Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Slaa alishughulika na miradi hii kutumia connection zake tokea akiwa Baraza la Maaskofu Katoliki, TEC. Wakati akiwa CHADEMA , wapumbavu wa ccm walikula njama kuhujumu miradi hiyo, eti kumkwamisha. Leo mnaongelea Karatu? Ccm hamnaga hata aibu.Dr. Slaa aliacha maji karatu. Lissu hata choo hakuna hata Mnyika hovyo kabisa.
Lugha ya kuudhi hiyoARV ni shiiiiida.
Imagine hilo ndio jimbo la Spika aliyekalia ubunge kwa miaka zaidi ya 20 sasa. Wagogo wamejiridhikia tuEeeeh Kongwa kunani kule
![]()
Anayetaka kugombea ubunge jimboni hapo mafimbo yanamhusuImagine hilo ndio jimbo la Spika aliyekalia ubunge kwa miaka zaidi ya 20 sasa. Wagogo wamejiridhikia tu
Inamahusiano gani na hii mada?Kondomu ni tshs 100
Kiazi yule tumemvumilia sana hapa kongwa. Hatimae samia atatusaidiaKwani Lisu ndio anasambaza huduma za kijamii?
Huko kongwa Ndugai amesambaza maji kwa asalimia ngapi?
Vipi amewajengea nyumba wapiga kura wake au ni fulu mapagala?
Hivi yule mkewe aliyetuhumiwa kufuja fedha za umma kule Morogoro vipi aliwajibishwa? Bunge liwajibishe wakurugenzi wezi kama kweli ni wazalendo
Jobo ameshaliwa kichwa. Atatukanwa sana ndani na nje ya bunge.Kiazi yule tumemvumilia sana hapa kongwa. Hatimae samia atatusaidia
Hakika kabisa iwe hivyo.We kijana kila siku unatandikwa BAN takatifu kulikoni ?
Nashauri mtu akitandikwa BAN 10 afutwe uanachama wa JF
Hii ni laana ya Uvamizi kwa Zanzibar Na kuuwa watu zaidi ya 10000Anayetaka kugombea ubunge jimboni hapo mafimbo yanamhusu
Ila hii nchi jamani,kweli nikama msituni mwenye nguvu kuonea wanyonge
Vip kwani Ndugai ana UkimwiARV ni shiiiiida.
Huyo mgalilaya wa kongwa yeye ameacha legacy gani hapo jimboni kwake zaidi ya Ile ya kupiga marungu wagombea wenzake.
Kwani kuwa spika sio legacy ?Ndugai ameacha legacy gani Kongwa alikotawala wajinga wenzake kwa nusu karne?
Mhh...? ofisi ya DC haina bajeti yeyote ya kutekeleza miradi kama hiyo, Sana Sana labda angekuwa mkurugenzi...hili suala walaumiwe serikali na ccm / chama tawala.
..pia Spika alipaswa kumhoji Miraji Mtaturu ambaye kabla ya kuwa mbunge alikuwa mkuu wa wilaya.
..kwanini Mtaturu alipokuwa DC alishindwa kupeleka maji ktk wilaya yake?
Wajibu wa DC katika wilaya ni nini? Ndio msimamizi wa Sera za serikali na shughuli zote za umma.Kwani kuwa spika sio legacy ?
Mhh...? ofisi ya DC haina bajeti yeyote ya kutekeleza miradi kama hiyo, Sana Sana labda angekuwa mkurugenzi.
DC ni msimamizi wa sera tu (cheo cha kisiasa tu ) ila hana bajeti yoyote .Wajibu wa DC katika wilaya ni nini? Ndio msimamizi wa Sera za serikali na shughuli zote za umma.
Mbunge ni sauti tuu ya watu
Mkuu wakikujibu, nitag please.Lissu anapeleka miradi jimboni au serikali?