Spika Ndugai awashukia wasomi nchini, asema anajua watamshambulia katika mitandao

Na yeye si afisa wanyamapori...basi mwambieni..nyani na ngedere wamuite afisa wanyamapori msomi..binaadamu tumejaribu kumuita mhishimiwa but ameshindwa kujiheshimu..labda nyani na ngedere wataelewana nae..
 
Ubunge ni heshima kwa wabunge na ipo duniani kote.

Ila hakupaswa kusema mambo alosema ndani ya bunge, alipaswa kuzungumzia kwenye baa sehemu kama Mahomanyika Nzuguni.
Nzuguni kwa masister...
 
Daaaah Huyu jamaa ni kilaza na jinga sanaaa etiiii limejiachia nankusema etii anamjua mke wa Yesu na walipo kuwa wanaishiii nilicheka kwa nguvu sanaaa yaniiii daaaah Huyu anapagawa hayo ndo madhara ya chanjo unaanzia kudata tratibu
 
Hao wasomi wengine nao wajiite kwa title zao, hakuna aliyewazuia.......kwa hiyo anakereka naibu wake kuwa daktari wa sheria, atafute ka title hata ka kizushi katamtoa tu......
 
Amezitaja kada hizo ni wahasibu, wahandisi, mawakili na madaktari wa kusomea ambao amesema kila mtu anataka kuanza na kutukuza kisomo chake wakati si lazima iwe hivyo.
Si kwakuwa yeye alivikosa!
 
Kwamba hizo nyingine ndo mteremko?
 
Hali ya maisha ya watanzania wa jimbo lake wala hayamkeri? Labda akistaafu atahamia, Jerusalem, Street No: 12 Judah Iscariot.[emoji1134]
Hahaha Juda iscariot Street no 12 Barabara ya nane kwa mke wake na yesu
 
Nadhani chanjo imeanza kufanya kazi kwa huyu mgonjwa ghali kuliko wote duniani
 
Sasa kwani alilazimishwa kusomea uafisa kilimo😁
 
Nikiwa kama msomi nimeshtuka kuona watu wakijadili wakili msomi sijui wakina macpa.

Kiukweli tunapoelekea mtaanza kutugusa wakina ma engn wakina maprof na sihaba mbeleni mkaanza kugusa mahsgal wasomi.

Tubadilike kidogo tuheshimu elimu za watu wewe kama hukufikia eneo hilo kuwa mpole tu wataendelea kuitwa wakili msomi mpaka wafe hakuna jinsi.

Mwisho tuchukue mda kujadili mamboo ya maana sehemu ya maana kuliko kuanza kujadili elimu za watu
 
Hata ukiitwa haiongezi kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…