Yeye documets za kuwaapisha kama wabunge alizitoa wapi?Ndugai kauliza swali dogo tu “wanaogopa nini kuambatanisha documents?”
Jibu pekee ni kuandika barua na kuweka hizo necessary attachments badala ya kukwepa, kupanga maandamano na kumtukana Ndugai. Ni bora kuabide ili mwisho wa siku Ndugae akose options.
hivi kwanini wabunge wanatumia muda wetu vibaya kwa kila siku kuzungumzia mambo yasiyo na tija kwa taifa?yes wamepeleka majina wenyewe halafu wanayakana waende mahakamani wakaseme wamefogiwa
Atakwambia alizipokea kutoka NECYeye documets za kuwaapisha kama wabunge alizitoa wapi?
Atakwambia alizipokea kutoka NEC
NEC ndio watamwambia walizitoa wapi..Atakwambia alizipokea kutoka NEC
Huyu mjinga amekuwa mahakama?Vitakuwa vipeperushi, ajitathimini kabla yakutoa matamko.Nchi hii ina wachambuzi wengi sana,rekodi take itakuwa historian kubwa sana ktk kabila lake na watoto wake.
mwendazake alipeleka viambatanishi alipomtumbua sophia simba?Spika Job Ndugai ameendelea kutoa ufafanuzi juu ya utaratibu wa kuwavua ubunge wabunge 19 wa viti maalumu wa CHADEMA, Mh Spika ameendelea kusisitiza kuwa anaongoza Bunge kwa Katiba, Sharia, Kanuni, Hekima na Utamaduni ili kutenda haki.
Mh Spika amevitaka vyama vya siasa pale wanapotaka kuwavua uanachama wabunge yawapasa kuambatanisha Katiba ya chama chao pamoja na Muhtasari wa Kamati Tendaji ya chama iliyofanya maamuzi ya kuwavua uanachama wabunge wanaopaswa kuwafukuza ili naye apate kujilidhisha kama utaratibu ulifuatwa na atende haki pasi kumuonea mtu yeyote.
Mh Spika ameongeza kuwa kwa mujibu uo atafanyakazi pia na msajiri wa vyama vya siasa maana yeye ndo ana Katiba za chama na kila wanapofanya mabadiliko ya Katiba kwenye vyama ua anapelekewa nakara za katiba ambazo ni latest.
Mh Spika amemalizia kwa kuhoji kwanini Chadema hawapeleki hizo nakala? Wanaogopa nini?
Basi subiri mwisho. Nadhani itakuwa mwaka 2500Haya yote ni kwasababu mmeshika dola mnafanya mnavyotaka ila kila kitu kina mwisho.
wewe una aibisha wana sheria wenzako bora ungekaa kimya ndugai hawezi kuteua watu lazima kuna majina kaletewa na kapokea kutoka tume sasa kwanini msiende tume kuuliza hayo majina alipeleka nani kwa ndugai mnashambulia mtu aliyeletewa majina msizani ndugai ni minga kama nyinyi anajua analofanyaHawa wabunge 19 hawakuwai kuteuliwa na chama chini ya katibu mkuu Myika Je wewe ulipokea barua ya kuteuliwa kwao kutoka kwa katibu mkuu?
Huyi mtu nadhani kuna ujonga alioamua kuutumikia. Yeye anaongelra kuwavua ubunge lwa sababu ya covid 19 kufukuzwa uanachama. Haelewi hata hoja iloyopo!Spika Job Ndugai ameendelea kutoa ufafanuzi juu ya utaratibu wa kuwavua ubunge wabunge 19 wa viti maalumu wa CHADEMA, Mh Spika ameendelea kusisitiza kuwa anaongoza Bunge kwa Katiba, Sharia, Kanuni, Hekima na Utamaduni ili kutenda haki.
Mh Spika amevitaka vyama vya siasa pale wanapotaka kuwavua uanachama wabunge yawapasa kuambatanisha Katiba ya chama chao pamoja na Muhtasari wa Kamati Tendaji ya chama iliyofanya maamuzi ya kuwavua uanachama wabunge wanaopaswa kuwafukuza ili naye apate kujilidhisha kama utaratibu ulifuatwa na atende haki pasi kumuonea mtu yeyote.
Mh Spika ameongeza kuwa kwa mujibu uo atafanyakazi pia na msajiri wa vyama vya siasa maana yeye ndo ana Katiba za chama na kila wanapofanya mabadiliko ya Katiba kwenye vyama ua anapelekewa nakara za katiba ambazo ni latest.
Mh Spika amemalizia kwa kuhoji kwanini Chadema hawapeleki hizo nakala? Wanaogopa nini?
Hakuna anachoelewa yule. Ni ujinga tu. Suala siyo kufukuzwa uanachama, bali CHADEMA hawakuwahi kuteua wabunge wa viti maalum. Spika aseme alipata wapi majina?Mpaka hapo inaonesha wazi spika anajua chadema walikosea wapi kisheria ndio maana kila siku anawataka wapeleke.
Maybe kwenye hiko kikao akidi ilikuwa haijatimia au kuna mapungufu kutokana na Katiba yao.
Hakuna anachoelewa yule. Ni ujinga tu. Suala siyo kufukuzwa uanachama, bali CHADEMA hawakuwahi kuteua wabunge wa viti maalum. Spika aseme alipata wapi majina?
Ni ajabu sana, ndugai na timu yake walishaambiwa anademka bungeni hataki kusikia.hivi kwanini wabunge wanatumia muda wetu vibaya kwa kila siku kuzungumzia mambo yasiyo na tija kwa taifa?
kwanini wasitafute muda mwingine na wayamalize hii kitu inakera!
ni sawa na huku kwetu ugogoni watu wanasikia furaha ukifungwa kuliko kumlipa deni na tena kabla hajakupeleka mahakamani anatamka na kumuomba hakimu akufunge miaka 5 na yupo tayari kumaliza ng'ombe hakimu anavuta na rufaa ipo wazi unaweza kutoka vilevile ndo hiyo kesi watu wanakaza wakati wao ubunge wao ni wa mashaka kuanzia kupitishwa kwao mpaka uchaguzi wao.
Hakuna cha vielelezo,kweli wew mgogo.Ni kanuni au sheria ipi inayotaka hivyo vielelezo?Ujeuri wote wa hilo jamaa lenu limevimba sura km nguruwe wa kwetu unatokana na katiba anayoidharau,unafikuri tunawafundisha nin wananchi tunapodharau katiba?Hivi unajua Ndugai nje ya katiba ni mtu wa kawaida hana ujeuri na hawez kuamrisha?Askari wake na wasaidize wote wampuuze kwa kudharau katiba unafikiri itakuaje?
swala la chadema waekosea wapi au akidi haijatimia sio lake hio ni issue ya MAHAKAMA . kageuza ofisi ya UMA kua ofisi binafsi anajipangia atakalo
Barua yenyew imepita miezi mitano hajajibu na kaita kipeperushi? Je CCM walipomfukuza Sophia Simba 2017 walipeleka vielelezo?