Mbacho_
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 339
- 760
Sure. Watu kama Kimei, Walitakiwa wawe wametulia sasa lakini sijui wanapambania niniSiyo ukomo wa ubunge tu sekita zote ziwe na ukomo Kama ilivyo kwenye uraisi kuanzia ubunge, uwaziri, ukuu wa wilaya, mkoa maana ni sekita za kuleta amsha amsha alafu watoke waingie wengine. Na serikali kuu na taasisi hivyo hivyo zile zinazozidisha miaka sitini ziangaliwe upya Ili vijana wakatumike.