Spika Ndugai: Nampa onyo kali Jenerali Ulimwengu kuchunga ulimi wake, haipendezi mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyo ovyo

Spika Ndugai: Nampa onyo kali Jenerali Ulimwengu kuchunga ulimi wake, haipendezi mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyo ovyo

Safi bwana supika. Lazima kupambana na huyu mjivuni wa kitutsi. Hao ni watu wanaojiona wao tu ndio wanajua wengine hawajui kitu na mazereu ndio usiseme. Tangu ajue wenzake hawawezi kwa hila zao kumsimika kama rais tz kazi yake ni kupinga kila kitu..aheri hata chadema. Tena anavyozeeka na pombe kali ndio hasira zimemzidi. Macho hadi utafikiri mchina 😂😂
Ukiona mtu anakuwa mkali, ujue hana uwezo. Huyo spika amepanic baada ya udhaifu wake kuwekwa hadharani. Yeye atumie vyombo vya dola kumfanyizia mzee Ulimwengu maana kuna mahusiano ya kihalifu kati ya mihimili ya nchi na vyombo vya dola, lakini msg sent fullstop.
 
Ametoa onyo hilo leo Mjini Dodoma na amemtaka Ulimwengu kuacha mara moja kutoa lugha za dharau dhidi ya Mhimili wa bunge .

Bali hakusema ni hatua gani atachukua ikiwa Jenerali Ulimwengu atakaidi onyo hilo , ila anasema watapambana naye ndani na nje .

----+

Akizungumza katikati ya mjadala wa marekebisho ya Sheria mbalimbali uliowasilishwa Bungeni, Spika Ndugai amesema Ulimwengu ambaye ni Mwandishi wa Habari Nguli amekuwa akilikashfu Bunge na Spika apendavyo.

"Jenerali amekuwa akilivunjia heshima Bunge na Spika pia, napenda kumpa onyo kali kuchunga ulimi wake, haipendezi Mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyoovyo, akiendelea na sisi tutaacha ukimya itabidi Watu washughulike nae ndani na nje yaani Mahakamani, habari imfikie uvumilivu wetu umefika mwisho, sisi sio kama anavyodhani" ——— Spika Ndugai
#Hovyo , CAG Assad ndio kasema.
#Dhaifu
 
Ile mashine ya kusafisha damu kwa wagonjwa wa figo, iondolewe nyumbani kwake ipelekwe kwenye hospitali ya umma isaidie wananchi wengi wanaoteseka badala ya kumuhudumia mtu mmoja tu wakati imenunuliwa kwa gharama kubwa kwa fedha za umma.

Huu ni ubinafsi uliopitiliza.
 
Ile mashine ya kusafisha damu kwa wagonjwa wa figo, iondolewe nyumbani kwake ipelekwe kwenye hospitali ya umma isaidie wananchi wengi wanaoteseka badala ya kumuhudumia mtu mmoja tu wakati imenunuliwa kwa gharama kubwa kwa fedha za umma.

Huu ni ubinafsi uliopitiliza.
kweli kuna kitu kama hicho? This is really new news
 
Hii ni observation muhimu. Kitendo cha Ndugai kuhamaki maneno ya Jenerali mitandoni, basi ni ushahidi tosha kuwa wanashinda mitandaoni, wanasoma.
Kwahiyo tuandike sana, kumbe wanasoma, wanapata ujumbe kutoka kwa wananchi.
TUANDIKE SANA
Ukiona mtu yeyote anaogopa kukosolewa madhaifu yake basi ujue ni dhaifu sana
 
Ndugai afanyie kazi udhaifu wake, asihangaike kuwatisha wanaomuonesha udhaifu wake, kusemwa yeye kila siku ajue ana tatizo.
Alisha zoeshwa kuwa yeye hawezi kukosolewa na mtu zaidi ya mteuzi wake.
 
Tuandike vitu vya maana sio ujinga ujinga
Tutaandika sana kumkosoa madhaifu yake ili hatimaye bunge letu liwe ni jicho na mdomo wa wananchi wa tanzania.

Wabunge wote pale wanalipwa kwa kutumia kodi zetu.

Hatuna sababu ya kuwaogopa bali tuwaheshimu maana ni wawakilishi wetu
 
Ndugai hana uwezo wa kuliona hilo. GOOD umelisema atalisoma, nadhani kwa sasa the most effective informative channel ni JF ambapo mtu anaandika bila unafiki!
Jf kwa sasa ndio kimbilio la wananchi wanao hitaji habari + kwa ujenzi wa taifa letu.
 
Ile mashine ya kusafisha damu kwa wagonjwa wa figo, iondolewe nyumbani kwake ipelekwe kwenye hospitali ya umma isaidie wananchi wengi wanaoteseka badala ya kumuhudumia mtu mmoja tu wakati imenunuliwa kwa gharama kubwa kwa fedha za umma.

Huu ni ubinafsi uliopitiliza.
Hujui kisa cha yeye kuwa chawa wa shetani wa kuzimu badala ya kuwa msema chochote?

Hiyo mashine imenunuliwa na shetani wa kuzimu maana hela za nchi hii aligeuza ni pesa zake na anafanya atakavyo na anampa amtakae.

Chief Hangaya analijuwa hili ndio maana alimuonya mapema aache kudemka bungeni na ameufyata kimya.
 
Hivi viongozi wetu kwanini hawapendi kukosolewa?! Wa Afrika tunakosea wapi? Mtawala wa kiAfrika ukitaka kukosana nae tu mkosoe walai utajuta kuzaliwa maana utabambikiwa kesi, utalaaniwa kwenye majukwaa yote na kubambikiwa kila aina ya majina yasiyo faa. Mimi nilifikiri kukosolewa iwe chachu ya kujitathmini ya kile akifanyacho.
Hivi na yeye Spika hajakosea kutoa vitisho kwa mtu aliye toa maoni yake juu ya uongozi wa Nchi unavyo kwenda? na katiba yetu inasemaje juu ya mtu kuwa ana uhuru wa kutoa maoni ktk Nchi hii?
Kwa tanzania tatizo hili limeota mizizi kwenye awamu ya 5 haswaa.

Mtu akijitokeza kukosoa utendaji wa wakubwa basi unaitwa mchochezi.
 
Ile mashine ya kusafisha damu kwa wagonjwa wa figo, iondolewe nyumbani kwake ipelekwe kwenye hospitali ya umma isaidie wananchi wengi wanaoteseka badala ya kumuhudumia mtu mmoja tu wakati imenunuliwa kwa gharama kubwa kwa fedha za umma.

Huu ni ubinafsi uliopitiliza.
Mkuu kwani anaimiliki kihalali?

Tatizo lake ni lipi haswaa hadi aishi na hiyo mashine?
 
Ndiyo maana kuna wengine hawana vyama hata hawaoni aibu
Mm mpaka nina kadi ya CCM ila toka walivyoanza mambo ya upuuuzi sijarudia tena kuwapigia kura,, naona tu wanaharibu nchii,, bora niwapigie upinzani kuliko hawa ndugu zangu CCM
 
Back
Top Bottom