hakuna lolote, mzee mzima kashaaibika na amekosa namna ya kuchomoka. kiti kinayumba hiki. Hili lilikuwa ni dili la yeye na mwendazake!! sasa kuwatosa hawa anaona ni kama kumsaliti asiyekuwapo duniani - patamu hapo.Ndugai anajiamini sana inaonekana kuna kitu anakijua na mkiendelea kumtukana kuna siku atakisema.
Tatizo misukule ya chadema tukisema hili chezo Mbowe na Mnyika wanalijua hamtaki kuelewa, ndio maana wenzenu waliwaita nyumbu!
Hii ishu imeishajibiwa vzr sana na wabobezi wa Sheria,huyu anajifanya hamnazoSpika Job Ndugai ameendelea kutoa ufafanuzi juu ya utaratibu wa kuwavua ubunge wabunge 19 wa viti maalumu wa CHADEMA, Mh Spika ameendelea kusisitiza kuwa anaongoza Bunge kwa Katiba, Sharia, Kanuni, Hekima na Utamaduni ili kutenda haki...
Mbowe na Mnyika ndio waliwapeleka.Salary slip, this is a very important question. Likijibiwa hili the case is closed!
Disinformation,fake news,propaganda ni mbinu zinazotumiwa na ccm kuhadaa umma kuhusu hili Swala,mnyika aliandaa majina akapeleka kwa mbowe sasa kabla hawajayapeleka tume kukatokea kutoelewana kila mtu alitaka apeleke mkewake mbowe kwa kuwa alikuwemo halima akayapeleka fasta waende mahakamani kama haijakutwa sahihi ya mnyika kwenye hayo majina ndiyo maana wanaogopa
Hajui kitu sema hakuna mtu wa kumwambua ukweli kati ya wale wa upande wao.. Walichoamua kufanya ni kumuacha mjinga na ujinga wakeKwa asilimia kubwa Ndugai sheria anajua sema kaona asilimia kubwa ya Watanzania bado wajinga.
Chadema Ipi? Wakati katibu na mwenyekiti wa chadema hawaitambua na hawajawai kusaini barua wala kuteua ?Wabunge hao wanateuliwa kwa mujibu wa sheria na uteuzi wake unapelekwa kwa spika kwa njia ya barua siyo maneno au kupitia twitter,
Vipi kama Ndugai ana barua ya uteuzi wa hao wabunge kutoka chadema?
Tatizo chadema mnaona kama Mbowe na Mnyika ni malaika.
Ndugai ni Miongoni mwa Kundi linalomkataa Rais Samia Ndugai anavunja kwa Makusudi KATIBA ya NCHI ili Dunia iamini Utawala wa Rais Samia hauheshimu KatibaKuna jambo moja ambalo Ndugai analikwepa, na pia kuna kosa Ndugai anafanya, hivyo naweza kusema anafanya makosa makubwa mawili kwa makusudi...
Lkn binafsi bado naamini aliyewezesha huyu binti aliye kuwa maabusu kutolewa na usiku na asubuhi take akaenda kuapa na kuwa mbunge, huyo mtu ndo pekee awezaye kumwambia ndugai awafukuze bungeni. Viambatanisho vinasingiziwa.Mpaka hapo inaonesha wazi spika anajua chadema walikosea wapi kisheria ndio maana kila siku anawataka wapeleke
Maybe kwenye hiko kikao akidi ilikuwa haijatimia au kuna mapungufu kutokana na Katiba yao
Wewe unawaamini?Chadema Ipi? Wakati katibu na mwenyekiti wa chadema hawaitambua na hawajawai kusaini barua wala kuteua ?
Haya yote ni kwasababu mmeshika dola mnafanya mnavyotaka ila kila kitu kina mwisho.Vipi kama Ndugai ana barua rasmi ya uteuzi wa hao wabunge kutoka chadema?
Au nyie mnamuina Mbowe na Mnyika ni malaika wale?
We jamaa na ndugai ni ma profesa LIPUMBA vuuu.Vipi kama Ndugai ana barua rasmi ya uteuzi wa hao wabunge kutoka chadema?
Au nyie mnamuina Mbowe na Mnyika ni malaika wale?
issue ya dollar bilion 1 za european union za utawala bora zimebuma wazungu wanajua mchezo wote unaoendelea jamaa waliiiba kura kupitiliza vigezo na masharti vikapotea ikabidi sasa covid 19 walazimishwe kuingia kwenye hilo jengo linaloitwa bunge dhaifuMimi nadhani CHADEMA wangeumaliza huu mchezo mapema tu. Hebu pelekeni hizo documents ili hawa 'wasaliti' wapishe mjengoni fasta.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwa sababu hujui chochote, hao kina Mbowe unawasikia tu kupitia jf, twitter n.kWe jamaa na ndugai ni ma profesa LIPUMBA vuuu.
Wakati wa uteuzi alipelekewa na katiba na muhtasali ndo akawaapisha?Wabunge hao wanateuliwa kwa mujibu wa sheria na uteuzi wake unapelekwa kwa spika kwa njia ya barua siyo maneno au kupitia twitter,
Vipi kama Ndugai ana barua ya uteuzi wa hao wabunge kutoka chadema?
Tatizo chadema mnaona kama Mbowe na Mnyika ni malaika.
CCM hawako smart and never they will be. Kwa kukosa umakini, walisahau kuacha wabunge wa upinzani wakaamuwa kupora kila kitu.Disinformation,fake news,propaganda ni mbinu zinazotumiwa na ccm kuhadaa umma kuhusu hili Swala,