Spika Ndugai: Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem

Spika Ndugai: Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem kuhesabiwa na wakakosa mahali pa kulala, kutoka Jerusalem mpaka Bethlehem alipozaliwa Yesu, distance zote nazijua na umbali wake na jinsi ilivyokuwa" - JOB NDUGAI


Duuuh 😥😥😥😥
Huyu ni yeye kama yeye wala sio side effects za chanjo
 
Mmh huyu ndio spuka wa bunge basi bunge lisilaumiwe kwa lolote ikiwemo masuala ya tozo, kodi, wananchi kuzikubali tozo.
Spika na mshauri mkuu wa kanisa la anglican dunia kibingw jobo katika ubora wake-Yesu alitembea na mke wake sijui toka wapi kwenda kuhesabiwa!
🤣🤣🤣🤣🤣
Gwajiboy njoo ujibu mapigo kuanzia hapa
 
Pale ambapo ubongo unafeli kutambua kitu kitachotoka kitatafsiriwa vipi na kupokelewa vipi na wahusika, itoshe kusema kila Binadamu ana ukichaa ndiyomaana toka karne hadi karne hakuna aliyeweza kuitumia akili yake kwa 100%
 
Njaa
Tumbo limejaa minyoo mpaka anachapia hovyo. Najua tunajua kwamba lengo lake alitaka aongee Yosefu na mke wake Maria... Ila sasa maskiniii mbona atakoma.
 
Back
Top Bottom