Spika Ndugai aumizwa na chama cha siasa kutoleta Wabunge wa Viti Maalum, adai zingekuwa nafasi za wanaume wangelishafika

Spika Ndugai aumizwa na chama cha siasa kutoleta Wabunge wa Viti Maalum, adai zingekuwa nafasi za wanaume wangelishafika

Spika kasema Kuna maneno uteuzi wa akina mama viti maalumu vyama vya upinzani kwa akina mama

Spika kaonya wabunge viti maalum upinzani wajihadhari na rushwa isiyoeleweka kuwa wataeuliwa huko vyama vyao wakijirahisisha kirushwa wasije kwenda kumshtakia wakikosa kuwa ohh Mimi Kuna Rushwa isiyoeleweka mtu asiseme ooh nilitoa rushwa isiyoeleweka na chama hakikuniteua

Kasema ndio maana Kuna ucheleweshaji Kuna maneno huko vyama vya upinzani
Hovyo kabisa wewe
 
Mapema leo spika Bunge, Job Ndugai alizielezea kamati za bunge na kusema wataziunda bunge lijalo kwa sababu serikali itakuwa imeshatengenezwa, pia akaongelea vyama ambavyo bado havijaleta wabunge japo wana fursa hizo hasa wabunge wa viti maalum ambapo makundi yaliyo bado ni matatu, mengine yakiwa wabunge watano kutoka baraza la wawakilishi Zanzibar na wabunge 10 wa kuteuliwa na Rais.

Ndugai: Viti maalum kupitia vyama vya siasa, viko vyama bado havijatuletea wabunge wao, tunachoona kwenye mitandao na mahali pengine eti wanalumbana eti wasiwalete sijui wawalete, yaani ni ajabu, aibu kubwa sana kwa vya vya namna hii.

Ndio hawa tunaosema, kwa sababu ni fursa za kina mama wanalumbana wasije, zingekuwa hizo nafasi za wanaume wangeshafika siku nyingi, hao hao.

Sasa wapiga kura wakina mama nchi nzima ndio mzidi kuvielewa hivi vyama, ni shida. Wewe unawaziabiaje kina mama wasije kutetea watanzania humu ndani, ni jambo ambalo halikubaliki kabisa, kwanza haipaswi kuwa hata ni mjajadala lakini sasa ndio mzidi kuwaelewa, tunawaambia tu Februari hii ndio tunaanza, tukianza kwa utaratibu huo madongo yatakuwa mazito, wajitahidi mambo mengine wapunge punguze kidogo.

Vipo vitu sio vya kubishania kwa sababu ile ni fursa ambayo ni viruri kuitumia, ukiitupa vema wala hatuna shida kwa sababu hapa tunayo quorum, tuna kila kitu, tunaendelea.
Wanawake wana uwezo mkubwa sana pia. Vyama vinapaswa kuwapa nafasi katika Uongozi hasa katika kuwakilisha wananchi Bungeni
 
Mapema leo spika Bunge, Job Ndugai alizielezea kamati za bunge na kusema wataziunda bunge lijalo kwa sababu serikali itakuwa imeshatengenezwa, pia akaongelea vyama ambavyo bado havijaleta wabunge japo wana fursa hizo hasa wabunge wa viti maalum ambapo makundi yaliyo bado ni matatu, mengine yakiwa wabunge watano kutoka baraza la wawakilishi Zanzibar na wabunge 10 wa kuteuliwa na Rais.

Ndugai: Viti maalum kupitia vyama vya siasa, viko vyama bado havijatuletea wabunge wao, tunachoona kwenye mitandao na mahali pengine eti wanalumbana eti wasiwalete sijui wawalete, yaani ni ajabu, aibu kubwa sana kwa vya vya namna hii.

Ndio hawa tunaosema, kwa sababu ni fursa za kina mama wanalumbana wasije, zingekuwa hizo nafasi za wanaume wangeshafika siku nyingi, hao hao.

Sasa wapiga kura wakina mama nchi nzima ndio mzidi kuvielewa hivi vyama, ni shida. Wewe unawaziabiaje kina mama wasije kutetea watanzania humu ndani, ni jambo ambalo halikubaliki kabisa, kwanza haipaswi kuwa hata ni mjajadala lakini sasa ndio mzidi kuwaelewa, tunawaambia tu Februari hii ndio tunaanza, tukianza kwa utaratibu huo madongo yatakuwa mazito, wajitahidi mambo mengine wapunge punguze kidogo.

Vipo vitu sio vya kubishania kwa sababu ile ni fursa ambayo ni viruri kuitumia, ukiitupa vema wala hatuna shida kwa sababu hapa tunayo quorum, tuna kila kitu, tunaendelea.

Jamani wawape polisi, magereza na jeshi. Walifanya kazi nzuri sana uchaguzi huu, angalao CCM iwafanyie fadhila. Inaelekea CHADEMA hawana shida na viti hivyo.
 
Kitu kinachofanywa na CDM ni ukiukaji wa haki za wachaguliwa wa hizo seat
Imagine ww ndo ungekuwa unapewa chance halaf Kuna watu kwa maslai yao binafsi Wana kuzuia kupata fursa

Demokrasia maana yake ni haki , na kutokupeleka watu [ special seat ] Ni kunyima haki
Chadema mnafeli
CDM ilishajifia unaishi wapi wewe?.
 
Viti maalumu CCM walioko bungeni wawe makini na Ndugai maana ni mgonjwa!Kinga ni bora kuliko tiba!

Waulizeni wenyeji juu ya huyu mgonjwa ghali zaidi duniani!Anatembelea uzi!
Jamaa ni full marukanga mungu mda si mrefu atamuita mawinguni kumlaki
 
aache unafki.
Wacha mechi zote zichezwe na team moja namna hii;
1605183740167.png
 
Mapema leo spika Bunge, Job Ndugai alizielezea kamati za bunge na kusema wataziunda bunge lijalo kwa sababu serikali itakuwa imeshatengenezwa, pia akaongelea vyama ambavyo bado havijaleta wabunge japo wana fursa hizo hasa wabunge wa viti maalum ambapo makundi yaliyo bado ni matatu, mengine yakiwa wabunge watano kutoka baraza la wawakilishi Zanzibar na wabunge 10 wa kuteuliwa na Rais.

Ndugai: Viti maalum kupitia vyama vya siasa, viko vyama bado havijatuletea wabunge wao, tunachoona kwenye mitandao na mahali pengine eti wanalumbana eti wasiwalete sijui wawalete, yaani ni ajabu, aibu kubwa sana kwa vya vya namna hii.

Ndio hawa tunaosema, kwa sababu ni fursa za kina mama wanalumbana wasije, zingekuwa hizo nafasi za wanaume wangeshafika siku nyingi, hao hao.

Sasa wapiga kura wakina mama nchi nzima ndio mzidi kuvielewa hivi vyama, ni shida. Wewe unawaziabiaje kina mama wasije kutetea watanzania humu ndani, ni jambo ambalo halikubaliki kabisa, kwanza haipaswi kuwa hata ni mjajadala lakini sasa ndio mzidi kuwaelewa, tunawaambia tu Februari hii ndio tunaanza, tukianza kwa utaratibu huo madongo yatakuwa mazito, wajitahidi mambo mengine wapunge punguze kidogo.

Vipo vitu sio vya kubishania kwa sababu ile ni fursa ambayo ni viruri kuitumia, ukiitupa vema wala hatuna shida kwa sababu hapa tunayo quorum, tuna kila kitu, tunaendelea.
Huyu spika si ndiye alitoa taarifa ya awali kwa umma na ulimwengu kwamba bunge lijalo (hili la sasa) hakutakuwa na mbunge wa upinzani hata mmoja sasa anaanza kuhangaika nao wa kazi gani? Si wameshafanikisha mchezo mzima waliokuwa wamuepanga sasa watulie wayanywe matogwa waliyoyakoroga!
 
Kitu kinachofanywa na CDM ni ukiukaji wa haki za wachaguliwa wa hizo seat
Imagine ww ndo ungekuwa unapewa chance halaf Kuna watu kwa maslai yao binafsi Wana kuzuia kupata fursa

Demokrasia maana yake ni haki , na kutokupeleka watu [ special seat ] Ni kunyima haki
Chadema mnafeli

Leo ndo mnajua kua kumbe kuna Haki!
 
Mnahangaika mara viti maalum, mara PAC, LARC kwani shida iko wapi? Kama mmeweza kufanya ubatili kwenye sanduku la kura, fanyeni ubatili bila woga kote kulikobaki! Nani atawasema? Mnaogopa nini? Mahakama zenu, Police qwenu, Jeshi lenu, Bunge lenu, shida iko wapi... weka watoto wa shule kwenye viti maalum atawasema nani? hata vichaa mkipenda weka tu
Hili Bunge la Ndugai sasa limekuwa rasmi ni kusanyiko la Wapumbavu.
 
Mapema leo spika Bunge, Job Ndugai alizielezea kamati za bunge na kusema wataziunda bunge lijalo kwa sababu serikali itakuwa imeshatengenezwa, pia akaongelea vyama ambavyo bado havijaleta wabunge japo wana fursa hizo hasa wabunge wa viti maalum ambapo makundi yaliyo bado ni matatu, mengine yakiwa wabunge watano kutoka baraza la wawakilishi Zanzibar na wabunge 10 wa kuteuliwa na Rais.

Ndugai: Viti maalum kupitia vyama vya siasa, viko vyama bado havijatuletea wabunge wao, tunachoona kwenye mitandao na mahali pengine eti wanalumbana eti wasiwalete sijui wawalete, yaani ni ajabu, aibu kubwa sana kwa vya vya namna hii.

Ndio hawa tunaosema, kwa sababu ni fursa za kina mama wanalumbana wasije, zingekuwa hizo nafasi za wanaume wangeshafika siku nyingi, hao hao.

Sasa wapiga kura wakina mama nchi nzima ndio mzidi kuvielewa hivi vyama, ni shida. Wewe unawaziabiaje kina mama wasije kutetea watanzania humu ndani, ni jambo ambalo halikubaliki kabisa, kwanza haipaswi kuwa hata ni mjajadala lakini sasa ndio mzidi kuwaelewa, tunawaambia tu Februari hii ndio tunaanza, tukianza kwa utaratibu huo madongo yatakuwa mazito, wajitahidi mambo mengine wapunge punguze kidogo.

Vipo vitu sio vya kubishania kwa sababu ile ni fursa ambayo ni viruri kuitumia, ukiitupa vema wala hatuna shida kwa sababu hapa tunayo quorum, tuna kila kitu, tunaendelea.
Mpuuzi huyu mzee, si amefanikiwa kuifuta Chadema sasa analalamika nini? shame on him
 
Tuliwaambia hamkusikia sasa mmeelewa maana ya maendeleo ya vitu yanavyowahusu watu.

Ulimwambia nani, tumeona kwa macho yetu umwagaji wa damu na kura za kwenye mabeg. Uzuri hata yule aliyekuwa haamini kuwa tunaongozwa kidictator kajionea kwa macho. Watu wataendelea kukaa kimya kuhofia maisha yao, lakini hiyo haimaanishi kuwa hawajui kilichoendelea kwenye uchaguzi huu.
 
Nikifungua Tv nikaona tu bunge nafunga. Utashabikiaje timu inapocheza yenyewe?
 
Back
Top Bottom