TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Kutoka Dodoma.
"Tunatengeneza vijana wa kucheza Pool table, ambao wakikaa na simu wanaperuzi mitandaoni tu".
"Nafikiri labda tuongeze kodi labda itapunguza hata sijui, hivi tufanye kitu gani ili tuhakikishe kila mtu anafanya kazi, maafisa maendeleo ya jamii hawafanyi kazi" -Job Ndugai.
Nini maoni yako mdau?
----
NDUGAI: NCHI INAKWENDA IKIWA NA KUNDI KUBWA LA WATU WAVIVU
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema kwa sasa japokuwa Nchi inakwenda na Uchumi wa Kati lakini kuna kundi kubwa la watu wavivu huku Vijana wakijikita zaidi kwenye kucheza 'Pool table'
Amefafanua kuwa, Watanzania wengi hawajitumi katika kufanya kazi na hata ubovu na uvivu wa Timu ya Taifa ndiyo sababu kubwa ya #Tanzania kushindwa katika mashindano ya Kimataifa
Ndugai ametoa wito kwa Wabunge kutafakari ikiwa Elimu inayotolewa Mashuleni inawajenga Wanafunzi kwasababu wengi wakishamaliza Kidato cha 4 wanaona kazi za kushika Jembe kuwa ni Utumwa.
"Tunatengeneza vijana wa kucheza Pool table, ambao wakikaa na simu wanaperuzi mitandaoni tu".
"Nafikiri labda tuongeze kodi labda itapunguza hata sijui, hivi tufanye kitu gani ili tuhakikishe kila mtu anafanya kazi, maafisa maendeleo ya jamii hawafanyi kazi" -Job Ndugai.
Nini maoni yako mdau?
----
NDUGAI: NCHI INAKWENDA IKIWA NA KUNDI KUBWA LA WATU WAVIVU
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema kwa sasa japokuwa Nchi inakwenda na Uchumi wa Kati lakini kuna kundi kubwa la watu wavivu huku Vijana wakijikita zaidi kwenye kucheza 'Pool table'
Amefafanua kuwa, Watanzania wengi hawajitumi katika kufanya kazi na hata ubovu na uvivu wa Timu ya Taifa ndiyo sababu kubwa ya #Tanzania kushindwa katika mashindano ya Kimataifa
Ndugai ametoa wito kwa Wabunge kutafakari ikiwa Elimu inayotolewa Mashuleni inawajenga Wanafunzi kwasababu wengi wakishamaliza Kidato cha 4 wanaona kazi za kushika Jembe kuwa ni Utumwa.