Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Yaani hapo ni sawa na kupokea offer ya mtu alikugongea mkeo.Chadema acheni ujinga. Pelekeni wabunge bungeni. Walau hao kumi na tisa kila mmoja atachangia chama. Si huwa mnawakata ya kujenga chama ?Baadae msije kulia mitandaoni mnataka michango hata pango la Mtei mmeshindwa kulipa. Acheni kujitia kiburi wakati mmejaa shida.
Madikteta ndiyo yalivyo mkuuGhafla Spika amekuwa mwema katika hali ya kushangaza kwa chama ambacho siku zote kimekuwa kero kwake. Mimi nilitegemea angewapuuza asiwagutushe mpaka muda wao uka-expire ili Bunge libaki tulivu.
Akiendelea kusisitiza tutahisi kuna jambo halijakaa vizuri
Atakuwa anamuongelea huyo mbunge mmoja pekeeMaajabu hayaishi Tanzania!
Si yeye mwenyewe Ndugai alinukuliwa na vyombo vya habari kuwa kutokana na matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita, ambapo CHADEMA imeambulia mbunge mmoja pekee, hakutakuwa na kambi rasmi ya upinzani?....
Ugali wake upo salama ,shida nini Tena.Ghafla Spika amekuwa mwema katika hali ya kushangaza kwa chama ambacho siku zote kimekuwa kero kwake. Mimi nilitegemea angewapuuza asiwagutushe mpaka muda wao uka-expire ili Bunge libaki tulivu.
Akiendelea kusisitiza tutahisi kuna jambo halijakaa vizuri
fikiria huyo ni spika,anayewaongoza watakuwajeWabunge gani hao? Mbunge anakuwa mbunge baada ya kuapishwa, sasa hao anaodai wabunge wa chadema wameapishwa wapi?
Swali bovu sana. Usielekeze mijadala kwenye dini ndugu yangu, inagawanya watu. Mimi sikujua kuwa Sadam, Gadaffi na akina Al Sisi ni Wakristo.Swali kwanini maditeta wengi wanakuwa wakristo?
Acheni kujiumiza kwa sababu ya nani kasema nini juu yako. Jiamini. Hao ni watanzania. Wabunge 19 wa upinzani ni muhimu kuliko hao 200 + wa CCM.Acheni ujinga.Yaani hapo ni sawa na kupokea offer ya mtu alikugongea mkeo.
Tangu lini nduga akawa na upendo na cdm,Hali alishasema wakirudi hata 3 hivi sijui.
Okey mkuuSwali bovu sana. Usielekeze mijadala kwenye dini ndugu yangu, inagawanya watu. Mimi sikujua kuwa Sadam, Gadaffi na akina Al Sisi ni Wakristo.
Wasipopeleka hao wabunge 19 na Chama kitakufa kweli. Maana huku nje hawana pa kusemea. Walau hao 19 wakaseme huko Bungeni.hapana kujenga tena chama kinatakiwa kife bana kabisa,wapinzani wamechelewesha sana maendeleo,hii mitano ni kazi tu
Wakamsemee nani si walikuwa wanachelewesha maendeleo,kina babu tale wapo wateleta maendeleoWasipopeleka hao wabunge 19 na Chama kitakufa kweli. Maana huku nje hawana pa kusemea. Walau hao 19 wakaseme huko Bungeni.
Sawa mkuu ila ili wapatikane uchaguzi lazima kurudiwa kila mmoja abebe msalaba wake ,hakuna kubebwa hapa ,tena Kama vipi uludiwe chini ya UN, Kama mtu ameshinda kwa Kura nyingi ya 80% na zaidi anaogopa nini kuludia uchaguzi ali Hali wapiga kura ni walewaleAcheni kujiumiza kwa sababu ya nani kasema nini juu yako. Jiamini. Hao ni watanzania. Wabunge 19 wa upinzani ni muhimu kuliko hao 200 + wa CCM.Acheni ujinga.
Hilo haliwezekani kwa sasa.UN huwa wanaingilia wakiona mnapigana. Sasa hata kuandamana mmeogopa. Hivyo kuzila kupeleka wabunge haitawasaidia sana sana itawapoteza tu.Sawa mkuu ila ili wapatikane uchaguzi lazima kurudiwa kila mmoja abebe msalaba wake ,hakuna kubebwa hapa ,tena Kama vipi uludiwe chini ya UN, Kama mtu ameshinda kwa Kura nyingi ya 80% na zaidi anaogopa nini kuludia uchaguzi ali Hali wapiga kura ni walewale
So, do you think Chadema haito peleka majina ya wabunge wa viti maalum..??Watu wasiokuwepo wanakuwaje wamejifukuzisha?
Dah mbona ame extend sana muda huyu andunje amepatwa sana na huruma gani kwa hawa wabunge viti maalum wa chadema? wakati huwa anafukuza pale bungeni, vip kwani alishawaapisha tayari na je walishateuliwa na chama chao na akapelekewa majina, kama ndiyo najua atakuwa ameshawafungulia na akauti za benki kama kawaida yake ataanza kuwaingizia fedha kimya kimyaSpika wa Bunge Job Ndugai amesema kwa mujibu wa Katiba na Kanuni za Bunge, wabunge 19 wa viti maalumu kutoka CHADEMA endapo hawatohudhuria mikutano mitatu ya Bunge, watakuwa wamejifukuzisha ubunge wenyewe.
Spika Ndugai amesema mkutano wa kwanza ni huu wa pili Januari na wa tatu Aprili.
My take.
Toka Sasa hadi April ni mbali sana, tutashudia vituko na mgawanyiko mkubwa Sana hapa katikati...huu ni mtihani mwingine ndani ya CHADEMA.
We ulitegemea maandamano ya amani lazima mue kundi kwa tahalifa yako maandamano yapo na yanaendelea,kila unaemuona akitembea anaandamana hata hapo ulipo ofisin kutoka chuma kimoja kwenda kingine unaandamana,hayo ndo maandamano ya amani mkuu,binafsi wapo majirani zangu tangu kauli hiyo wamepaki usafili wanaenda ofisin kwa baiskeli jidanganye,mwafaaaHilo haliwezekani kwa sasa.UN huwa wanaingilia wakiona mnapigana. Sasa hata kuandamana mmeogopa. Hivyo kuzila kupeleka wabunge haitawasaidia sana sana itawapoteza tu.