Spika Ndugai: Wabunge watoro warejeshe fedha zote walizolipwa kuanzia Mei 1-17 jumla ya Tsh. Milioni 110

Kwani wanaenda kikazi au kulala hotelini? Usipoenda kaziini ina maana hauko dodoma kinachojulisha spika kuwa uko dodoma Ni.daftari la mahudhurio kazini bungeni
Per diem ni tofauti na sitting allowance. Per diem unalipwa hata kama uko hospitali. Per diem unalipwa hata siku zisizo za kazi. Daftari la mahudhurio linahusu sitting allowance. Aidha, utawadai vipi malipo ya siku ambazo hazijafika? Je wakija na barua kutoka kwa daktari ikisema kuwa ameamuru wakae karantini kwa kuhofia afya zao itakuwaje. Hili suala ni la kiutendaji na halikuwa na haja ya kulifanya la kisiasa.

Amandla....
 
Mtu haendi kazini unataka alipwe?dogo acha utumwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha,yaani walibugi Sana kutangaza,wangekacha kimya kimya tu,Sasa watawakomalia Hadi Basi na wasipolipa zitakatwa tu kunako pesheni,,ndo maana ilupaswa kufikiri kea mapana Sana kabla ya kuamua kutangaza kuacha kuhudhuria bungeni
 
Wacha wee CHADOMO Work

Mtonyeni bwana Mbowe kwamba kuna Jela na Gesti yeye na wenzie wanapendelea wapi hasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inabidi warudishe hela ya bunge. Kumbe wamelipwa in advance halafu dj anawaambia waingie mitini bila kuwajibika. Kama hawarudishi cash lazima hela ya umma wakatwe kwe viinua mgongo. Na ile mijike yao inajidai mikakamavu kupigania hewa kutafuta kick za ubunge i hope hairudi hata mmoja..mungu ibariki tanzania.
 
Ccm ni majangili na majiz

Its not over until its over...[emoji769]
 
Yule mbunge jangili ni kama ana kakikosi ka jeshi kabisa na zile silaha zake!
 
Kuna mtu kwa makusudi kabisa kaamua kutumia shida ya Corona kukimaliza kbs chama kife, sasa huyu ndo wa kushughulika naye...!!!
 
Duuh, Mr Speaker is absolutely under the spell of confusion....!!

Kwa nini Spika awaite wabunge wenzake "wezi" kana kwamba fedha hizo waliomba na kuishia nazo mitini?

Hivi huyu Spika amefikia hatua hii ya kiwango cha ya kukosa uvumilivu na staha kabisa hata kutumia lugha isiyo na staha kuzungumza na watu wazima, wabunge wenzake???

Hivi Spika Ndugai anadhani hao anaowakashfu hivi hawana midomo ya kumjibu kwa kutumia lugha hiyo hiyo aliyotumia yeye? Na ikifanyika hivyo, sisi tutakuwa binadamu wa namna gani eti???

Si zimelipwa kwa utaratibu halali?

Na kwanini kama anataka fedha hizo zirudishwe kwa kuwa zimelipwa kimakosa ama isivyo halali asitumie kauli ya kistaarabu tu na wakati huohuo akifuata utaratibu wa kawaida wa kiutumishi kuwaandikia barua kila mmoja kumtaka arudishe hizo fedha anazodhani si halali yao huku akikwoti na vifungu vya kanuni na sheria inayompa nguvu kuchukua uamuzi wako??

Hizi ni siasa gani za kijinga na kudhalilishana hivi zinaendelea Tanzania kwa sasa??

I really don't get it...!!

Ninavyo fahamu Mimi, mbunge ama wabunge kutoka nje ya kikao kuonesha kutoridhishwa na jambo fulani ni sehemu na haki ya kikatiba na naamini hata kwenye kanuni zao litakuwa lipo. Kwanini jambo hili limekuwa kama nongwa kwa viongozi wa serikali to the extent that wanatumia "fimbo ya fedha" kudhalilishana na kukomoana wao kwa wao??

Hata hivyo yapo maswali mengine hata;

1. Na kwanini Mhasibu wa Bunge alipe posho ya kukaa (sitting allowance) ya wiki mbili mbele kabla mtu hajafanya wala kukaa ama kufanyika kwa kikao husika??

2. Ndiyo utaratibu wa malipo ya fedha za umma unataka hivyo??

3. Mhasibu anapomlipa mtu posho ya kikao ya wiki mbili mbele kabla ya kikao chenyewe anakuwa na uhakika gani kama kikao kitafanyika na kama mtu huyo (aliyelipwa) atakuwepo na hata kuwa hai hadi tarehe 17/05/2020??

4. Kwa hiyo wale wabunge watatu waliokwisha kufa (Rwakatare, Mahiga na Ndassa) wamezikwa na pesa za posho za hadi 17/05?? Watazirudisha toka kaburini, right??

NB;
å Kumbe hawa ndugu zetu CCM wameumia sana kuachwa bungeni peke yao wakiendelea na vikao vyao....

å Nafsi yangu yanishuhudia kuwa hizi ni dalili za tukio kubwa la kihistoria linalokwenda kutokea huko mbele kubadilisha majira na nyakati katika siasa za nchi yetu...!!

å Kwa hakika kabisa pasipo chenga hii "frustration" ya viongozi wa serikali kwa mihimili yote kuanzia MAHAKAMA, EXECUTIVE na PARLIAMENT si ya kawaida hata kidogo....!!
 
Fedha ni za wananch walipa kodi na cc tumeamua wasirudishe kwa hyo

Its not over until its over...[emoji769]
 
Tutamjibu baadae, kumbe umuhimu wetu wanautambua vizuri sana pale bungeni. Haturudi ng’ooo
 
Ndugai akuza deni la matibabu nje ya nchi. Adaiwa kulamba milioni 500 ndani ya miezi mitano
 
Naona green color mmesimamia kucha hii issue, hoja zenye akili hamuonekani kabisaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…