Mkongo 1
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 302
- 352
Unaona akili zako zilivo fupi? Hujaelewa nn hapoMlimfukusa Shonza kisa kuhoji fedha za ruzuku
Mmeupola ???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaona akili zako zilivo fupi? Hujaelewa nn hapoMlimfukusa Shonza kisa kuhoji fedha za ruzuku
Mmeupola ???
Aeleweki nn anataka.Subwoofer haelewi. Haishangazi kwani subwoofer kazi yake ni kupayuka mwangwi kutoka kwenye mixer. Ukikata waya basi linakuwa kimya.
Usiumize kichwa sana hao ndo wanachadema walilia haki na demokrasiaKwamba haki yao ikiminywa wasisemewe kisa ni wa upinzani?
Wawe wabunge Hadi lini sio hoja.Hoja nikwamba wamefukuzwa uanachama.Unapotoka, akina mdee ni wabunge hadi 2025
Ndugai hajitambui na kama ni barua ataisubiri sana mpaka Oktoba 2025 sababu CHADEMA hawatamwandikia barua kwa wabunge isiyo watambua.Hii ni nukuu kutoka kwenye moja ya magazeti siku ya leo.
Inatajwa kuwa Chadema kuna mfumo dume hivyo kuna umuhimu wa kuwatetea wanawake.
Spika Ndugai anasubiri barua rasmi.
Swali zuri sanaYour name is a reflection of what you are. Tell me; can CCM leadership tolerate insubordination and contempt from any member regardless of one's sex?
Chandimu bwana ni kama choo cha shimoHii ni nukuu kutoka kwenye moja ya magazeti siku ya leo.
Inatajwa kuwa Chadema kuna mfumo dume hivyo kuna umuhimu wa kuwatetea wanawake.
Spika Ndugai anasubiri barua rasmi.
Wanawatakia kuvunia pesa za mabeberu walisahau hilo walipoiba kuraNdugai hajitambui na kama ni barua ataisubiri sana mpaka Oktoba 2025 sababu CHADEMA hawatamwandikia barua kwa wabunge isiyo watambua.
BTW wapinzani ninwapinga maendeleo bungeni anawataka wa nini?
Hii ni nukuu kutoka kwenye moja ya magazeti siku ya leo.
Inatajwa kuwa Chadema kuna mfumo dume hivyo kuna umuhimu wa kuwatetea wanawake.
Spika Ndugai anasubiri barua rasmi.
Huyu spika kapoteza credibility.Kati ya maspika wote waliomtangulia huyu Hana mvuto kabisa kwa wananchi ni angekaa kimywa tu amalize muda wake kuliko kubwabwaja hivyo hivyo.Hii ni nukuu kutoka kwenye moja ya magazeti siku ya leo.
Inatajwa kuwa Chadema kuna mfumo dume hivyo kuna umuhimu wa kuwatetea wanawake.
Spika Ndugai anasubiri barua rasmi.
Loudspeaker haiwezi ongea kinyume na maneno ya mcHuyu spika kapoteza credibility.Kati ya maspika wote waliomtangulia huyu Hana mvuto kabisa kwa wananchi ni angekaa kimywa tu amalize muda wake kuliko kubwabwaja hivyo hivyo.
Mbona walimfukuza Membe na kuwapa maonyo akina kijana so wao walikuwa sahihi?Feminist Ndungai
Loudspeaker haiwezi ongea kinyume na maneno ya mcHuyu spika kapoteza credibility.Kati ya maspika wote waliomtangulia huyu Hana mvuto kabisa kwa wananchi ni angekaa kimywa tu amalize muda wake kuliko kubwabwaja hivyo hivyo.
Loudspeaker haiwezi ongea kinyume na maneno ya mcHuyu spika kapoteza credibility.Kati ya maspika wote waliomtangulia huyu Hana mvuto kabisa kwa wananchi ni angekaa kimywa tu amalize muda wake kuliko kubwabwaja hivyo hivyo.
MATAGA ilipokuwa Oktoba: "wabunge wa Chadema ni wapinga maendeleo, wasumbufu bungeni afadhali hawapo na bunge litakuwa live"Hii ni nukuu kutoka kwenye moja ya magazeti siku ya leo.
Inatajwa kuwa Chadema kuna mfumo dume hivyo kuna umuhimu wa kuwatetea wanawake.
Spika Ndugai anasubiri barua rasmi.