Spika Ndugai awashukia wasomi nchini, asema anajua watamshambulia katika mitandao

Spika Ndugai awashukia wasomi nchini, asema anajua watamshambulia katika mitandao

Cha ajabu nayeye amesoma Sheria, japo alifeli, lakini hajui maana ya "learned colleague"
 
Spika wa Bunge Job Ndugai amesema anakerwa na kada nne ambazo zinatukuza usomi wao mbele ya Watanzania wasiopenda kujikweza.

Wahandisi wamefanya nn tena?
Anataka wapunguziwe salary. Yeye anajua kuwa kuisoma fizikia and advanced maths ni sawasawa na kusimama kwa wananchi na kuomba KurA na baadaye kujipendekeza kwa amiri jeshi mkuu. Anatuma polisi na wengine wanaiba KurA unaingia bungeni.
Hizi fani sio Sawa na kuwa chawa kwa mtu ndipo unazipata unahaso kweli.
Hata kuku inaweza inasimama ikapewa KurA kwa kulazimisha chaguzi za wizi.
Kuna mbunge mmoja alifungiwaga mbwa uwanjani zimsikilize Mana alisema msiponipa KurA mbwa zenu zitanipa so wananchi wakapeleka mbwa uwanjani yeye alikuja akazikuta.

Yaani jamaa anadharau sawa. Baadaye ataaanza kuhoji why mjeda aitwe Brigedia yaani kigogo huwa anaongea Nini sijui kumhusu inaonekana Kama ni kweli
 
Wivu...wivu
Sisi kuitwa wahandisi mtu anaumia wakati yeye anaitwa Mheshimiwa
 
Spika wa Bunge Job Ndugai amesema anakerwa na kada nne ambazo zinatukuza usomi wao mbele ya Watanzania wasiopenda kujikweza.

Amezitaja kada hizo ni wahasibu, wahandisi, mawakili na madaktari wa kusomea ambao amesema kila mtu anataka kuanza na kutukuza kisomo chake wakati si lazima iwe hivyo.

Spika Ndugai ametoa kauli hiyo leo, Jumatano, Septemba 1, 2021 bungeni katika kipindi cha mjadala wa hoja za wabunge kuhusu muswada wa mabadiliko ya sheria mbalimbali uliowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Profesa Adelardus Kilangi.

Amesema anajua atashambuliwa na mawakili mitandaoni lakini anataka kujua iwapo hawaoni aibu kujiita ni wasomi wakati nchi ina wasomi wengine.

“Najua watanishambulia katika mitandao, ..ah lakini huo ndiyo ukweli nani asiyekuwa msomi katika nchi hii, au wengine hawajasoma, kwani hamuoni aibu fulani hivi kujiita wasomi wakati kuna wengine katika nchi hii wamesoma,” amehoji Ndugai.

Spika amesema; “kuna wakati nitahitaji mnishauri kuhusu hili la wanasheria kujiita wakili msomi, huu ni utaratibu fulani ulioanzishwa na wenzetu Waingereza wa kutukuza baadhi ya kada,’’

Ndugai amezitaja kada nne zinazompa shida na anawashangaa kuona wakitukuzwa kuliko wengine licha ya wengi kuwa ni wasomi.

Kada hizo ni wahasibu, wahandisi, mawakili na madaktari wa kusomea ambao amesema kila mtu anataka kuanza na kutukuza kisomo chake wakati siyo lazima iwe hivyo.

Kuhusu mawakili amehoji kama wakibaki na neno la wakili watapungukiwa kitu gani huku akiweka wazi kuwa neno msomi linawaongezea kitu gani kwa Watanzania wasiopenda kujikweza katika mambo mengine.

Kwa kada alizozitaja Spika, mawakili hujiita wakili msomi, wahasibu hupenda kuanza na neno CPA, wahandisi hutumia neno la ‘Engineer’ na waliosoma shahada za uzamivu (PhD) majina yao huanza na neno DkView attachment 1920134
Ni kweli ila hii ni Africa wengi hujitukuza na kutaka kutukuzwa mimi hawanipi shida maana hawana cha kuniambia.

Hizo Kada hapo juu ni Kada za watoto wa maskini walio wengi, mtoto wa tajiri anasomea biashara, uchumi nk na hana mda wa kutafuta law school au cpa Ili aajiriwe.

Technically huwa nawapuuza ni watu wasio na pesa,mchukue Dr mpe vihela akuuguze uone anavyopaparika.Hao wahandisi ndio kabisaa njaa tupu.
 
Tukiweka ujinga pembeni, hakuna umuhimu wowote wa mtu kujitambulisha kwa cheo au kiwango cha elimu awapo nje ya eneo lake la kazi.

Swala la kwamba wewe ni engineer, CPA, dokta, profesa, wakili nk hayo ni mambo yahusuyo profession yako na unatakiwa uyaache huko ofisini na kwenye makaratasi / wasifu wako. Swala la kwamba eti umesotea icho cheti halina mashiko hayo ni matatizo yako, hayatuhusu. Kwani sisi ndio tulikutuma ukasotee si ulienda kwa shida zako? Kuna wajasiriamali wanasotea biashara zao miaka 10+, wameanza na viosk mpaka wanamiliki supermarket wamenyamaza, we umefanya ka CPA miaka miwili unaleta ngebe eti ooh nimesotea. Nonesense!
 
Spika wa Bunge Job Ndugai amesema anakerwa na kada nne ambazo zinatukuza usomi wao mbele ya Watanzania wasiopenda kujikweza.

Amezitaja kada hizo ni wahasibu, wahandisi, mawakili na madaktari wa kusomea ambao amesema kila mtu anataka kuanza na kutukuza kisomo chake wakati si lazima iwe hivyo.

Spika Ndugai ametoa kauli hiyo leo, Jumatano, Septemba 1, 2021 bungeni katika kipindi cha mjadala wa hoja za wabunge kuhusu muswada wa mabadiliko ya sheria mbalimbali uliowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Profesa Adelardus Kilangi.

Amesema anajua atashambuliwa na mawakili mitandaoni lakini anataka kujua iwapo hawaoni aibu kujiita ni wasomi wakati nchi ina wasomi wengine.

“Najua watanishambulia katika mitandao, ..ah lakini huo ndiyo ukweli nani asiyekuwa msomi katika nchi hii, au wengine hawajasoma, kwani hamuoni aibu fulani hivi kujiita wasomi wakati kuna wengine katika nchi hii wamesoma,” amehoji Ndugai.

Spika amesema; “kuna wakati nitahitaji mnishauri kuhusu hili la wanasheria kujiita wakili msomi, huu ni utaratibu fulani ulioanzishwa na wenzetu Waingereza wa kutukuza baadhi ya kada,’’

Ndugai amezitaja kada nne zinazompa shida na anawashangaa kuona wakitukuzwa kuliko wengine licha ya wengi kuwa ni wasomi.

Kada hizo ni wahasibu, wahandisi, mawakili na madaktari wa kusomea ambao amesema kila mtu anataka kuanza na kutukuza kisomo chake wakati siyo lazima iwe hivyo.

Kuhusu mawakili amehoji kama wakibaki na neno la wakili watapungukiwa kitu gani huku akiweka wazi kuwa neno msomi linawaongezea kitu gani kwa Watanzania wasiopenda kujikweza katika mambo mengine.

Kwa kada alizozitaja Spika, mawakili hujiita wakili msomi, wahasibu hupenda kuanza na neno CPA, wahandisi hutumia neno la ‘Engineer’ na waliosoma shahada za uzamivu (PhD) majina yao huanza na neno DkView attachment 1920134


Yeye alisomea nini? Uspika? Basi hatumuonei wivu. Kama bwana mifugo pia hatumuonei wivu.
In fact anaweza kujiita anavyotaka na wala sio issue
 
Wivu...wivu
Sisi kuitwa wahandisi mtu anaumia wakati yeye anaitwa Mheshimiwa
Na bado huwa wanajisahau wanataka kutoa maelekezo katika kazi zinazosimamiwa na wataalamu.
 
Kwako Spika
IMG-20210902-WA0007.jpg
 
Mi nakubaliana nae, ni suala la mentality tu, kwani hata wagunduzi wengi katika fani mbalimbali waliopo nchi za ughaibuni tunawaona kila siku wakofanya mambo makubwa bila kujitwisha vilemba vya ukoko. Hivyo tuzo za udaktari ndizo pekee huwa nazikubali, kwani kila Mtu amesoma kwa nafasi yake mpaka tupo wengi mitaani wenye madigirii ya kila fani hadi bodi ya mikopo inadhindwa kutuhudumia waliopo vyuoni.
 
Spika wa Bunge Job Ndugai amesema anakerwa na kada nne ambazo zinatukuza usomi wao mbele ya Watanzania wasiopenda kujikweza.

Amezitaja kada hizo ni wahasibu, wahandisi, mawakili na madaktari wa kusomea ambao amesema kila mtu anataka kuanza na kutukuza kisomo chake wakati si lazima iwe hivyo.

Spika Ndugai ametoa kauli hiyo leo, Jumatano, Septemba 1, 2021 bungeni katika kipindi cha mjadala wa hoja za wabunge kuhusu muswada wa mabadiliko ya sheria mbalimbali uliowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Profesa Adelardus Kilangi.

Amesema anajua atashambuliwa na mawakili mitandaoni lakini anataka kujua iwapo hawaoni aibu kujiita ni wasomi wakati nchi ina wasomi wengine.

“Najua watanishambulia katika mitandao, ..ah lakini huo ndiyo ukweli nani asiyekuwa msomi katika nchi hii, au wengine hawajasoma, kwani hamuoni aibu fulani hivi kujiita wasomi wakati kuna wengine katika nchi hii wamesoma,” amehoji Ndugai.

Spika amesema; “kuna wakati nitahitaji mnishauri kuhusu hili la wanasheria kujiita wakili msomi, huu ni utaratibu fulani ulioanzishwa na wenzetu Waingereza wa kutukuza baadhi ya kada,’’

Ndugai amezitaja kada nne zinazompa shida na anawashangaa kuona wakitukuzwa kuliko wengine licha ya wengi kuwa ni wasomi.

Kada hizo ni wahasibu, wahandisi, mawakili na madaktari wa kusomea ambao amesema kila mtu anataka kuanza na kutukuza kisomo chake wakati siyo lazima iwe hivyo.

Kuhusu mawakili amehoji kama wakibaki na neno la wakili watapungukiwa kitu gani huku akiweka wazi kuwa neno msomi linawaongezea kitu gani kwa Watanzania wasiopenda kujikweza katika mambo mengine.

Kwa kada alizozitaja Spika, mawakili hujiita wakili msomi, wahasibu hupenda kuanza na neno CPA, wahandisi hutumia neno la ‘Engineer’ na waliosoma shahada za uzamivu (PhD) majina yao huanza na neno DkView attachment 1920134
mbona wabunge wanjiita waheshimiwa inamaana binadamu wengine kama wakulima siyo waheshimiwa. Hao wajiitao waheshimiwa pekee yao wakati binadamu wote ni sawa haoni kama unashangaa zaidi. anajua PhD inapatikanaje? japo siyo lazima mtu aitwe injinia fulani lakini ni mbaya zaidi mtu kubagua watu fulani na kuwaita waheshimiwa. wote tuwe tunaitwa waheshimiwa.
 
HII NCHI NGUMU SANA, MNATUHAMISHA MIJADALA YA MAANA KWA MIJADALA ISIYO NA TIJA KABISA...

MNATAKA TUSAHAU MACHUNGU YA TOZO, KODI LUKU AU?
 
Tukiweka ujinga pembeni, hakuna umuhimu wowote wa mtu kujitambulisha kwa cheo au kiwango cha elimu awapo nje ya eneo lake la kazi.

Swala la kwamba wewe ni engineer, CPA, dokta, profesa, wakili nk hayo ni mambo yahusuyo profession yako na unatakiwa uyaache huko ofisini na kwenye makaratasi / wasifu wako. Swala la kwamba eti umesotea icho cheti halina mashiko hayo ni matatizo yako, hayatuhusu. Kwani sisi ndio tulikutuma ukasotee si ulienda kwa shida zako? Kuna wajasiriamali wanasotea biashara zao miaka 10+, wameanza na viosk mpaka wanamiliki supermarket wamenyamaza, we umefanya ka CPA miaka miwili unaleta ngebe eti ooh nimesotea. Nonesense!
Kuna msemo wa vijana siku hizi wa HUSINIPANGIE. Hivi tumefika mahali tunaingilia uhuru wa mtu ajitambulishe kwa namna gani. Hii sio fair hata kidogo. Huko vijijini watu huitwa majina ambayo wenyewe walipenda kuitwa tangu wakiwa vijana. Huitwa hivyo. Kama aliuwa kiboko anapewa jina na wananchi ambao walisumbuliwa ni huyo kiboko na utambuliwa hivyo. Pengine ni mtu wa majigambo anaweza kujiita jina na wanakijiji umuita hivyo n.k.

Shida ni nini. Mhandisi akijiita mhandisi kuna shida gani?. Mtu akiwa anajisikia vizuri akiitwa mhandisi /eng kuna shida gani. Mbona tunaanza kuingilia maswala binafsi ya watu. Hii si sawa.
 
Spika wa Bunge Job Ndugai amesema anakerwa na kada nne ambazo zinatukuza usomi wao mbele ya Watanzania wasiopenda kujikweza.

Amezitaja kada hizo ni wahasibu, wahandisi, mawakili na madaktari wa kusomea ambao amesema kila mtu anataka kuanza na kutukuza kisomo chake wakati si lazima iwe hivyo.

Spika Ndugai ametoa kauli hiyo leo, Jumatano, Septemba 1, 2021 bungeni katika kipindi cha mjadala wa hoja za wabunge kuhusu muswada wa mabadiliko ya sheria mbalimbali uliowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Profesa Adelardus Kilangi.

Amesema anajua atashambuliwa na mawakili mitandaoni lakini anataka kujua iwapo hawaoni aibu kujiita ni wasomi wakati nchi ina wasomi wengine.

“Najua watanishambulia katika mitandao, ..ah lakini huo ndiyo ukweli nani asiyekuwa msomi katika nchi hii, au wengine hawajasoma, kwani hamuoni aibu fulani hivi kujiita wasomi wakati kuna wengine katika nchi hii wamesoma,” amehoji Ndugai.

Spika amesema; “kuna wakati nitahitaji mnishauri kuhusu hili la wanasheria kujiita wakili msomi, huu ni utaratibu fulani ulioanzishwa na wenzetu Waingereza wa kutukuza baadhi ya kada,’’

Ndugai amezitaja kada nne zinazompa shida na anawashangaa kuona wakitukuzwa kuliko wengine licha ya wengi kuwa ni wasomi.

Kada hizo ni wahasibu, wahandisi, mawakili na madaktari wa kusomea ambao amesema kila mtu anataka kuanza na kutukuza kisomo chake wakati siyo lazima iwe hivyo.

Kuhusu mawakili amehoji kama wakibaki na neno la wakili watapungukiwa kitu gani huku akiweka wazi kuwa neno msomi linawaongezea kitu gani kwa Watanzania wasiopenda kujikweza katika mambo mengine.

Kwa kada alizozitaja Spika, mawakili hujiita wakili msomi, wahasibu hupenda kuanza na neno CPA, wahandisi hutumia neno la ‘Engineer’ na waliosoma shahada za uzamivu (PhD) majina yao huanza na neno Dk

View attachment 1920134
Wacha we,mTheolojia ktk ubora wake
 
Kwani supika mwenyewe kabobea wapi?

Yale ya mheshimiwa supika, mheshimiwa mbunge, mheshimiwa Waziri nk anayakumbuka?
Na wenzi wao pia hupenda kuitwa Waheshimiwa. Enzi zile tukimuita mke wa Mwalimu, Mama Maria Nyerere.
 
Jamaa sijui Ana akili gani. Alichukia Assad kuitwa Prof akadai huko nje mtu anaitwa jinale bila Ilo la usomi.

Ana wivu Sana. Aliumia manager wa tarura kulipwa kuliko mkurugenzi.

Yeye anajua kusoma kuwa mhandisi unajenga daraja ama ghorofa watu wanaishi halianguki, ama daktari anakupasua anakutoa figo yako anaweka nyingine anadhani kuwa ni sawa kusoma socialogy, ama community development.

Haya udaktari wa kusomea anajua mtu ameusotea miaka mingapi, amehaso kinouma Sana.

Ila huyu jamaa hajui mziki uliopo wa hizo fani.

Hiyo CPA inamuumiza kichwa atakuwa ameshindwa kuipata.

Ngoja nigugo elimu yake niione alisomea Nini.

Yaani mpaka ameshindwa kazi iliyompeleka huko.

S
hizo Ni pumba tu, Kwani hizo taito zinawaongezea nn, huo Ni ulimbukeni na ushamba wa elimu.
 
Spika wa Bunge Job Ndugai amesema anakerwa na kada nne ambazo zinatukuza usomi wao mbele ya Watanzania wasiopenda kujikweza.

Amezitaja kada hizo ni wahasibu, wahandisi, mawakili na madaktari wa kusomea ambao amesema kila mtu anataka kuanza na kutukuza kisomo chake wakati si lazima iwe hivyo.

Spika Ndugai ametoa kauli hiyo leo, Jumatano, Septemba 1, 2021 bungeni katika kipindi cha mjadala wa hoja za wabunge kuhusu muswada wa mabadiliko ya sheria mbalimbali uliowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Profesa Adelardus Kilangi.

Amesema anajua atashambuliwa na mawakili mitandaoni lakini anataka kujua iwapo hawaoni aibu kujiita ni wasomi wakati nchi ina wasomi wengine.

“Najua watanishambulia katika mitandao, ..ah lakini huo ndiyo ukweli nani asiyekuwa msomi katika nchi hii, au wengine hawajasoma, kwani hamuoni aibu fulani hivi kujiita wasomi wakati kuna wengine katika nchi hii wamesoma,” amehoji Ndugai.

Spika amesema; “kuna wakati nitahitaji mnishauri kuhusu hili la wanasheria kujiita wakili msomi, huu ni utaratibu fulani ulioanzishwa na wenzetu Waingereza wa kutukuza baadhi ya kada,’’

Ndugai amezitaja kada nne zinazompa shida na anawashangaa kuona wakitukuzwa kuliko wengine licha ya wengi kuwa ni wasomi.

Kada hizo ni wahasibu, wahandisi, mawakili na madaktari wa kusomea ambao amesema kila mtu anataka kuanza na kutukuza kisomo chake wakati siyo lazima iwe hivyo.

Kuhusu mawakili amehoji kama wakibaki na neno la wakili watapungukiwa kitu gani huku akiweka wazi kuwa neno msomi linawaongezea kitu gani kwa Watanzania wasiopenda kujikweza katika mambo mengine.

Kwa kada alizozitaja Spika, mawakili hujiita wakili msomi, wahasibu hupenda kuanza na neno CPA, wahandisi hutumia neno la ‘Engineer’ na waliosoma shahada za uzamivu (PhD) majina yao huanza na neno Dk

View attachment 1920134
Kutaka kutambuliwa kama "wakili msomi", halina tofauti na wabunge waliposhinikiza watambuliwe kama "Waheshimiwa" lengo likiwa ni kutafuta utukufu. Kujitofautisha na wananchi wengine ili waweze kuwatweza. Na ndiyo maana baada ya hapo walianza kujipandishia na kujilipa 12m/= kwa mwezi. Shame.
Lakini, ... Yana mwisho. Kitaibuka kizazi ambacho hakitakubali ufisadi wa aina hii. "Keki ya Taifa" lazima igawanywe kwa watu wote kwa usawa.
 
Tukiweka ujinga pembeni, hakuna umuhimu wowote wa mtu kujitambulisha kwa cheo au kiwango cha elimu awapo nje ya eneo lake la kazi.

Swala la kwamba wewe ni engineer, CPA, dokta, profesa, wakili nk hayo ni mambo yahusuyo profession yako na unatakiwa uyaache huko ofisini na kwenye makaratasi / wasifu wako. Swala la kwamba eti umesotea icho cheti halina mashiko hayo ni matatizo yako, hayatuhusu. Kwani sisi ndio tulikutuma ukasotee si ulienda kwa shida zako? Kuna wajasiriamali wanasotea biashara zao miaka 10+, wameanza na viosk mpaka
kweli upo sahihi kabisa.
 
Kutaka kutambuliwa kama "wakili msomi", halina tofauti na wabunge waliposhinikiza watambuliwe kama "Waheshimiwa" lengo likiwa ni kutafuta utukufu. Kujitofautisha na wananchi wengine ili waweze kuwatweza. Na ndiyo maana baada ya hapo walianza kujipandishia na kujilipa 12m/= kwa mwezi. Shame.
Lakini,
kuitwa mheshimiwa na hizo taito za darasani yote Ni ulimbukeni hakuna la maana.
 
Back
Top Bottom