Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏

dah nimefikia kwenye kipande cha "watanzania nisameheni sana, tuombeane afya irudi vizuri zaidi" mliosikiliza spika wetu ametukosea nini wajameni
 
Mbona TRA ipo zanzibar pia?
 
Nilisema kuwa ataikana Ile clip
 
lipo japo moja serious katika nchi kuna mahala litatulete shida maana tunaishi kinafiki..

TANZANIA KUNA UDINI NA UKABILA MBAYA SANA...
Hakuna udini wala ukabila nchini ila Kuna katiba iliyompa raisi nguvu kubwa. Bishana nae utaelewa.
 
Rekebisha kidogo heading ni
"Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana "
Spika kawa mdogo kama piriton!
P
Alichofanya Ndugai ni kumuongezea nguvu Maza.... Wakati huo huo yeye kajimaliza kabisa. Asifikiri watamsamehe kwa hilo pamoja na kujifanya anajibebesha msalaba wake mwenyewe kwa niaba ya wote.

Imagine pamoja na kutukanwa kote kule kashindwa kumuita mtu yeyote kwenye ile kamati yake ya Maadili. Kwa udhaifu aliouonyesha sasa asubiri watakanyompanda mpaka kichwani.

Mbaya zaidi kutubu hadharani kwa design ile, Spika wa Bunge.... Only in Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…