Spika Ndugai: Yesu alitembea na mke wake kutoka Nazareth kwenda mpaka Jerusalem

Hehehehe! Jamani mbavu zangu! Kumbe nchi hii tunaongozwa na walevi!
 
Hii siyo bure, ubongo wa Ndugai umeoza. Ni hatari kwa taifa kuendelea kuwa na spika kama huyu. Ataleta laana kwa taifa. cc Mshana. Kilangila.
 

Mgogo wa Kongwa, Mihanyenye? Hii story mbona ni wewe tu ndio unaijua. Unatumia biblia yako peke yako? Au wale tour guides wa kiyahudi walikuuzia habari za kufikirika?
They never accepted Chris..pengine mpaka kesho
 
Kazi kweli kweli.

Rose Muhando naye anajinadi AMEONJA UTAMU WA YESU
 
Hmm something is wrong with you Mr Speaker
 
Ukihubiri neno la Mungu chunga ulimi, angalia alivyohalalisha kuwa Yesu alioa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…