Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
itoe betting katika mifano yakoWatu wengi wanaofanikiwa wanatokea kwenye mazingira haya haya miaka nenda rudi wengine wanalalamika maisha magumu Vijana wengi wa kitanzania ni wavivu kuna Makundi mengi ni tegemezi hawataki kujishughulisha mfano hawa vijana wanywaji wa pombe za kienyeji ,watumiaji wa Instagram,vijana wa kubeti nk
Kote kuwe na ukomo hadi kwenye mikataba ya kazi tu kulingana na maslahi yanayopatikana.Siyo ukomo wa ubunge tu sekita zote ziwe na ukomo Kama ilivyo kwenye uraisi kuanzia ubunge, uwaziri, ukuu wa wilaya, mkoa maana ni sekita za kuleta amsha amsha alafu watoke waingie wengine. Na serikali kuu na taasisi hivyo hivyo zile zinazozidisha miaka sitini ziangaliwe upya Ili vijana wakatumike.
Nasikia wameghahiri tena na kusema zoezi lilikuwa batili mpaka hapo baadaye...Majibu ya hoja ya ndugai yameenza kutolewa, MB 400 kwa shilingi 1000,lazima vijana wafanye kazi
Wanataka vijana wote mzunguke mitaani mmebeba mizani ya kupimimia uziko?Kazi gani wanataka vijana wafanye wakati wao kama serikali ndio wanaua uchumi na biashara kwa sera mbovu ambazo hazizalishi Ajira kwa vijana?
Na mimi nauliza juu ya swali lako;Natanguliza samahani.ivi spika ndugai amechangia Nini katika taifa tangu awe spika wa bunge la JMT?
Nidhaifu kweli kweli.Kama spika huu ndio upeo wake alafu eti mnategemea maendeleo, "Bunge ni dhaifu "