Spika Ndugai: Nyani wanashangilia kifo cha mkulima wa mahindi wanasahau mwakani hawana pa kula

Yeye mwenye jizi, limetumia mabilion kujitibu jizi kubwa
 
Message sent and delivered....
 
Mzee corona baba tusaidie Huu mlo ni halali yako kabisa tena anzia miguuni
 
Kauli za kijinga toka kwa wajinga...
Nyani wana akili sana... Hawategemeii mahindi pekee.
Uzuri mwingine ni kuwa hata kabla ya mkulima wa mahindi nyani walikuwepo...

Labda kama atakuwa anawasema uzao manyani wa #mataga walozoea vya kubebwa bebwa (kupewa pewa) kama yeye... Na hasa wabunge na mawaziri manyani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…