Hovyo kabisa weweSpika kasema Kuna maneno uteuzi wa akina mama viti maalumu vyama vya upinzani kwa akina mama
Spika kaonya wabunge viti maalum upinzani wajihadhari na rushwa isiyoeleweka kuwa wataeuliwa huko vyama vyao wakijirahisisha kirushwa wasije kwenda kumshtakia wakikosa kuwa ohh Mimi Kuna Rushwa isiyoeleweka mtu asiseme ooh nilitoa rushwa isiyoeleweka na chama hakikuniteua
Kasema ndio maana Kuna ucheleweshaji Kuna maneno huko vyama vya upinzani
Wanawake wana uwezo mkubwa sana pia. Vyama vinapaswa kuwapa nafasi katika Uongozi hasa katika kuwakilisha wananchi BungeniMapema leo spika Bunge, Job Ndugai alizielezea kamati za bunge na kusema wataziunda bunge lijalo kwa sababu serikali itakuwa imeshatengenezwa, pia akaongelea vyama ambavyo bado havijaleta wabunge japo wana fursa hizo hasa wabunge wa viti maalum ambapo makundi yaliyo bado ni matatu, mengine yakiwa wabunge watano kutoka baraza la wawakilishi Zanzibar na wabunge 10 wa kuteuliwa na Rais.
Ndugai: Viti maalum kupitia vyama vya siasa, viko vyama bado havijatuletea wabunge wao, tunachoona kwenye mitandao na mahali pengine eti wanalumbana eti wasiwalete sijui wawalete, yaani ni ajabu, aibu kubwa sana kwa vya vya namna hii.
Ndio hawa tunaosema, kwa sababu ni fursa za kina mama wanalumbana wasije, zingekuwa hizo nafasi za wanaume wangeshafika siku nyingi, hao hao.
Sasa wapiga kura wakina mama nchi nzima ndio mzidi kuvielewa hivi vyama, ni shida. Wewe unawaziabiaje kina mama wasije kutetea watanzania humu ndani, ni jambo ambalo halikubaliki kabisa, kwanza haipaswi kuwa hata ni mjajadala lakini sasa ndio mzidi kuwaelewa, tunawaambia tu Februari hii ndio tunaanza, tukianza kwa utaratibu huo madongo yatakuwa mazito, wajitahidi mambo mengine wapunge punguze kidogo.
Vipo vitu sio vya kubishania kwa sababu ile ni fursa ambayo ni viruri kuitumia, ukiitupa vema wala hatuna shida kwa sababu hapa tunayo quorum, tuna kila kitu, tunaendelea.
Dona kantri inaliliaLabda akili za kuvukia barabara
Dona kantri inalilia hela za beberu.Wanakosa $900m kutoka kwa mabeberu
Mapema leo spika Bunge, Job Ndugai alizielezea kamati za bunge na kusema wataziunda bunge lijalo kwa sababu serikali itakuwa imeshatengenezwa, pia akaongelea vyama ambavyo bado havijaleta wabunge japo wana fursa hizo hasa wabunge wa viti maalum ambapo makundi yaliyo bado ni matatu, mengine yakiwa wabunge watano kutoka baraza la wawakilishi Zanzibar na wabunge 10 wa kuteuliwa na Rais.
Ndugai: Viti maalum kupitia vyama vya siasa, viko vyama bado havijatuletea wabunge wao, tunachoona kwenye mitandao na mahali pengine eti wanalumbana eti wasiwalete sijui wawalete, yaani ni ajabu, aibu kubwa sana kwa vya vya namna hii.
Ndio hawa tunaosema, kwa sababu ni fursa za kina mama wanalumbana wasije, zingekuwa hizo nafasi za wanaume wangeshafika siku nyingi, hao hao.
Sasa wapiga kura wakina mama nchi nzima ndio mzidi kuvielewa hivi vyama, ni shida. Wewe unawaziabiaje kina mama wasije kutetea watanzania humu ndani, ni jambo ambalo halikubaliki kabisa, kwanza haipaswi kuwa hata ni mjajadala lakini sasa ndio mzidi kuwaelewa, tunawaambia tu Februari hii ndio tunaanza, tukianza kwa utaratibu huo madongo yatakuwa mazito, wajitahidi mambo mengine wapunge punguze kidogo.
Vipo vitu sio vya kubishania kwa sababu ile ni fursa ambayo ni viruri kuitumia, ukiitupa vema wala hatuna shida kwa sababu hapa tunayo quorum, tuna kila kitu, tunaendelea.
CDM ilishajifia unaishi wapi wewe?.Kitu kinachofanywa na CDM ni ukiukaji wa haki za wachaguliwa wa hizo seat
Imagine ww ndo ungekuwa unapewa chance halaf Kuna watu kwa maslai yao binafsi Wana kuzuia kupata fursa
Demokrasia maana yake ni haki , na kutokupeleka watu [ special seat ] Ni kunyima haki
Chadema mnafeli
Hilo liko wazi, anameza mbolea kupunguza kasi ya marukanga yakeNiliwahi kumtibu Muhimbili miaka ya nyuma!Anakula ARV!
Anakula mbolea kwa hisani ya minjinguHili jamaa linateseka Sana.....na linafikiri halitakufa ...jibwa sana
Jamaa ni full marukanga mungu mda si mrefu atamuita mawinguni kumlakiViti maalumu CCM walioko bungeni wawe makini na Ndugai maana ni mgonjwa!Kinga ni bora kuliko tiba!
Waulizeni wenyeji juu ya huyu mgonjwa ghali zaidi duniani!Anatembelea uzi!
Tuliwaambia hamkusikia sasa mmeelewa maana ya maendeleo ya vitu yanavyowahusu watu.Ni kweli kabisa, gunzi limeenda kukaa katikati ya betri ngoja tuone kama tochi itawaka.
Huyu spika si ndiye alitoa taarifa ya awali kwa umma na ulimwengu kwamba bunge lijalo (hili la sasa) hakutakuwa na mbunge wa upinzani hata mmoja sasa anaanza kuhangaika nao wa kazi gani? Si wameshafanikisha mchezo mzima waliokuwa wamuepanga sasa watulie wayanywe matogwa waliyoyakoroga!Mapema leo spika Bunge, Job Ndugai alizielezea kamati za bunge na kusema wataziunda bunge lijalo kwa sababu serikali itakuwa imeshatengenezwa, pia akaongelea vyama ambavyo bado havijaleta wabunge japo wana fursa hizo hasa wabunge wa viti maalum ambapo makundi yaliyo bado ni matatu, mengine yakiwa wabunge watano kutoka baraza la wawakilishi Zanzibar na wabunge 10 wa kuteuliwa na Rais.
Ndugai: Viti maalum kupitia vyama vya siasa, viko vyama bado havijatuletea wabunge wao, tunachoona kwenye mitandao na mahali pengine eti wanalumbana eti wasiwalete sijui wawalete, yaani ni ajabu, aibu kubwa sana kwa vya vya namna hii.
Ndio hawa tunaosema, kwa sababu ni fursa za kina mama wanalumbana wasije, zingekuwa hizo nafasi za wanaume wangeshafika siku nyingi, hao hao.
Sasa wapiga kura wakina mama nchi nzima ndio mzidi kuvielewa hivi vyama, ni shida. Wewe unawaziabiaje kina mama wasije kutetea watanzania humu ndani, ni jambo ambalo halikubaliki kabisa, kwanza haipaswi kuwa hata ni mjajadala lakini sasa ndio mzidi kuwaelewa, tunawaambia tu Februari hii ndio tunaanza, tukianza kwa utaratibu huo madongo yatakuwa mazito, wajitahidi mambo mengine wapunge punguze kidogo.
Vipo vitu sio vya kubishania kwa sababu ile ni fursa ambayo ni viruri kuitumia, ukiitupa vema wala hatuna shida kwa sababu hapa tunayo quorum, tuna kila kitu, tunaendelea.
Kitu kinachofanywa na CDM ni ukiukaji wa haki za wachaguliwa wa hizo seat
Imagine ww ndo ungekuwa unapewa chance halaf Kuna watu kwa maslai yao binafsi Wana kuzuia kupata fursa
Demokrasia maana yake ni haki , na kutokupeleka watu [ special seat ] Ni kunyima haki
Chadema mnafeli
Hili Bunge la Ndugai sasa limekuwa rasmi ni kusanyiko la Wapumbavu.Mnahangaika mara viti maalum, mara PAC, LARC kwani shida iko wapi? Kama mmeweza kufanya ubatili kwenye sanduku la kura, fanyeni ubatili bila woga kote kulikobaki! Nani atawasema? Mnaogopa nini? Mahakama zenu, Police qwenu, Jeshi lenu, Bunge lenu, shida iko wapi... weka watoto wa shule kwenye viti maalum atawasema nani? hata vichaa mkipenda weka tu
We Susa tu,ukishasema hutambui serikali maana yake unaacha Kila kitu,lakini nyie mmesusa lakini hamuishi kupiga chaboInachekesha kuona waTanzania wakifikiri watapata maendeleo awamu hii.
Mpuuzi huyu mzee, si amefanikiwa kuifuta Chadema sasa analalamika nini? shame on himMapema leo spika Bunge, Job Ndugai alizielezea kamati za bunge na kusema wataziunda bunge lijalo kwa sababu serikali itakuwa imeshatengenezwa, pia akaongelea vyama ambavyo bado havijaleta wabunge japo wana fursa hizo hasa wabunge wa viti maalum ambapo makundi yaliyo bado ni matatu, mengine yakiwa wabunge watano kutoka baraza la wawakilishi Zanzibar na wabunge 10 wa kuteuliwa na Rais.
Ndugai: Viti maalum kupitia vyama vya siasa, viko vyama bado havijatuletea wabunge wao, tunachoona kwenye mitandao na mahali pengine eti wanalumbana eti wasiwalete sijui wawalete, yaani ni ajabu, aibu kubwa sana kwa vya vya namna hii.
Ndio hawa tunaosema, kwa sababu ni fursa za kina mama wanalumbana wasije, zingekuwa hizo nafasi za wanaume wangeshafika siku nyingi, hao hao.
Sasa wapiga kura wakina mama nchi nzima ndio mzidi kuvielewa hivi vyama, ni shida. Wewe unawaziabiaje kina mama wasije kutetea watanzania humu ndani, ni jambo ambalo halikubaliki kabisa, kwanza haipaswi kuwa hata ni mjajadala lakini sasa ndio mzidi kuwaelewa, tunawaambia tu Februari hii ndio tunaanza, tukianza kwa utaratibu huo madongo yatakuwa mazito, wajitahidi mambo mengine wapunge punguze kidogo.
Vipo vitu sio vya kubishania kwa sababu ile ni fursa ambayo ni viruri kuitumia, ukiitupa vema wala hatuna shida kwa sababu hapa tunayo quorum, tuna kila kitu, tunaendelea.
Watu wapo na ardhi ipo ila hapo kwenye 'siasa safi na uongozi bora' ndio pagumu.Ili tuendelee tunahitaji
i. Watu
ii. Ardhi
iii. Siasa Safi na mwisho Uongozi bora
Sasa kazi tunae
Tuliwaambia hamkusikia sasa mmeelewa maana ya maendeleo ya vitu yanavyowahusu watu.