza lengo ni ifikapo 2025 Tanzania iwe Taifa tofauti katika suala la Maendeleo.
Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;
"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo.
Chanzo: Malunde
Siandiki kumtetea Ndugai, ila nakuuliza Je wewe unajua umbali wa huyo Gibril na wewe? Nadhani maeneo mengine tungepitaga mbali tu!Huyu Pimbi mfupi mi msumbufu sana ila Gibril hayupo mbali kiviiiile
Kuna haja gani tena ya kumshtaki?... Kakufuru mbele yetu wote huyu...!!!Amekufuru.
Mbadala ni kodi watakayo katwa wabungeAnachukua kwenye miamala ili ziwe zinamsaidia India.Huku maskini wanakwenda na dumu la maji hospitalini.
Hakuna kuzoea kuibiwa.. watu tunatafuta namna ya kuminimize hiyo miamala na hatimaye kuacha kabisa.Hiyo haitafutwa kamwe, hapo mnapigwa geresha muizoee then watawajia na hadithi nyingine, wako hatua kadhaa mbele yenu.
Hiyo wameshamaliza na sasa wanapiga hesabu za mbele kupata vyanzo vingine, mtafinywa sana tu.