Spika Ndugai awashukia wasomi nchini, asema anajua watamshambulia katika mitandao

Ndio kazi aliyotumwa na wapiga kura wake?
 
Mkuu upi sawa?
Mhandisi, muhasibu hawawezi kujiajiri ?
Hawawezi kusajili kampuni zao na kujiendeshea biashara zao?
Mwanasheria hawezi kujiajiri, mkuu unawadisi vibaya hao wasomi uchwara. Yani umewakanyaga na tope.
 
Ndugai yupo sahihi katika hili, ni ushamba sana kutambulisha watu kwa kutanguliza Dr, Professor, Injinia katika shughuli. Waafrika tupunguze ulimbukeni kwa title za kwenye makaratasi ya darasani tu.
 
Ndugai yupo sahihi katika hili, ni ushamba sana kutambulisha watu kwa kutanguliza Dr, Professor, Injinia katika shughuli. Waafrika tupunguze ulimbukeni kwa title za kwenye makaratasi ya darasani tu.
Mkuu mbona ndugai na wale mazuzu wenzie wanapenda kuitwa mheshimiwa.........aache wenge, na sisi tutumie title zetu, hatujamtuma kukwepa umande, wakati wenzie wakienda shule yeye alienda kukusanya ubuyu....
 
Ni kasumba za kishamba tu.
Kama umewahi kutazama mijadala ya Seneti au bunge la wawakilishi Marekani hawana haya mambo ya kuitana honourable, hata spika wanamuita madam Speaker, Mr. Chairman n.k
Mkuu mbona ndugai na wale mazuzu wenzie wanapenda kuitwa mheshimiwa.........aache wenge, na sisi tutumie title zetu, hatujamtuma kukwepa umande, wakati wenzie wakienda shule yeye alienda kukusanya ubuyu....
 
Ni ushamba au ulimbukeni tu, unakuta kwenye shughuli ya harusi mtu anatambulishwa Injinia Architect Dr Kalubandike Juma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…