Spika Ndugai ataka Walimu waongezewe kazi wafundishe masomo kuanzia matatu ili kupunguza uhaba wa Walimu

Nafikili kila shule ipate walim wa kujitolea sie mazazi tuwachangie ili kupata ufanisi mzuri , kuliko kulazimisha kuongeza , masomo
 
Nafikili kila shule ipate walim wa kujitolea sie mazazi tuwachangie ili kupata ufanisi mzuri , kuliko kulazimisha kuongeza , masomo
Hata hivyo suala la kuongeza masomo haliwezekani mtu mmoja hawezi kufundisha masomo zaidi ya matatu yale aliosoma advanced level. Mostly ni masomo mawili.
 
Kuna watu wanakuwaga sehemu viwiliwili tu.

1. Masomo matano wameyasomea lini?

2. Madhara ya kuwa overwork walimu na quality ya elimu ni mauti kwa taifa.

3. Inaonyesha sasa taifa haliijui. na wala halina kipaumbele katika ubora wa elimu.

4. Uhaba huo wa walimu unatoka wapi wakati kuna walimu wengi tu wako mitaani hawana kazi?

5. Kwa nini kuboreshwa skwa elimu hakuzungumziwi? Kushuka kwa elimu na mazingira ya elimu?

Hapa kuna tatizo.


 
Tuwe making sana na elimu yetu.
Tazama video hapa.

Your browser is not able to display this video.
 
Kwa mshahara upi? wewe anapigwa kiyouozi mwanzo mwisho analamba zaidi ya m 50 kwa mwezi wenzako kukomaa kote huko wanaibuka na ka laki nne nusu...kwa mwezi afu still unataka kumwongezea masomo ya kufundisha kwa siku

CCM mwogopeni Muumba nyie!!
 
Sioni uwezekano wa mtu aliyesomea masomo ya mchepuo kama PCM kuweza kufundisha masomo matano.

Physics ............1st
Chemistry ..........2nd
Mathematics......3rd

Sasa hayo masomo matano yanatoka wapi tena???

Hilo litawezekana kama tutabadilisha mitaala iwe
PCBGM
Physics
Chemistry
Biology
Geography
Mathematics

Kweli awamu hii kiboko πŸ™†πŸ™ŒπŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…