Spika Ndugai haya uliyosema kuhusu Wabunge wa CHADEMA waliofukuzwa mbona mwaka 2017 hukuyasema wabunge wa CUF walipotimuliwa?

Spika Ndugai haya uliyosema kuhusu Wabunge wa CHADEMA waliofukuzwa mbona mwaka 2017 hukuyasema wabunge wa CUF walipotimuliwa?

Inashangaza taifa ambalo katiba yake imetamka wazi kuwa ni taifa linaloheshimu misingi ya demokrasia haki na utii wa sheria alafu linakuwa na spika asiyejitambua. Hii ni aibu kwa karne hii ambayo kila mtu anatambua umuhimu wa kuheshimu sheria.

Kama spika unayejitambua basi ungesoma ibara ya 8(1)(a) alafu ukawaomba msamaha watanzania kwa jinsi ulivyokengeuka na kuisigina katiba inayotoa mamlaka ya kutawala.

Kwa kuwa katiba ndio inatoa mamlaka ya kutawala na mamlaka hayo yapo kwa watu wanaounda taifa la Tanzania basi ulipaswa kuacha mara moja kuikanyaga katiba maana madhara yake ni makubwa.

Ibara ya 71(1)(e) ya katiba ya jamhuri ya Tanzania ipo wazi na haihitaji ufafanuzi. Ukomo wa mbunge utatokea pale uanachama wake utakoma kwenye chama alichochaguliwa kuwa mbunge.

Sasa kama watu walishafukuzwa Chadema, na chama chao kikakuandikia barua kuwa walishafukuzwa wewe kwa nini hutaki kuamini kuwa walishafukuzwa? Ok kama huamini kwa nini usiombe uthibitisho kuwa walifukuzwa na vikao halali?

Kwa kuwa katiba ni sheria mama na ndio inayotoa mamlaka ya kutawala na mamlaka haya yapo mikononi mwa wananchi basi tambua hii nchi ni mali ya watanzania. Hivyo usifanye maamuzi kwa utashi wako bali zingatia kaiba inasema nini.

Unaliabisha taifa letu kwa kuleta ubabe usio na maana.
Nchi yoyote hapa Duniani haiwezi kuwa na kiongozi mkubwa wa nchi mwenye akili kama za Ndugai , nchi ikaendelea hakuna
 
Spika mnafiki sana!!
Hii jinai itamtafuna sana
Hadi anakera.
Akumbuke maneno ya Rais Mama SSH kuwa matendo ya mtu hufuatana naye siku zote.
Hili spika analo. Litamganda hadi udongoni!!
 
Ndugai achunguzwe na CAG pamoja na TAKUKURU huenda hao wabunge kuna % ya mshahara wao wanampatia maana haiwezekani kabisa atumie nguvu kubwa kuwatetea hao wabunge

Hivi wale wabunge wa CUF baraza gani lilikaa kuwafukuza mpk yeye akakubali kwa speed ile ya mwanga kuwafuta uanachama na yeye kuwaondoa bungeni huyu spika ni tatizo
 
Siasa za bongo ni hatari tupu. Statement ya Job ya leo ipo contrary kabisa na hiki unachokiandika. Kwa kifupi kasema hivi
1. Eti CHADEMA walimpelekea barua (kakiita kijipeperushi) bila necessary attachments kama Katiba ya Chama na Muhtasari wa Kikao kilichoazimia kuwavua uanachama

2. Kawataka CHADEMA watimize kwanza takwa la KATIBA yao, re: kuitisha Baraza Kuu

Kamalizia kwa kusema eti yeye kama Speaker hapangiwi na mtu yeyote lini afanyie kazi barua ya yeyote. Pia kaahidi kuwalinda wabunge kwani hiyo ni moja ya kazi zake.

Hii kitu bado sana. Haitoshangaza kuwaona akina Mdee wakidunda mpaka 2025

 
Kutokana na shinikizo la kutaka wabunge hawa waondolewe Bungeni, na pia ili kumpa Spika amani na zaidi ili kulinda hadhi ya Bunge isiendelee kuporomoka, wenye mamlaka watawataka wabunge hawa wajiuzu ila watahakikisha wanalindwa hata wakiwa nje ya Bunge.

CCM na Ndugai swala hili limewakalia vibaya na sioni uwezekano wao wao kuendelea kuwalinda hawa wabunge zaid ya kuwataka tu watangaze kujiuzulu ila watakubaliana wabunge hawa waseme nini kwa umma siku ya kutangsza kujiuzulu.

Hii aibu ni ngumu kuibeba tena huku nafasi inskusta hivyo ni swala la muda tu.

Baada ya Bunge hili kwisha,sitarajii kama watarudi katika mkutano ijayo wa Bunge


Tusubiri.
Hivi ccm itadhalilisha nchi hii hadi lini ?
 
Kutokana na shinikizo la kutaka wabunge hawa waondolewe Bungeni, na pia ili kumpa Spika amani na zaidi ili kulinda hadhi ya Bunge isiendelee kuporomoka, wenye mamlaka watawataka wabunge hawa wajiuzu ila watahakikisha wanalindwa hata wakiwa nje ya Bunge.

CCM na Ndugai swala hili limewakalia vibaya na sioni uwezekano wao wao kuendelea kuwalinda hawa wabunge zaid ya kuwataka tu watangaze kujiuzulu ila watakubaliana wabunge hawa waseme nini kwa umma siku ya kutangsza kujiuzulu.

Hii aibu ni ngumu kuibeba tena huku nafasi inskusta hivyo ni swala la muda tu.

Baada ya Bunge hili kwisha,sitarajii kama watarudi katika mkutano ijayo wa Bunge


Tusubiri.
Nikisema ni ushubwada nitakuwa nakosea..!
 
Siasa za bongo ni hatari tupu. Statement ya Job ya leo ipo contrary kabisa na hiki unachokiandika. Kwa kifupi kasema hivi
1. Eti CHADEMA walimpelekea barua (kakiita kijipeperushi) bila necessary attachments kama Katiba ya Chama na Muhtasari wa Kikao kilichoazimia kuwavua uanachama

2. Kawataka CHADEMA watimize kwanza takwa la KATIBA yao, re: kuitisha Baraza Kuu

Kamalizia kwa kusema eti yeye kama Speaker hapangiwi na mtu yeyote lini afanyie kazi barua ya yeyote. Pia kaahidi kuwalinda wabunge kwani hiyo ni moja ya kazi zake.

Hii kitu bado sana. Haitoshangaza kuwaona akina Mdee wakidunda mpaka 2025


Utashangaa na hutoamini.
 
Kama Nape Nnauye atakomaa nao lazima watatolewa nduki bungeni.

Nyuma ya Nape kuna nguvu kubwa isiyoonekana ambayo imeapa kuvisambaratisha vikaragosi vyote vya naniliu!
Nape ni tishio hata kwa nyinyi toilet paper za CCM mtandaoni
 
Hv yule tumbo kubwa yuko wap
Upo Sawa kumwonea huruma, na ni desturi zetu waafrika kuwaonea Huruma na kuwafariji waliopatwa na msiba! Nakuunga mkono na nitafuata nyayo zako! Kufiwa na #munguwakabudi ambaye ni #yesuwalugola siyo jambo dogo!
 
Ndugai alivoambiwa jina la soko jipya la stendi ya dodoma litaitwa jina lake akajua na mapato yatokanayo na soko yatakuwa ya kwake pia,

Huyo mgogo hayupo sawa kichwani
 
Back
Top Bottom