Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏

Toa upumbavu wako hapa,au na wewe toka hadharani uongee haya.
 
Ndugai mhuni Kama wahuni wengine, anaomba msamaha so what
 
Unatuambia ile clip imeeditiwa na wajanja ili wakuchafue na wakugombanishe wewe na serikali alafu muda huohuo unaomba msamaha kwa kuwakwaza watanzani kwa kile ulichoongea kwenye ile ile clip unayodai imeeditiwa.

Duuuh! hatupo siriaz kabisa kwenye mambo ya msingi.

Taifa lina watu na viongozi wa ajabu sana.
 
Rekebisha kidogo heading ni
"Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana "
Spika kawa mdogo kama piriton!
P
In criminal law unlike in Politics, confession is used as an evidence to convict you upon all accusation raised unto you, but in Politics confession is a measure of strength and maturity. As it was said by political gurus, if you lack HONEST, intelligence and Energy looses their meaning
 
In criminal law unlike in Politics, confession is used as an evidence to convict you upon all accusation raised unto you, but in Politics confession is a measure of strength and maturity. As it was said by political gurus, if you lack HONEST, intelligence and Energy looses their meaning
 
Spika Job Ndugai ameungana na watanzania mbalimbali kuukataa uzushi na ghiliba za wapinga maendeleo wanaotamani kuona mhimili wa Bunge ukitofautiana na serikali kuu. Mhe. Spika ameomba radhi dhidi ya usumbufu uliojitokeza kutokana na maudhui yaliyotengenezwa kwa malengo ya kuwapotosha watanzania.

Kama ilivyo kwa maeneo yote nchini, Mhe. Spika Job Ndugai, ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la Kongwa amemshukuru Mhe. Rais kwa kuwezesha mkopo unaojenga madarasa ya kisasa nchi nzima ikiwemo Kongwa iliyopata madarasa zaidi ya 100 kwaajili ya kuhakikisha wanafunzi wanapata elimu.

Pamoja na pongezi za Mhe. Spika kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwezesha fedha kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya elimu, huduma nyingine za jamii kama vile Hospitali na miradi ya maji inatekelezwa kwa kasi katika mikoa mbalimbali nchini.

Kwa upande wa uchumi, hadi kufikia Disemba 2021, ukubwa wa soko la hisa umeongezeka kwa karibu 4.5% kutoka Trilioni 15.4 hadi Trilioni 15.8, ikiwa ni karibu Bilioni 500. Hii imetokana na sera nzuri za uchumi zinazotekelezwa na Rais Samia Suluhu katika kuimarisha uchumi wa nchi.

Aidha, kutokana na mazingira mazuri ya biashara na uwekezaji nchini, ukusanyaji wa mapato umeongezeka kwa kasi, kwa Mwezi Disemba pekee kiasi cha Trilioni 2.51 kimekusanywa na kuandika historia ya fedha nyingi zaidi kwa mwezi tangu kuanzishwa kwa mamlaka ya mapato nchini(TRA).

Katika kipindi cha mwezi July hadi Disemba 2021, kimekusanywa kiasi cha Shilingi Trilioni 11.1, ikiwa ni ongezeko la zaidi ya asilimia 20 ikilinganishwa na mwaka uliopita. Rekodi hii inatoa dira ya ushindi kwa wapenda maendeleo na uongozi wa serikali ya awamu ya sita.
 
Tuliwaambia BAVICHA wakashindwa kuelewa, Mwenyekiti wa CCM ndio injini kuu ya nchi
Mtu kama Ndugai tukimwambia alete hesabu za pesa za matibabu India anazo? Si mwizi tuu huyo kadanganya serikali.

Rais alishasema atagombea Urais 2025 na lengo ni kuwazima watu dizaini ya kina jobu na wanaowatuma.

They have to shut up their mouth and respect the President.Na PM nae alishasema tunaenda na Samia sasa hao wengine wanaweza shindana na Rais kashika dola,Katiba haimzuii nk?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…