Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏

Kimeumanaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukiwa ndani ya CCM kaa kimya, huna room ya kumkosoa aliye juu yako kimamlaka..utaumia. Na hili liwe findisho kwa wana CCM wote popote walipo.

Bado na yule mzee wa ati kuchochea kuni kwenye tanuru ili WAHUNI watokemo...zake zinahesabika za kuomba msamaha.
 
I
 
Vipi mzee gwajingo....
 
Kwa Press hii ya Ndugai tukubaliane kwa pamoja Sukuma gang ndio imezikwa rasmi leo.

R.I.P Sukuma gang mwendo mmeumaliza.
Hakunaga kundi hilo la Sukuma Gang ni just an imaginary group made up by yule mzushi wa twitter, but in reality, Sukuma doesn't exist anywhere!.
P
 
Ndugai ni coward, atatumia huo mkutano kujitetea, kuwa alieleweka vibaya. Hakumaanisha....na kadhalika.
Watu wa aina yake huwa hawana misimamo inayoeleweka. Siku zote hufuata upepo unakoelekea. Mtu aliye na msimamo anaamini katika hayo ambayo anayasema na habadiriki kufuatia maneno ya watu wengine au kwa kuogopa kukosa cheo alicho nacho. Mifano ya watu hao ni CAG aliyepita. Pia mtu aliye na msimamo yupo radhi apoteze nafasi yake kwa kutetea hayo anayoyaamini. Anaweza akajiuzulu hata cheo chake badala ya kubadili msimamo aliyojiwekea. Zumbe Mkuu anaogopa tonge kudondoka toka mdomoni na sasa kayala matapishi yake.
 
Ndugai kaboa, mbona kaongea ukweli anaomba radhi ya nini? Kwa ile kauli mm hajanikosea ila kosa la Ndugai ni kuendelea kuwakumbatia Wabunge 19 wasio na chama, huo ni wizi wa pesa za Watanzanja
 
Kama anabusara za kutosha hapo inabidi ifuate barua ya kujiuzulu. I believe he is wise enough..
 
Mtoa post simamia kwenye msamaha mambo mengine wacha ya pite tuuu
 
Na huu ndo ukweli
 
Sina uhakika na hilo la dialysis. Lakini kama ni kweli basi irudishwe pale BM Hospital isaidie watu wengi zaidi.
 
Picha na unyekevu anaouonesha Ndugai ni wa uchu wa madaraka, yaani kama vile yuko mbele ya mamamkwe!
 
Hivi huwezi kumsifia Samia bila ya kumponda Jemedari Magu?

Anasema zamani pesa zilikuwa zinatumiwa kinyume na approval ya Bunge

Mama akistaafu ajiandae kutukanwa na wanaomsifia leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…