Spika Ndugai: Nitawalinda wabunge wa Viti Maalumu CHADEMA kwa nguvu zote, Mnyika akajifunze kwa Dkt. Bashiru kazi za Katibu Mkuu

Daaah ubongo umevimba mungu ni fundi sana,hatuna muda mrefu tutamlaki mawinguni
 
Hahaa ccm inaumia sana na maisha ya cdm kuliko watanzania,bashiru ndio katibu mkuu wa hovyo kuwahi kutokea ccm...huku bunge nalo likuwa na spika wa hovyo mwenye upungufu wa kinga mwilini
 
Spika anayo mamlaka ya kulizungumzia sakata hili, lakini mamlaka yake yana mipaka.
Spika alipokea horodha kutoka tume ya uchaguzi na kuwaapisha na kuwalinda kwa mujibu wa sheria, hapo ingekuwa amemaliza kulizungumzia hilo kwa mamlaka yake. Lakini kuingiza hoja kwamba wengine hawaja komaa kisiasa hivyo wakajifunze ccm kwa Dr Bashiru hii ni kuvuka mipaka ya mamlaka aliyo nayo kama spika wa bunge la JMT, labda mh spika awe ana imani kwamba yeye ni spika wa ccm hapo ndio angeweza kuzungumza hayo kama kada wa ccm.
 
Ni vyema CDM wakaachana na huyu mtu, waende zaidi kisheria, sidhani kama huyu mtu anastahili kuongea na watu kama Mbowe.
Ama kweli hekima ndio chanzo cha maarifa! ukikosa hekima kumbe binadamu unakuwa kituko kitupu mbele za watu!
 
Nguvu za Ndugai kujilindia yeye mwenyewe uspika hana,matokeo yake wamechukua cheo chao
 
Mtafute awalinde...
 
Na sasahivi bado anawalinda?
 
Huyu Mungu bana, imagine Jobo hayupo na Jiwe hayupo tena, afu kuna wapumbavu humu bado hawajifunzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…